The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,320
- Thread starter
- #61
NdioWe ni mtanzania kweli?
NdioWe ni mtanzania kweli?
Ww huna Nia ya kufanya uchumi upande, ww unakereka na maoni ya watu mtandaoni, Sasa Kama unakereka kwa nn uwe unasoma moani ya watu wengine , Kama vip usiwe unaingia mitaondaoni kabisa , Kama unatumia smartphone uza nunua kitochi ili ufurahishe nafsi yako, lakin usipende kuipangia serekali vitu vya hovyo hovyoHaya ni mapendekezo yangu kwa serikali.
Tanzania ni nchi yenye gharama ndogo sana ya vifurushi vya mtandaoni kuliko nchi yoyote hapa Afrika.
GB moja ya data Tanzania unaweza kuipata kwa kuanzia dollar senti hamsini hadi dola moja(tzs 1000-tzs2000) nchi nyingine GB moja ya data iko juu ya dollar 5(zaidi ya tzs 10,000) hadi dollar 10(tzs 20,000).
Watanzania hatutumii urahisi huu wa bei ya vifurushi mtandaoni kwa uzalishaji au mambo yenye tija(wapo wachache sana) zaidi ya kujikita kwenye umbea, uzandiki, uzushi, uongo na kila kitu cha namna hiyo.
Haya mambo yote ya uzushi na umbea yamepata nafasi kwa sababu ya urahisi wa vifurushi vya data kuingia mitandaoni. Kila mtu anaweza kumudu kuingia mtandaoni kwa urahisi na akatukana au kutengeneza ushushi wa aina yoyote na akapata wafuasi wa kutosha.
Napendekeza serikali iongeze kodi kwenye gharama za vifurushi vya data, GB moja ya data iuzwe si chini ya tzs 3000 kwenda juu.
Ongeza kodi, ongeza mapato kwa maendeleo ya nchi yetu.View attachment 1210682
Napendekeza serikali iongeze kodi kwenye gharama za vifurushi vya data, GB moja ya data iuzwe si chini ya tzs 3000 kwenda juu.
Ongeza kodi, ongeza mapato kwa maendeleo ya nchi yetu.
We ni mtanzania kweli?
Hata wewe HakimuUmbea na uzandiki sio maoni hayo.