Tembosa
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 3,938
- 3,204
Wana MMU
naomba niendelee kuwaambia mambo magumu yanayoendelea
katika maisha yangu.
Nimekuja ofisini ila sina kazi nyingi leo,
Hivyo nimejikuta nawaza sana juu ya mambo yaliyonitokea...
Kama mtakuwa na kumbukumbu nzuri, kuna siku nilikuja hapa na
uzi wa hii ni suprize au nadanganywa?
Sasa hapa niwape mwendelezo kidogo wa yale yaliyojiri
Nipate walau ushauri wenu zaidi kwani kuanzia mwanzo,
kuna wadau hapa wamenishauri vyema sana!
nianze kuomba radhi kwa wale ambao nitakuwa sijafuata ushauri wao,
Kitu kilichonipelekea kwenye hali yakujaribu kuua!
Ex wangu alivyoniambia ana ujauzito wangu
nilikuwa katika hali ngumu sana,
coz nilimwambia ili nimwamini inabidi amwambie Mume wake
juu ya ujauzito alionao, kwani niliamini kuwa Kabla hajaolewa huyo mume wake
alikuwa anajua kuwa huyu V alikuwa kwenye mahusiano,
na sikupima sana juu ya impact ambazo zingeweza kumtokea.
Kusema kweli moyoni nilifurahi sana baada ya kuambiwa
juu ya ujauzito kuwa wa kwangu,
Ugumu wa kum'bania kutoka nae, kidogo moyoni nilianza kulegea.
Mimba iliniongezea mchecheto hadi nilianza kuwaza
kumrudia hata kama huyo mume wake angemfukuza.
Sasa nilivyomwambia aweke mambo wazi kwa mume wake
Alinikatalia katakata, akaniambia nikumbuke alichoniambia,
aliniambia nikumbuke kuwa ilibidi amdanganye huyo aliyemuoa kuwa
Mimba ni yake ili amuoe, sasa
akibadilika na kumwambia tena siyo yake,
mambo yatamuia vigumu mno,
aliendelea kuniomba niwe mpole na niendelee kuwa karibu nae!
Kwa mustakabali wa damu yangu iliyopo Tumboni mwake.....
Jumapili mida ya saa moja asubuhi alinipigia simu tena kwa namba ya nje(+971-09...........1)
Alikuwa Dubai akaniambia atakuwa Dar jumatatu mchana na akaomba sana jioni yake
Tuonane kwani kuna vitu alikuwa amelinunulia.......
Roho ilinikaba sana ikawa na nafsi mbili, moja usiende nyingine nenda tu!!
Nikiwaza juu ya mimba yake roho ya kubali mkutane ikakuwa zaidi.....
naomba niendelee kuwaambia mambo magumu yanayoendelea
katika maisha yangu.
Nimekuja ofisini ila sina kazi nyingi leo,
Hivyo nimejikuta nawaza sana juu ya mambo yaliyonitokea...
Kama mtakuwa na kumbukumbu nzuri, kuna siku nilikuja hapa na
uzi wa hii ni suprize au nadanganywa?
Sasa hapa niwape mwendelezo kidogo wa yale yaliyojiri
Nipate walau ushauri wenu zaidi kwani kuanzia mwanzo,
kuna wadau hapa wamenishauri vyema sana!
nianze kuomba radhi kwa wale ambao nitakuwa sijafuata ushauri wao,
Kitu kilichonipelekea kwenye hali yakujaribu kuua!
Ex wangu alivyoniambia ana ujauzito wangu
nilikuwa katika hali ngumu sana,
coz nilimwambia ili nimwamini inabidi amwambie Mume wake
juu ya ujauzito alionao, kwani niliamini kuwa Kabla hajaolewa huyo mume wake
alikuwa anajua kuwa huyu V alikuwa kwenye mahusiano,
na sikupima sana juu ya impact ambazo zingeweza kumtokea.
Kusema kweli moyoni nilifurahi sana baada ya kuambiwa
juu ya ujauzito kuwa wa kwangu,
Ugumu wa kum'bania kutoka nae, kidogo moyoni nilianza kulegea.
Mimba iliniongezea mchecheto hadi nilianza kuwaza
kumrudia hata kama huyo mume wake angemfukuza.
Sasa nilivyomwambia aweke mambo wazi kwa mume wake
Alinikatalia katakata, akaniambia nikumbuke alichoniambia,
aliniambia nikumbuke kuwa ilibidi amdanganye huyo aliyemuoa kuwa
Mimba ni yake ili amuoe, sasa
akibadilika na kumwambia tena siyo yake,
mambo yatamuia vigumu mno,
aliendelea kuniomba niwe mpole na niendelee kuwa karibu nae!
Kwa mustakabali wa damu yangu iliyopo Tumboni mwake.....
Jumapili mida ya saa moja asubuhi alinipigia simu tena kwa namba ya nje(+971-09...........1)
Alikuwa Dubai akaniambia atakuwa Dar jumatatu mchana na akaomba sana jioni yake
Tuonane kwani kuna vitu alikuwa amelinunulia.......
Roho ilinikaba sana ikawa na nafsi mbili, moja usiende nyingine nenda tu!!
Nikiwaza juu ya mimba yake roho ya kubali mkutane ikakuwa zaidi.....