Mapendekezo ya katiba mpya: Kipengele cha bunge kuthibiti safari za nje

CCM ya leo inaweza kutoa power to the people? CCM hii ambayo inawaita wabunge wake kwenye kikao na kuwapiga mkwara kwamba jambo fulani na fulani lazima lipite??

the bigger picture.........kama wabunge in a way wanakuwa mali ya chama, je, CHADEMA nao hawatafanya the same thing??

Mkuu, issue hapa sio kuweka kifungu, issue ni principles za good governance zinafuatwa na serikali na kuheshimiwa na vyama?
Memo kama ulivyoainisha hao nakubaliana na wewe kabisa utawala bora ndio jambo la msingi linalopashwa kufuatwa ili haya tunayoyajadili hapa yaweze kufanikiwa kufuatwa
 
- Safari za nje za Viongozi na Maofisa wetu zimekuwa nyingi mno, ni muhimu tukawa na kipengele maalum katika Katiba kinachofuatilia hizo safari, ninaamini sana kwamba Mikutano mingi wanayokwenda huko nje inaweza kuwakilishwa na Maofisa wa Balozi zetu zilizoko nje. I mean tumefikia kupeleka maofisa wa Serikali nje kwenye Mikutano ya Misitu I was like are you kidding me or what? Kwa misitu gani tuliyonayo Bongo? Enough!

- Pia Viongozi na Maofisa wetu wasafiri kwenye Economic Class I mean what went wrong na hili taifa na kusafirishana kwenye Business na First Class, hivi mnaosafiri kwenye hizo Class kwa jasho la wananchi hamuoni huruma hata kidogo? We need to stop this madness, na pia marupu rupu ya Viongozi wa juu Wastaafu yapunguzwe it is just another insanity!

- Katiba mpya irudishe power to the people, kupitia kwenye Bunge letu, na ilenge hasa kwenye Uwajibikaji, Heshima kwa Sheria na Checks and Balance kwenye Utawala wa Juu, nimesema before ninasema tena kwenye hili la Katiba Mpya CCM lazima ichukue Bullet for the Good of our Nation na hasa the Future, no other way au tuwache kabisa lakini tusidanganyane!

MUCH RESPECT PEOPLE!

William @....NYC, USA: Mutuz Le Baharia!

mi nauliza tu!unakuja kututawala lini?wenzio ritz1 na wakina february manyuzi wanajipanga!!
 
Katiba ni Sheria, Yes safari za Viongozi na Maofisa wa Serikali nje ya Nchi zinahitaji uthibiti wa Kisheria. Ndugu tizama huku kwa waliondelea New Jersey State Gavana wao alitumia Helikopta ya State kwenda kuhudhuria mpira wa mtoto wake Shuleni lakini aliporudi akaambiwa na kamati ya bunge la State yake kuwa kisheria amekosea hakutakiwa kutumia Helikopta ya Serikali kwenda kwenye michezo ya Mtoto, akaamriwa arudishe mara moja hela za mafuta yaliyotumika na posho ya pilot aliyempeleka na akawaomba radhi wananchi na kuapa kutorudia. Mama Kitine unakumbuka safari yake ya Canada, si ilibidi kamati ya Bunge letu kuingilia kati ili Kitine arudishe hela za wananchi! I mean Dunia nzima kuacha sisi tu Bongo ndio hakuna Sheria za Safari za Viongozi, Sasa saa ya Ukombozi imefika na Katiba mpya ndio Ukombozi wenyewe! I understand huenda tunafaidika na Safari but it has to be Stopped! - William

Hapo kwenye red. Kumbe Bunge linaweza kutenda na siyo lazima tuweke kwenye Katiba. Nikubaliane tu na jamaa mmoja hapo juu kwamba si lazima tuweke kwenye katiba ila jambo hili linaweza kutungiwa sheria yake na Bunge likaisimamia sheria. Tukitaka kila kitu kiwekwe kwenye katiba tunaweza kuishia na kuwa katiba ambayo huwezi kuibeba bali itakuwa inashi maktaba tu kama encyclopedia!
 
Back
Top Bottom