Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

ana lolote mtoa post umeagizwa yalimshinda ya trl na tzr atayaweza ya uwaziri mkuu acheni unafki na issue ya mabehewa feki nani asiye jua
 
Mwacheni raisi ateuwe mwenywe vinginevyo ampe ubunge Omar Nundu na kumteuwa waziri mkuu. Huyu aliondolewa na mfumo alioukataa wa wapiga dili.
 
mkuu, jenga tabia ya kujifunza, acha kuokoteza maneno vijiweni.

halafu na wewe umeyapenda na kuyakubali?

kuwa mwakyembe alinunua mabehewa Feki ni ya vijiweni?

au ndege zetu zinafanya kazi??

Jeki ya wapi wewe? lazima iwe na hydraulic au screw......inafanya kazi, na Jeki ikifanya kazi inaonekana...kinyume chake ni aidha Jeki mbovu au mpiga jeki hawezi

kama Jeki mbovu unatafuta nyingine, au unaitengeneza

gari liko upande, nasema liko upande unasema maneno ya vijiweni??

pole
 
Jamani tuseme kweli na ukweli utatuweka huru. Kama kweli ccm wamedhamiria kuleta mabadiliko ya kweli pasipo kuangalia makunyanzi dr Mwakiembe atakuwa ndie chaguo bora kabisa kama la hayati Sokoine. Ccm ikitaka kura za wa Tz wote nakuimaliza ukawa na watoto wake. Dr Mwakiembe ndio sumu ya mwisho. Viongoz wa dini zote tumuombe Mungu Harrison Mwakiembe awe Waziri mkuu. Nasema maziwa yatatoka kwenye mabomba.

Mwakyembe akichaguliwa kuwa PM basi jueni kuwa mwaka ujao kabla haujaisha itampasa magufuli avunje baraza la mawazili maana kuna skendo ya mabehewa mabovu inakuja na ambayo imeitia hasara gov bilion 200
 
Ununuzi wa mabehewa hewa na yaliyoletwa kutoka India yalikuwa mabovu, uadilifu wake upo wapi kama ukiangalia uadilifu wa Rais Magufuli!!!!!! si vema kuchagua waziri mkuu mwenye madoa. Tafakari, anayefaa ni Mwigulu Mchemba, hana mawaa na chama anakijua vema sana baada ya kuwa naibu katibu mkuu wa CCM.
 
Sishauri wala kumpigia ndogo ndogo mbunge wa Mwibara mhe. Kange Lugora, isipokuwa kwa mtazamo wangu naamini ana spidi ambazo zinaweza kuendana na spidi ya Rais JPM.

Kusema kweli Lugora naye ni mwamba ni vile hakuwahi kupata eneo la kuonyesha vitu vyake ila ni njemba ya viwango.

Njemba nyingine ilikuwa Agrey Mwanri ni kwa vile tu yeye ameishadondoka lakini alikuwa mtendaji mzuri sana.

Hivi Si Ndiyo Huyu Alikuwa Anakata Viuno Bungeni Wakati La Bunge La KATIBA Tena Pale Ukumbini au Nimekosea Wakuu? Kama Ni Huyu au Yeye Nina Uhakika Akienda DRC Hakosi BENDI.
 
Miongoni mwa Mambo yaliyoipa Ushindi CCM Mwaka huu ni pamoja na Ziara ya Katibu Mkuu wa CCM bwana A. Kinana ya miezi 26 iliyoishia june mwaka huu.
Katika ziara hiyo Kinana alipita almost kata zote Tanzania Bara na Visiwani.


  1. Kwa ujumla Katibu Mkuu, pamoja na msafara wake amesafiri umbali wa jumla ya Kilomita 193,537 kwa gari katika mikoa yote ya Tanzania bara na Zanzibar, ikiwa ni pamoja na Kilomita 1,510 alizosafiri kwa basi kutoka Dar es Salaam hadi Bukoba. Amesafiri masaa 84 kwa njia ya maji kwa mitumbwi katika visiwa 16 nchini.

  2. Ametembelea jumla ya Mikoa 31,Wilaya mia moja sitini na tatu (163) na Majimbo yote mia mbili thelathini na tisa (239) ya uchaguzi na Kata/Wadi 1,938 nchini.

  3. Amehutubia jumla ya mikutano 1,918 ikiwemo mikutano 249 ya ndani na mikutano 1,669 ya hadhara.

  4. Amekagua, amechangia,amehimiza na kushiriki katika kazi za utekelezaji wa ilani kwenye jumla ya miradi 2,671 ikiwemo 284 ya Chama na 2,387 ya Maendeleo ya wananchi.

  5. Amepokea jumla ya wanachama wapya wa CCM 208,430 wakiwemo wanachama 36,984 kutoka vyama vya upinzani.
Kama sheria ingemruhusu, Mzee Kinana angefaa nafasi ya Uwaziri mkuu kwani

  • Ziara yake imemfanya afahamu vyema jiografia na Changamoto za watanzania hasa vijijini
  • anaonekana ni mchapakazi na ana Msimamo katika kile anachokiamini. kwani ameonekana akikosoa serikari yake mara kadhaa. dhana ya magamba na mawaziri mizigo ilianzia kwake
  • Anachukizwa na watu kufanya kazi kwa mazoea
attachment.php

attachment.php
attachment.php
attachment.php
 

Attachments

  • kinana1.jpg
    kinana1.jpg
    49 KB · Views: 350
  • kinana6.jpg
    kinana6.jpg
    28.1 KB · Views: 341
Mkuu Kinana hawezi akawa Waziri Mkuu kwakuwa sio mbunge, na hata akiteuliwa ubunge haqualify, uwaziri mkuu ni lazima uwe mbunge wa jimbo kupitia wananchi
 
Ni kweli Mzee hapendi utani awezi kuwa Waziri Mkuu lakini Anafaa nafasi ya Uwaziri. na Nape akiwa waziri Mambo ya ndani, Hapo ni kazi tu...
 
Hahaaaaaaaa mpambe pambana uwaziri mkuu atausikia. Huyo mnafika hawezi. Akamalizie doz ya bone morrow asitufie hapa. Ngozi yenyewe imepukutika.??????
Kumbuka usemi wa wahenga "KAMA UJAFA HUJAHUMBIKA" in other words binadamu mwenye akili timamu hawezi kumcheka/beza mwenye Ugonjwa, uwezi kutabiri ya kesho.
 
JF inadhalilishwa ,mleta Mnakasha inaonekana hajui ata vigezo vya waziri mkuu vikoje..ni haibu hii..inaonekana ata KATIBA hujawai isoma
 
Jamani tuseme kweli na ukweli utatuweka huru. Kama kweli ccm wamedhamiria kuleta mabadiliko ya kweli pasipo kuangalia makunyanzi dr Mwakiembe atakuwa ndie chaguo bora kabisa kama la hayati Sokoine. Ccm ikitaka kura za wa Tz wote nakuimaliza ukawa na watoto wake. Dr Mwakiembe ndio sumu ya mwisho. Viongoz wa dini zote tumuombe Mungu Harrison Mwakiembe awe Waziri mkuu. Nasema maziwa yatatoka kwenye mabomba.

Hakika ndo MTU tunaemsubili
 
Kwa mujibu wa katiba, Waziri Mkuu awe mbunge wa kuchaguliwa, Kinana hakugombea popote.

Mkuu Kinana hawezi akawa Waziri Mkuu kwakuwa sio mbunge, na hata akiteuliwa ubunge haqualify, uwaziri mkuu ni lazima uwe mbunge wa jimbo kupitia wananchi

Nimekusoma Mkuu wengi wamejifunza hapa. ila huyu mzee anafaa kupata nafasi ya kuendelea kuwatumikia wananchi...
 
JF inadhalilishwa ,mleta Mnakasha inaonekana hajui ata vigezo vya waziri mkuu vikoje..ni haibu hii..inaonekana ata KATIBA hujawai isoma

Mkuu Kinana hawezi akawa Waziri Mkuu kwakuwa sio mbunge, na hata akiteuliwa ubunge haqualify, uwaziri mkuu ni lazima uwe mbunge wa jimbo kupitia wananchi

Kwa mujibu wa katiba, Waziri Mkuu awe mbunge wa kuchaguliwa, Kinana hakugombea popote.

Mie nashindwa kuelewa hawa watu wasioijua hata katiba ya nchi yao wanapata wapi nguvu ya kuzungumzia na kushauri kuhusu siasa:confused::confused:
 
Back
Top Bottom