cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,322
Kosa la uchochezi na la mtandaoehhhh kuna kosa gani hapo?
Kosa la uchochezi na la mtandaoehhhh kuna kosa gani hapo?
aisee hakuna kosa hapo ndiyomaana kaitwa polisi na hajafunguliwa mashtaka.Kosa la uchochezi na la mtandao
Yes bwana atakuwa anazingua huyu Sasa na wababa hupenda mabinti zao lazima Huyu kaka amuone baba mkwe mubaya, Sasa na huyu hajirekebishi tabia yake ana mshambulia ba mkweKijana atakua mzembe maeneo mengi huyu
Kama mke anampenda Ndoa haiwezi vunjwa na babamkwe
Wanaoweza kumsaidia wamtafute wampe ushauri. Pole kwake
Yes bwana atakuwa anazingua huyu Sasa na wababa hupenda mabinti zao lazima Huyu kaka amuone baba mkwe mubaya, Sasa na huyu hajirekebishi tabia yake ana mshambulia ba mkwe
Nyie mko nchi gani ina maana hamjui kuna madingi huwa yanakula mayai yake mpaka kutotolesha?Heheehehe ebhana hii inachekesha na kuhuzunisha at the same time..
Baba mkwe nae anaharibu vipi ndoa ya mwanae.. halafu jamaa nae ni kichwa ngumu sana..
Lakini kama mke wake ndio kaenda police kushitaki basi hapo kuna ulazima wa kusikiliza pande zote mbili.
Kwa hiyo na wewe unasikia tuu kuna hiyo sheria pengine hujaiona wala kuisomaIngia mtandaoni viko wazi utajua maana ya sheria ya makosa ya mitandaoni
Swadaktaa sasa wewe umeanza Kumuelewa dogo... Mimi nazijua issues kama hizi zaidi ya tano, dingi anajilia yai lake kiulainii...Ukute Baba Mkwe anamtafuna bintiye
Tuko Zaire mkuuNyie mko nchi gani ina maana hamjui kuna madingi huwa yanakula mayai yake mpaka kutotolesha?
Mila na desturi mama.Kijana hajui hayo ni makosa ya kimtandao ngoja afungwe ndio apate akili.
Na baba mkwe kavunjanje ndoa?
Mila zipi mkuuMila na desturi mama.
mkuu we tosheka tu kua mila na desturi ndio kikwazo cha baba mkwe kupindua meza.Mila zipi mkuu
Baba .mkwe kavunjaje ndoa? Au anambandua binti yake na binti kauelewa mshedede wa baba kuliko wa mume?Yes hajataja ila ni kijana hana adabu mkuu na yeye ndio ana kosa sijawahi ona mtu anagombana na baba mkwe, aeleze two sides of the same coin, wamegombana why aanze kumzalilisha kwa watu, na ku post status, while watu huwa tunagombana huwa hatupostiani mitandaoni
Naunga mkono hoja. Tena unahakikisha unawananjua mashosti zake na mabinamu zake.... Ndio kisasi kizuri hiki. Sio kulialia kama vyuraYaani wachuchu walivyo wengi hivi bado mtu anahangaika kupoteza hela na muda kuweka bango kubwa hivyo...
Mchuchu mmoja akizingua, unatafuta mchuchu mkali zaidi yake halafu unamuweka status bango kubwaaaa...
mleta mada ajadadavua haswaBaba .mkwe kavunjaje ndoa? Au anambandua binti yake na binti kauelewa mshedede wa baba kuliko wa mume?
Anazengua huyo. Inaweza ikawa chaimleta mada ajadadavua haswa
Baba Aryan analalamika amepigwa na kitu kizito.Anazengua huyo. Inaweza ikawa chai