Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Kuna kila taarifa za uhakika kuwa mbio za kusaka ulaji wa wizara zinakamilika saa mbili na nusu kuanzia sasa. Wateule mlioenda mlingotini kuomba dua sasa tazameni juu mngojee kulia ama kucheka.
Du! huko ni Bagamoyo au sio!