HISIA KALI
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 694
- 108
Kutokana na CHADEMA kutangaza kupitia kwa Mnyika kuwa watu watoa mapendekezo ya akina nani watawakilisha CHADEMA kwenye tume katiba mpya, mimi napendekeza hawa.
1.Tindu Lissu-Huyu ni mtaalum wa sheria na mtetezi wa haki za binadamu. Ana ufahamu mzuri wa mambo ya sheria na katiba.
2.Prof Mwesiga Baregu-Huyu ni mtaalum mzoefu wa elimu ya siasa na vyama vya siasa. Kwa kuwa hatuwezi kutengenisha siasa na katiba basi prof Baregu atakuwa ni hazina kubwa kwenye hiyo tume.
3.Prof Safari- Huyu ni mtaalum wa sheria na siasa za Zanzibar. Atatumia uzoefu wake huo kuhakikisha masuala ya Zanzibar yana pewa kupaumbele na jinsi gani ya kuboresha Muungano wa Tanzania
Haya ndiyo mapendekezo yangu na ninyi tuone mapendekezo yenu.
1.Tindu Lissu-Huyu ni mtaalum wa sheria na mtetezi wa haki za binadamu. Ana ufahamu mzuri wa mambo ya sheria na katiba.
2.Prof Mwesiga Baregu-Huyu ni mtaalum mzoefu wa elimu ya siasa na vyama vya siasa. Kwa kuwa hatuwezi kutengenisha siasa na katiba basi prof Baregu atakuwa ni hazina kubwa kwenye hiyo tume.
3.Prof Safari- Huyu ni mtaalum wa sheria na siasa za Zanzibar. Atatumia uzoefu wake huo kuhakikisha masuala ya Zanzibar yana pewa kupaumbele na jinsi gani ya kuboresha Muungano wa Tanzania
Haya ndiyo mapendekezo yangu na ninyi tuone mapendekezo yenu.