Mapendekezo ya muundo wa baraza la mawaziri - 2010-2015

Kwa muda mrefu tumeweka Madini na Nishati mahali pamoja kiasi kwamba ni vigumu kuzionea zikitenganishwa. Binafsi ninaamini Madini ni sekta kubwa mno kwa nchi yetu kiasi kwamba kuiweka na wizara nyingine hatuitendei haki. Nishati ni sekta kubwa na yenye kugusa watu na taasisi mbali mbali (zote) nahivyo kuiweka na sekta nyingine kubwa ni kutoitendea haki. Matatizo ya nishati na madini ambayo tumeyapata miaka hii naamini kiasi kikubwa ni kutokana na kuunganishwa kwa sekta hizi mbili na hivyo kuzifanya zikose mkazo unaostahili. Wakati umefika tuzitenganishe kama tunataka kuzisimamia vizuri.
 
Kwa muda mrefu tumeweka Madini na Nishati mahali pamoja kiasi kwamba ni vigumu kuzionea zikitenganishwa. Binafsi ninaamini Madini ni sekta kubwa mno kwa nchi yetu kiasi kwamba kuiweka na wizara nyingine hatuitendei haki. Nishati ni sekta kubwa na yenye kugusa watu na taasisi mbali mbali (zote) nahivyo kuiweka na sekta nyingine kubwa ni kutoitendea haki. Matatizo ya nishati na madini ambayo tumeyapata miaka hii naamini kiasi kikubwa ni kutokana na kuunganishwa kwa sekta hizi mbili na hivyo kuzifanya zikose mkazo unaostahili. Wakati umefika tuzitenganishe kama tunataka kuzisimamia vizuri.

It make sense.............

revised list is as follows.....
1. Ministry of Finance, Economic Planning and Public Service
2. Ministry of Foreign Affairs (includes EA portfolio)
3. Ministry of Education, Science and Technology
4. Ministry of Health
5. Ministry of Legal Affairs
6. Ministry of Housing, Lands and Surveys
7. Ministry of Agriculture, Livestock and Marine Resources
8. Ministry of Labour and Social Development
9. Ministry of National Security (Polisi, TAKUKURU, UwT, Magereza na Uhamiaji)
10. Ministry of Public Works, Aviation, Telecommunication and Transport
11. Ministry of the Environment, Energy (Gas, Oil, Coal? au?) and Water Resources
12. Ministry of Tourism
13. Ministry of Information,Youths, Sports and Culture
14. Ministry of Trade and Industry
15. Ministry of Local Governments
16. Ministry of Defense & National Service
17. Ministry of Minerals/Mining

Bado utaona Wizara 20 ni maximum..........na si lazima Wizara zote ziwe na manaibu.............

Pendekezo:
Manaibu Waziri wawe pia wanaingia ktk Cabinet............it does not make sense kama hawaingii............
 
Ingependeza zaidi akatuwekea japo mawaziri amabao tumewaona serikali iliyopita na kuujua utendaji wao. Hawa wapy wawezaacha blank!
 
MAPENDEKEZO YA MUUNDO WA BARAZA LA MAWAZIRI 2010- NA SABABU ZAKE

Na. M. M. Mwanakijiji

Ni mara chache sana katika kipindi cha utawala tunaweza kupata nafasi ya kutoa mawazo juu ya muundo wa Baraza la Mawaziri. Hakuna wakati mzuri wa kufanya hivyo kama kufuatia uchaguzi mkuu kwani ni wakati huu ndipo mwelekeo wa serikali unaonekana. Wakati mbaya ni wakati ambapo baraza jipya linaundwa katikati ya vipindi vya uchaguzi kufuatia kujiuzulu, kifo cha Waziri Mkuu au kuvunjwa na Rais.

Baraza la Mawaziri ndilo hutoa dalili ya mwelekeo wa serikali inayoingia madarakani. Ilani ya Uchaguzi ya chama na kampeni za siasa ni kwa ajili ya kuomba ridhaa ya kuwaongoza wananchi na baada ya kuchaguliwa chama kilichoshinda hujiandaa kushika madaraka na baada ya taratibu zote za kurasimisha ubunge kukamilika kinachosubiriwa ni kuundwa kwa Baraza la Mawaziri a.k.a Serikali. Baraza la Mawaziri ndicho chombo kikuu cha ushauri kwa Rais na usimamizi wa serikali. Hivyo, kwa kuangalia Baraza lilivyo unaweza kupata picha ya nini kitafanywa na serikali inayokuja. Hakuna haja ya kusikiliza hotuba, kuangalia maneno, semina bali kuangalia baraza limepangwaje ili kutekeleza ilani ya uchaguzi na pili nani anaingia kwenye bara hilo. Timu inaweza kuwa na jina kubwa, bajeti kubwa na kocha mzuri; hata hivyo kazi ipo katika wachezaji wake na mfumo na mikakati yao ya ushindi.

Mapendekezo haya ninayatoa yakiakisi mwelekeo wa serikali ya CCM na Ilani yake. Endapo Dr. Slaa angetangazwa mshindi basi ningetoa mapendekezo yenye kuakisi mabadiliko makubwa ya kimfumo ambacho Chadema ilikuwa imeyaahidi. Kwa vile ajenda ya CCM haikuwa inalenga mabadiliko makubwa ya kimfumo wa utawala mapendekezo yangu basi yameegemea katika mambo makubwa manne tu:

Kupunguza ukubwa wa serikali (lean government)
Kupanga wizara kwa mantiki ya utendaji wake (logical flow of operation)
Kurahisisha mtiririko wa utendaji (streamlining performance)
Kulenga ufanisi wa matokeo kuliko mchakato (result oriented government)

Mapendekezo haya pia yamezingatia mfumo wa baraza la mawaziri ya baadhi ya nchi zinazoendelea na hata zilizoendelea ambazo zimefanya mageuzi makubwa ya mifumo yao ya utawala na kujiweka katika nafasi za kufanikiwa. Nchi ambazo nimepitia mabaraza yake ni:

Indonesia
Korea ya Kusini
Namibia
Botswana
Afrika ya Kusini
Canada
Marekani
Kwa ujumla nimeweza kufikia wizara 23. Kati ya hizi wizara 19 ziko wizara kamili nje za ofisi za Rais, Makamu na Waziri Mkuu. Ina maana ofisi hizo za kiutendaji zinabakia na wizara nne tu au tatu kutegemea na wapi Wizara ya Utumishi wa Umma itawekwa. Kati ya wizara hizo 23 ni saba tu zitakuwa na Manaibu Waziri.

Ninazigawa wizara hizi katika makundi makubwa matano kulingana na mwelekeo wa majukumu yao. Mgawanyo huu hauchori mipaka isiyovukika kati ya wizara na wizara (nyingi zinaingiliana) bali ni mgawanyo wa kuzielewa tu na kuziwezesha kuonekana vizuri katika mwelekeo wa utendaji wake. Ni sawasawa na jinsi wachezaji wa soka wanvyojipanga uwanjani wakati wa mpira kuanza huku kila mmoja akionekana vizuri katika nafasi yake lakini wakianza kucheza tunaweza kuwaona wanavyohusiana, kupishana, kusaidiana na hatimaye kuweza kuleta ushindi.

Wizara za Usalama na Ulinzi
Wizara za Kijamii na Maisha
Wizara za Mambo ya Uchumi na Uzalishaji Mali
Wizara za Utawala na Uwajibikaji
Wizara za Nchi

Katika makala ya mapendekezo ambayo nimeambatanisha hapa nimechangua sababu za kwanini wizara fulani iwe au iko mahali fulani. Hivyo, kabla ya kukosoa nashauri mtu apitie makala hiyo ili kidogo awe ameingia kichwani mwangu kuelewa the reasoning behind ili mtakaponikosoa mnikosoe kwa haki. Kauli ya "mwanakijiji mimi sijasoma makala yako lakini.." ni dalili ya kuwa presumptuous. So, nashauri take time to read halafu kosoa, halafu tujadiliane kwani kwa kufanya hivyo tutakuwa tumegonganisha vichwa (brain storming) na kutoa mchango hata usiozingatiwa au kukubaliwa wa serikali tunayoona itafaa.

WIZARA ZOTE



  1. Wizara ya Ulinzi na JKT - Ministry of Defense & National Service
  2. Wizara ya Mambo ya Ndani, Uhamiaji na Vikosi vya Uokoaji - Ministry of Home Affairs, Immigration and Rescue Forces
  3. Wizara ya Usalama wa Taifa- Ministry of National Security
  4. Wizara ya Afya - Ministry of Health
  5. Wizara ya Elimu - Ministry of Education
  6. Wizara ya Maendeleo ya Jamii - Ministry of Community Development
  7. Wizara ya Maendeleo ya Sayansi na Teknolojia - Ministry of Science and Technological Development
  8. Wizara ya Ardhi, Nyumba Vijijini na Maendeleo ya Miji - Ministry of Land, Rural Housing and Urban Development
  9. Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo. Ministry of Culture, Arts and Sports
  10. Wizara ya Fedha na Uchumi - Ministry of Finance and Economic Affairs
  11. Wizara ya Biashara, Viwanda, Masoko, na Uwekezaji - Ministry of Trade, Industry and Investments
  12. Wizara ya Nishati na Raslimali za Mafuta - Ministry of Energy and Oil Resources
  13. Wizara ya Maendeleo ya Miundombinu - Ministry of Infrastructure Development
  14. Wizara ya Mazingira, Utalii na Uhifadhi wa Wanyama Pori - Ministry of Environment, Tourism and Wildlife Conservation
  15. Wizara ya Madini - Ministry of Mining
  16. Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi - Ministry of Agriculture, Livestock and Fisheries
  17. Wizara ya Maji na Usalama wa Chakula - Ministry of Water Resources and Food Security
  18. Wizara ya Mambo ya Nje - Ministry of Foreign Affairs
  19. Wizara ya Haki na Usimamizi wa Sheria - Ministry of Justice and Law
  20. Wizara ya Utumishi wa Umma na Utawala - Ministry of Public Service and Administration
  21. Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Masuala ya Muungano - Ministry of State Vice President's Office - Union Affairs
  22. Wizara ya Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa - Ministry of State Local Governments and Regional Administrations
  23. Wizara ya Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Masuala ya Bunge.


Mwanakijiji:

  1. Usalama wa taifa inakuwa chini ya rais. Hivyo hakuna haja ya kuwa na wizara yake.
  2. Sheria na mambo ya ndani ni walewale
  3. Kwa sababu sasa hivi serikali ni regulator na sio mzalishaji basi hizi ziungane
    • Wizara ya Nishati na Raslimali za Mafuta - Ministry of Energy and Oil Resources
    • Wizara ya Madini - Ministry of Mining
  4. Hizi zifuatazo ni zilezile
    • Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi - Ministry of Agriculture, Livestock and Fisheries
    • Wizara ya Maji na Usalama wa Chakula - Ministry of Water Resources and Food Security
  5. Hizi nazo zinafanana
    • Wizara ya Afya - Ministry of Health
    • Wizara ya Maendeleo ya Jamii - Ministry of Community Development
  6. Kutokana na kuwa siku hizi serikali haifanyi umachinga hizi pia ziwe pamoja
    • Wizara ya Fedha na Uchumi - Ministry of Finance and Economic Affairs
    • Wizara ya Biashara, Viwanda, Masoko, na Uwekezaji - Ministry of Trade, Industry and Investments
 
Zakumi nimekupata.. lakini nikiangalia naona kuna kubananisha sana; labda tuwe na baadhi ya wizara na nyingine ziwe taasisi huru kabisa.
 
MAPENDEKEZO YA MUUNDO WA BARAZA LA MAWAZIRI 2010- NA SABABU ZAKE

Na. M. M. Mwanakijiji

Ni mara chache sana katika kipindi cha utawala tunaweza kupata nafasi ya kutoa mawazo juu ya muundo wa Baraza la Mawaziri. Hakuna wakati mzuri wa kufanya hivyo kama kufuatia uchaguzi mkuu kwani ni wakati huu ndipo mwelekeo wa serikali unaonekana. Wakati mbaya ni wakati ambapo baraza jipya linaundwa katikati ya vipindi vya uchaguzi kufuatia kujiuzulu, kifo cha Waziri Mkuu au kuvunjwa na Rais.

Baraza la Mawaziri ndilo hutoa dalili ya mwelekeo wa serikali inayoingia madarakani. Ilani ya Uchaguzi ya chama na kampeni za siasa ni kwa ajili ya kuomba ridhaa ya kuwaongoza wananchi na baada ya kuchaguliwa chama kilichoshinda hujiandaa kushika madaraka na baada ya taratibu zote za kurasimisha ubunge kukamilika kinachosubiriwa ni kuundwa kwa Baraza la Mawaziri a.k.a Serikali. Baraza la Mawaziri ndicho chombo kikuu cha ushauri kwa Rais na usimamizi wa serikali. Hivyo, kwa kuangalia Baraza lilivyo unaweza kupata picha ya nini kitafanywa na serikali inayokuja. Hakuna haja ya kusikiliza hotuba, kuangalia maneno, semina bali kuangalia baraza limepangwaje ili kutekeleza ilani ya uchaguzi na pili nani anaingia kwenye bara hilo. Timu inaweza kuwa na jina kubwa, bajeti kubwa na kocha mzuri; hata hivyo kazi ipo katika wachezaji wake na mfumo na mikakati yao ya ushindi.

Mapendekezo haya ninayatoa yakiakisi mwelekeo wa serikali ya CCM na Ilani yake. Endapo Dr. Slaa angetangazwa mshindi basi ningetoa mapendekezo yenye kuakisi mabadiliko makubwa ya kimfumo ambacho Chadema ilikuwa imeyaahidi. Kwa vile ajenda ya CCM haikuwa inalenga mabadiliko makubwa ya kimfumo wa utawala mapendekezo yangu basi yameegemea katika mambo makubwa manne tu:

Kupunguza ukubwa wa serikali (lean government)
Kupanga wizara kwa mantiki ya utendaji wake (logical flow of operation)
Kurahisisha mtiririko wa utendaji (streamlining performance)
Kulenga ufanisi wa matokeo kuliko mchakato (result oriented government)

Mapendekezo haya pia yamezingatia mfumo wa baraza la mawaziri ya baadhi ya nchi zinazoendelea na hata zilizoendelea ambazo zimefanya mageuzi makubwa ya mifumo yao ya utawala na kujiweka katika nafasi za kufanikiwa. Nchi ambazo nimepitia mabaraza yake ni:

Indonesia
Korea ya Kusini
Namibia
Botswana
Afrika ya Kusini
Canada
Marekani
Kwa ujumla nimeweza kufikia wizara 23. Kati ya hizi wizara 19 ziko wizara kamili nje za ofisi za Rais, Makamu na Waziri Mkuu. Ina maana ofisi hizo za kiutendaji zinabakia na wizara nne tu au tatu kutegemea na wapi Wizara ya Utumishi wa Umma itawekwa. Kati ya wizara hizo 23 ni saba tu zitakuwa na Manaibu Waziri.

Ninazigawa wizara hizi katika makundi makubwa matano kulingana na mwelekeo wa majukumu yao. Mgawanyo huu hauchori mipaka isiyovukika kati ya wizara na wizara (nyingi zinaingiliana) bali ni mgawanyo wa kuzielewa tu na kuziwezesha kuonekana vizuri katika mwelekeo wa utendaji wake. Ni sawasawa na jinsi wachezaji wa soka wanvyojipanga uwanjani wakati wa mpira kuanza huku kila mmoja akionekana vizuri katika nafasi yake lakini wakianza kucheza tunaweza kuwaona wanavyohusiana, kupishana, kusaidiana na hatimaye kuweza kuleta ushindi.

Wizara za Usalama na Ulinzi
Wizara za Kijamii na Maisha
Wizara za Mambo ya Uchumi na Uzalishaji Mali
Wizara za Utawala na Uwajibikaji
Wizara za Nchi

Katika makala ya mapendekezo ambayo nimeambatanisha hapa nimechangua sababu za kwanini wizara fulani iwe au iko mahali fulani. Hivyo, kabla ya kukosoa nashauri mtu apitie makala hiyo ili kidogo awe ameingia kichwani mwangu kuelewa the reasoning behind ili mtakaponikosoa mnikosoe kwa haki. Kauli ya "mwanakijiji mimi sijasoma makala yako lakini.." ni dalili ya kuwa presumptuous. So, nashauri take time to read halafu kosoa, halafu tujadiliane kwani kwa kufanya hivyo tutakuwa tumegonganisha vichwa (brain storming) na kutoa mchango hata usiozingatiwa au kukubaliwa wa serikali tunayoona itafaa.

WIZARA ZOTE



  1. Wizara ya Ulinzi na JKT - Ministry of Defense & National Service
  2. Wizara ya Mambo ya Ndani, Uhamiaji na Vikosi vya Uokoaji - Ministry of Home Affairs, Immigration and Rescue Forces
  3. Wizara ya Usalama wa Taifa- Ministry of National Security
  4. Wizara ya Afya - Ministry of Health
  5. Wizara ya Elimu - Ministry of Education
  6. Wizara ya Maendeleo ya Jamii - Ministry of Community Development
  7. Wizara ya Maendeleo ya Sayansi na Teknolojia - Ministry of Science and Technological Development
  8. Wizara ya Ardhi, Nyumba Vijijini na Maendeleo ya Miji - Ministry of Land, Rural Housing and Urban Development
  9. Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo. Ministry of Culture, Arts and Sports
  10. Wizara ya Fedha na Uchumi - Ministry of Finance and Economic Affairs
  11. Wizara ya Biashara, Viwanda, Masoko, na Uwekezaji - Ministry of Trade, Industry and Investments
  12. Wizara ya Nishati na Raslimali za Mafuta - Ministry of Energy and Oil Resources
  13. Wizara ya Maendeleo ya Miundombinu - Ministry of Infrastructure Development
  14. Wizara ya Mazingira, Utalii na Uhifadhi wa Wanyama Pori - Ministry of Environment, Tourism and Wildlife Conservation
  15. Wizara ya Madini - Ministry of Mining
  16. Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi - Ministry of Agriculture, Livestock and Fisheries
  17. Wizara ya Maji na Usalama wa Chakula - Ministry of Water Resources and Food Security
  18. Wizara ya Mambo ya Nje - Ministry of Foreign Affairs
  19. Wizara ya Haki na Usimamizi wa Sheria - Ministry of Justice and Law
  20. Wizara ya Utumishi wa Umma na Utawala - Ministry of Public Service and Administration
  21. Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Masuala ya Muungano - Ministry of State Vice President’s Office - Union Affairs
  22. Wizara ya Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa - Ministry of State Local Governments and Regional Administrations
  23. Wizara ya Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Masuala ya Bunge.

Imekaa vizuri ila mambo ya usalama wa Taifa haya yanatakiwa yawe chini ya raisi moja kwa moja, hivyo wizara ya usalama wa Taifa iwe chini ya ofisi ya raisi
 
Mawazo yako ni mazuri sana,ingawa naamini serikali ya CCM si serikali sikivu na haiwezi kamwe kukubaliana na mawazo kama haya.Mimi naona katika pendekezo lako la kuwa na wizara 23 ni zuri.Lakini,tungeweza kupunguza zaidi na kubaki na wizara 22 kwa kuunganisha wizara za "Wizara ya Nishati na Raslimali za Mafuta,na Wizara ya Madini"na kuwa "wizara ya nishati na madini" kama ilivyo hivi sasa.Sehemu nyingine ambayo hukuigusia ni suala la manaibu waziri,mimi nafikiri hakuna haja ya kuwa na manaibu waziri zaidi ya mmoja katika wizara moja,kwani kufanya hivyo ni kuongeza garama za uendeshaji wa serikali zisiokuwa na tija yoyote.
 
kwa nini umetanganisha usalama wa chakula na kilimo?

Kwa nini usalama na uokoaji vinakuwa wizara tofauti?

kwa nini kila siku tunatenganisha utawala na sheria?
 
kwa nini umetanganisha usalama wa chakula na kilimo?

Kwa nini usalama na uokoaji vinakuwa wizara tofauti?

kwa nini kila siku tunatenganisha utawala na sheria?

Companero.. wewe ungependa ziwe vipi? ndio maana ya kugonganisha vichwa.
 
Wewe si miongoni mwa wale wasiomtambua Rais?! Sidhani kama atautambua ushauri wako, kwa sababu huonyeshi kuwa na nia nzuri na Rais wetu.

"..... akamjibu, Kama nimesema vibaya, ushuhudie ule ubaya; bali kama nimesema vema, wanipigia nini?" Yoh.18:22-23. Aaahh, Kumbe yalishaandikwa miaka mingi tu huko nyuma!!!!
 
MAPENDEKEZO YA MUUNDO WA BARAZA LA MAWAZIRI 2010- NA SABABU ZAKE

Na. M. M. Mwanakijiji

Ni mara chache sana katika kipindi cha utawala tunaweza kupata nafasi ya kutoa mawazo juu ya muundo wa Baraza la Mawaziri. Hakuna wakati mzuri wa kufanya hivyo kama kufuatia uchaguzi mkuu kwani ni wakati huu ndipo mwelekeo wa serikali unaonekana. Wakati mbaya ni wakati ambapo baraza jipya linaundwa katikati ya vipindi vya uchaguzi kufuatia kujiuzulu, kifo cha Waziri Mkuu au kuvunjwa na Rais.

Baraza la Mawaziri ndilo hutoa dalili ya mwelekeo wa serikali inayoingia madarakani. Ilani ya Uchaguzi ya chama na kampeni za siasa ni kwa ajili ya kuomba ridhaa ya kuwaongoza wananchi na baada ya kuchaguliwa chama kilichoshinda hujiandaa kushika madaraka na baada ya taratibu zote za kurasimisha ubunge kukamilika kinachosubiriwa ni kuundwa kwa Baraza la Mawaziri a.k.a Serikali. Baraza la Mawaziri ndicho chombo kikuu cha ushauri kwa Rais na usimamizi wa serikali. Hivyo, kwa kuangalia Baraza lilivyo unaweza kupata picha ya nini kitafanywa na serikali inayokuja. Hakuna haja ya kusikiliza hotuba, kuangalia maneno, semina bali kuangalia baraza limepangwaje ili kutekeleza ilani ya uchaguzi na pili nani anaingia kwenye bara hilo. Timu inaweza kuwa na jina kubwa, bajeti kubwa na kocha mzuri; hata hivyo kazi ipo katika wachezaji wake na mfumo na mikakati yao ya ushindi.

Mapendekezo haya ninayatoa yakiakisi mwelekeo wa serikali ya CCM na Ilani yake. Endapo Dr. Slaa angetangazwa mshindi basi ningetoa mapendekezo yenye kuakisi mabadiliko makubwa ya kimfumo ambacho Chadema ilikuwa imeyaahidi. Kwa vile ajenda ya CCM haikuwa inalenga mabadiliko makubwa ya kimfumo wa utawala mapendekezo yangu basi yameegemea katika mambo makubwa manne tu:

Kupunguza ukubwa wa serikali (lean government)
Kupanga wizara kwa mantiki ya utendaji wake (logical flow of operation)
Kurahisisha mtiririko wa utendaji (streamlining performance)
Kulenga ufanisi wa matokeo kuliko mchakato (result oriented government)

Mapendekezo haya pia yamezingatia mfumo wa baraza la mawaziri ya baadhi ya nchi zinazoendelea na hata zilizoendelea ambazo zimefanya mageuzi makubwa ya mifumo yao ya utawala na kujiweka katika nafasi za kufanikiwa. Nchi ambazo nimepitia mabaraza yake ni:

Indonesia
Korea ya Kusini
Namibia
Botswana
Afrika ya Kusini
Canada
Marekani
Kwa ujumla nimeweza kufikia wizara 23. Kati ya hizi wizara 19 ziko wizara kamili nje za ofisi za Rais, Makamu na Waziri Mkuu. Ina maana ofisi hizo za kiutendaji zinabakia na wizara nne tu au tatu kutegemea na wapi Wizara ya Utumishi wa Umma itawekwa. Kati ya wizara hizo 23 ni saba tu zitakuwa na Manaibu Waziri.

Ninazigawa wizara hizi katika makundi makubwa matano kulingana na mwelekeo wa majukumu yao. Mgawanyo huu hauchori mipaka isiyovukika kati ya wizara na wizara (nyingi zinaingiliana) bali ni mgawanyo wa kuzielewa tu na kuziwezesha kuonekana vizuri katika mwelekeo wa utendaji wake. Ni sawasawa na jinsi wachezaji wa soka wanvyojipanga uwanjani wakati wa mpira kuanza huku kila mmoja akionekana vizuri katika nafasi yake lakini wakianza kucheza tunaweza kuwaona wanavyohusiana, kupishana, kusaidiana na hatimaye kuweza kuleta ushindi.

Wizara za Usalama na Ulinzi
Wizara za Kijamii na Maisha
Wizara za Mambo ya Uchumi na Uzalishaji Mali
Wizara za Utawala na Uwajibikaji
Wizara za Nchi

Katika makala ya mapendekezo ambayo nimeambatanisha hapa nimechangua sababu za kwanini wizara fulani iwe au iko mahali fulani. Hivyo, kabla ya kukosoa nashauri mtu apitie makala hiyo ili kidogo awe ameingia kichwani mwangu kuelewa the reasoning behind ili mtakaponikosoa mnikosoe kwa haki. Kauli ya "mwanakijiji mimi sijasoma makala yako lakini.." ni dalili ya kuwa presumptuous. So, nashauri take time to read halafu kosoa, halafu tujadiliane kwani kwa kufanya hivyo tutakuwa tumegonganisha vichwa (brain storming) na kutoa mchango hata usiozingatiwa au kukubaliwa wa serikali tunayoona itafaa.

WIZARA ZOTE



  1. Wizara ya Ulinzi na JKT - Ministry of Defense & National Service
  2. Wizara ya Mambo ya Ndani, Uhamiaji na Vikosi vya Uokoaji - Ministry of Home Affairs, Immigration and Rescue Forces
  3. Wizara ya Usalama wa Taifa- Ministry of National Security
  4. Wizara ya Afya - Ministry of Health
  5. Wizara ya Elimu - Ministry of Education
  6. Wizara ya Maendeleo ya Jamii - Ministry of Community Development
  7. Wizara ya Maendeleo ya Sayansi na Teknolojia - Ministry of Science and Technological Development
  8. Wizara ya Ardhi, Nyumba Vijijini na Maendeleo ya Miji - Ministry of Land, Rural Housing and Urban Development
  9. Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo. Ministry of Culture, Arts and Sports
  10. Wizara ya Fedha na Uchumi - Ministry of Finance and Economic Affairs
  11. Wizara ya Biashara, Viwanda, Masoko, na Uwekezaji - Ministry of Trade, Industry and Investments
  12. Wizara ya Nishati na Raslimali za Mafuta - Ministry of Energy and Oil Resources
  13. Wizara ya Maendeleo ya Miundombinu - Ministry of Infrastructure Development
  14. Wizara ya Mazingira, Utalii na Uhifadhi wa Wanyama Pori - Ministry of Environment, Tourism and Wildlife Conservation
  15. Wizara ya Madini - Ministry of Mining
  16. Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi - Ministry of Agriculture, Livestock and Fisheries
  17. Wizara ya Maji na Usalama wa Chakula - Ministry of Water Resources and Food Security
  18. Wizara ya Mambo ya Nje - Ministry of Foreign Affairs
  19. Wizara ya Haki na Usimamizi wa Sheria - Ministry of Justice and Law
  20. Wizara ya Utumishi wa Umma na Utawala - Ministry of Public Service and Administration
  21. Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Masuala ya Muungano - Ministry of State Vice President’s Office - Union Affairs
  22. Wizara ya Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa - Ministry of State Local Governments and Regional Administrations
  23. Wizara ya Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Masuala ya Bunge.

MMJ,
Asante kwa pendekezo zuri na lenye tija kwa Taifa. Lakini nimepata infos za uhakika kwamba mkulu anakuja na baraza la mawaziri 33.
 
Ulaji usiwe ndio kigezo cha kuundwa wizara. Tanzania inataka kuona zaidi ya watu wachache kujinufaisha
 
Mapendekezo haya yanapunguza ulaji kwa karibu watu 30 kutoka ilivyo sasa. Hatari moja ambayo tusije kuiingia vibaya ni kusema kuwa tupunguze tu idadi ya wizara tukiamini itaennda na effiency wakati sehemu nyingine za mfumo wetu zimebakia vile zilivyo. Kwa mfano, kuna taasisi au vyombo ambavyo vimeundwa ambavyo kisheria vinatakiwa viwe chini ya waziri hivyo Rais yeyote anapokuja anajikuta anaviweka chini ya wizara fulani kwa mfano "Habari". Binafsi Habari isingekuwa na waziri yeyote na kuachwa iwe taasisi huru na isisimiwe na waziri yeyote. Lakini sheria yetu ya Magazeti n.k zinadokeza wazikuwa yupo Waziri anayeshughulikia masuala ya habari!

Lakini vile vile katika kutaka udogo tusije tukawa na baraza dogo mno katika namba lakini watu wake wamerundikiwa mengi mno kiasi cha kuwa inefficient. Ndio maana nimeweka hapo juu kabisa misingi ya kwanini mapendekezo haya yako jinsi yalivyo. Udogo to for the sake of udogo au kupunguza gharama za kuendesha hakuhakikishi kuwa baraza litakuwa more effective.
 
MAPENDEKEZO YA MUUNDO WA BARAZA LA MAWAZIRI 2010- NA SABABU ZAKE

Na. M. M. Mwanakijiji

Ni mara chache sana katika kipindi cha utawala tunaweza kupata nafasi ya kutoa mawazo juu ya muundo wa Baraza la Mawaziri. Hakuna wakati mzuri wa kufanya hivyo kama kufuatia uchaguzi mkuu kwani ni wakati huu ndipo mwelekeo wa serikali unaonekana. Wakati mbaya ni wakati ambapo baraza jipya linaundwa katikati ya vipindi vya uchaguzi kufuatia kujiuzulu, kifo cha Waziri Mkuu au kuvunjwa na Rais.

Baraza la Mawaziri ndilo hutoa dalili ya mwelekeo wa serikali inayoingia madarakani. Ilani ya Uchaguzi ya chama na kampeni za siasa ni kwa ajili ya kuomba ridhaa ya kuwaongoza wananchi na baada ya kuchaguliwa chama kilichoshinda hujiandaa kushika madaraka na baada ya taratibu zote za kurasimisha ubunge kukamilika kinachosubiriwa ni kuundwa kwa Baraza la Mawaziri a.k.a Serikali. Baraza la Mawaziri ndicho chombo kikuu cha ushauri kwa Rais na usimamizi wa serikali. Hivyo, kwa kuangalia Baraza lilivyo unaweza kupata picha ya nini kitafanywa na serikali inayokuja. Hakuna haja ya kusikiliza hotuba, kuangalia maneno, semina bali kuangalia baraza limepangwaje ili kutekeleza ilani ya uchaguzi na pili nani anaingia kwenye bara hilo. Timu inaweza kuwa na jina kubwa, bajeti kubwa na kocha mzuri; hata hivyo kazi ipo katika wachezaji wake na mfumo na mikakati yao ya ushindi.

Mapendekezo haya ninayatoa yakiakisi mwelekeo wa serikali ya CCM na Ilani yake. Endapo Dr. Slaa angetangazwa mshindi basi ningetoa mapendekezo yenye kuakisi mabadiliko makubwa ya kimfumo ambacho Chadema ilikuwa imeyaahidi. Kwa vile ajenda ya CCM haikuwa inalenga mabadiliko makubwa ya kimfumo wa utawala mapendekezo yangu basi yameegemea katika mambo makubwa manne tu:

Kupunguza ukubwa wa serikali (lean government)
Kupanga wizara kwa mantiki ya utendaji wake (logical flow of operation)
Kurahisisha mtiririko wa utendaji (streamlining performance)
Kulenga ufanisi wa matokeo kuliko mchakato (result oriented government)

Mapendekezo haya pia yamezingatia mfumo wa baraza la mawaziri ya baadhi ya nchi zinazoendelea na hata zilizoendelea ambazo zimefanya mageuzi makubwa ya mifumo yao ya utawala na kujiweka katika nafasi za kufanikiwa. Nchi ambazo nimepitia mabaraza yake ni:

Indonesia
Korea ya Kusini
Namibia
Botswana
Afrika ya Kusini
Canada
Marekani
Kwa ujumla nimeweza kufikia wizara 23. Kati ya hizi wizara 19 ziko wizara kamili nje za ofisi za Rais, Makamu na Waziri Mkuu. Ina maana ofisi hizo za kiutendaji zinabakia na wizara nne tu au tatu kutegemea na wapi Wizara ya Utumishi wa Umma itawekwa. Kati ya wizara hizo 23 ni saba tu zitakuwa na Manaibu Waziri.

Ninazigawa wizara hizi katika makundi makubwa matano kulingana na mwelekeo wa majukumu yao. Mgawanyo huu hauchori mipaka isiyovukika kati ya wizara na wizara (nyingi zinaingiliana) bali ni mgawanyo wa kuzielewa tu na kuziwezesha kuonekana vizuri katika mwelekeo wa utendaji wake. Ni sawasawa na jinsi wachezaji wa soka wanvyojipanga uwanjani wakati wa mpira kuanza huku kila mmoja akionekana vizuri katika nafasi yake lakini wakianza kucheza tunaweza kuwaona wanavyohusiana, kupishana, kusaidiana na hatimaye kuweza kuleta ushindi.

Wizara za Usalama na Ulinzi
Wizara za Kijamii na Maisha
Wizara za Mambo ya Uchumi na Uzalishaji Mali
Wizara za Utawala na Uwajibikaji
Wizara za Nchi

Katika makala ya mapendekezo ambayo nimeambatanisha hapa nimechangua sababu za kwanini wizara fulani iwe au iko mahali fulani. Hivyo, kabla ya kukosoa nashauri mtu apitie makala hiyo ili kidogo awe ameingia kichwani mwangu kuelewa the reasoning behind ili mtakaponikosoa mnikosoe kwa haki. Kauli ya "mwanakijiji mimi sijasoma makala yako lakini.." ni dalili ya kuwa presumptuous. So, nashauri take time to read halafu kosoa, halafu tujadiliane kwani kwa kufanya hivyo tutakuwa tumegonganisha vichwa (brain storming) na kutoa mchango hata usiozingatiwa au kukubaliwa wa serikali tunayoona itafaa.

WIZARA ZOTE



  1. Wizara ya Ulinzi na JKT - Ministry of Defense & National Service
  2. Wizara ya Mambo ya Ndani, Uhamiaji na Vikosi vya Uokoaji - Ministry of Home Affairs, Immigration and Rescue Forces
  3. Wizara ya Usalama wa Taifa- Ministry of National Security
  4. Wizara ya Afya - Ministry of Health
  5. Wizara ya Elimu - Ministry of Education
  6. Wizara ya Maendeleo ya Jamii - Ministry of Community Development
  7. Wizara ya Maendeleo ya Sayansi na Teknolojia - Ministry of Science and Technological Development
  8. Wizara ya Ardhi, Nyumba Vijijini na Maendeleo ya Miji - Ministry of Land, Rural Housing and Urban Development
  9. Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo. Ministry of Culture, Arts and Sports
  10. Wizara ya Fedha na Uchumi - Ministry of Finance and Economic Affairs
  11. Wizara ya Biashara, Viwanda, Masoko, na Uwekezaji - Ministry of Trade, Industry and Investments
  12. Wizara ya Nishati na Raslimali za Mafuta - Ministry of Energy and Oil Resources
  13. Wizara ya Maendeleo ya Miundombinu - Ministry of Infrastructure Development
  14. Wizara ya Mazingira, Utalii na Uhifadhi wa Wanyama Pori - Ministry of Environment, Tourism and Wildlife Conservation
  15. Wizara ya Madini - Ministry of Mining
  16. Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi - Ministry of Agriculture, Livestock and Fisheries
  17. Wizara ya Maji na Usalama wa Chakula - Ministry of Water Resources and Food Security
  18. Wizara ya Mambo ya Nje - Ministry of Foreign Affairs
  19. Wizara ya Haki na Usimamizi wa Sheria - Ministry of Justice and Law
  20. Wizara ya Utumishi wa Umma na Utawala - Ministry of Public Service and Administration
  21. Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Masuala ya Muungano - Ministry of State Vice President’s Office - Union Affairs
  22. Wizara ya Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa - Ministry of State Local Governments and Regional Administrations
  23. Wizara ya Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Masuala ya Bunge.
Mzee, mchango huu ni mbegu bora kwa ajili ya ustawi wa taifa letu. Twendeni kwa mtindo huu, Tanzania yenye neema inawezekana. Thank u.
 
Wizara nyingi ni majina tu hurudia shughuli zile zile tu na hivyo kuleta migongano ya kiutekelezaji.............mapendekezo ya Wizara ziwe 15 tu nazo ni;-

1) Utawala bora

2) Ulinzi na usalama

3) Mambo ya Nje

4)Miundo Mbinu

5) Mambo ya Ndani

6) Elimu

7) Rasilimali za asili na utalii

8) Kilimo

9) Fedha na Mipango

10) Afya

11) Utamaduni na Michezo

12) Maji na Mifugo

13) Nishati

14) Ardhi na Makaazi

15) Madini
 
Ni maoni yangu lakini naomba mchango wa wanaJF. Kuna ulazima gani ya Rais kuchagua mawaziri from wabunge. Tumeona mara nyingi mawaziri wanaochaguliwa sio wale wenye uelewa wa mambo yanayofanyika kwenye wizara zao. Inabidi atumie hata mwaka ili aelewe kinachoendelea wizarani. Then after 1 year Rais akiamua tuu anaweza kumuhamishia wizara nyingine, then semina elekezi inaanza tena.
Maoni yangu; kwa nini wasichaguliwe watu kutoka kwenye jamii ambao wanaweza kufanya kazi hii na wah. wabunge wabaki nkuwa wabwakaji wa kuinyoshea kidole serikali katika utendaji wake? Hii inaweza kutuondelea watu wanaogombea ubunge kwa ajili ya kuja kuwa mawaziri tuu instead kuwatumikia wananchi!
Nawakilisha!!
 
Back
Top Bottom