Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
(HUU USHAURI NAUTOA KIMACHALE MACHALE MANAKE BISHOP/PAROKO AKINIONA NI SOOO!!!!!!) Sasaaaa UTAPIKAJE CHAKULA USITIE CHUMVI!!!!!!!!!!! Kama ujuavyo CHUMVI MKUBWA WA JIKO!!!!!!!!!!!
Kwani LENGO LA MAPENZI HASA NI NINI? NINI MWISHO WAKE WA KUSEAL THE DEAL?
Yours is not that SPECIAL you know if you think critically!!!!!! We ukibana wenzio wanaachia!!!!! @ SOKO HURIA HILI (Samahani Lakini Mambo ya Walimwengu!!!!!)
Inakuaje umeanza mahusiano na mnawiki moja mwenzi wako anakwambia anataka mzigo je hapa kunamapenzi ya kweli au kufanya mapenzi ndo kigezo cha upendo wa dhati naombeni kujua wadau
rafiki, kumbuka hao wana wiki tu, ndo maana kaja kulalamika.Sasa kama hutaku basi mruhusu awe na mwingine wa kumpa k
na wewe utakuwa unampa story tu.....
Ukishaamua kuuza samaki,usiogope shombo....
rafiki, kumbuka hao wana wiki tu, ndo maana kaja kulalamika.
kwa sisi wadada wiki ni muda mfupi sana rafiki. hata huyo mkaka naona ana ujasiri sana, wiki tu?
sikuzijua hizo categories rafiki, mimi nilichukulia mdada ni mdada tu, ndo maana nikaku-alert.Kwa mdada decent ni kweli wiki mapema sana
but na hao decent huwa hawachuni wala kujaribu kum control mwanaume
Wadada wa mjini unaweza sema mapema sana huku wenzio wanapishana hapo
na wewe unachunwa tu
Sasa kama hutaku basi mruhusu awe na mwingine wa kumpa k
na wewe utakuwa unampa story tu.....
Ukishaamua kuuza samaki,usiogope shombo....