napendekeza tuweke sheria ili mtu anayegombea atoe ahadi anazoweza kutekeleza alafu aandike na ale kiapo cha kutekeleza. Alafu iwe ka sheria ili asipotekeleza asiruhusiwe tena kugombea coz wat i see wengi wanatoa ahadi hewa na wen time comes to end wanarudi na kuwarubuni wapigakura then hii ikiwa sheria itasaidia kuondoa huu mzigo kwa wananchi. If we are serious hii ni bonge la trick ya kuwabana coz wamezidi kuudanganya uma pls take note find me on 0654864518