Mapendekezo: Serikali iongeze kodi kwenye vifurushi vya data

Roho mbaya ktk ubora wake.labda anatamani enzi zile za nchi nzima mwenye TV mmoja halafu akipata habari muhimu anajifanya kaota au anatabiri.
 
Haya ni mapendekezo yangu kwa serikali.

Tanzania ni nchi yenye gharama ndogo sana ya vifurushi vya mtandaoni kuliko nchi yoyote hapa Afrika.

GB moja ya data Tanzania unaweza kuipata kwa kuanzia dollar senti hamsini hadi dola moja(tzs 1000-tzs2000) nchi nyingine GB moja ya data iko juu ya dollar 5(zaidi ya tzs 10,000) hadi dollar 10(tzs 20,000).

Watanzania hatutumii urahisi huu wa bei ya vifurushi mtandaoni kwa uzalishaji au mambo yenye tija(wapo wachache sana) zaidi ya kujikita kwenye umbea, uzandiki, uzushi, uongo na kila kitu cha namna hiyo.

Haya mambo yote ya uzushi na umbea yamepata nafasi kwa sababu ya urahisi wa vifurushi vya data kuingia mitandaoni. Kila mtu anaweza kumudu kuingia mtandaoni kwa urahisi na akatukana au kutengeneza ushushi wa aina yoyote na akapata wafuasi wa kutosha.

Napendekeza serikali iongeze kodi kwenye gharama za vifurushi vya data, GB moja ya data iuzwe si chini ya tzs 3000 kwenda juu.

Ongeza kodi, ongeza mapato kwa maendeleo ya nchi yetu.
wameshakusikia subiria uteuzi.
 
Nashangaa kuona unajinadi kukemea na kuchukia mawazo ya watu huku ukiyaita umbea wakati wewe nawe upo humu jamvini unapiga umbea. Jitafakari uchukue hatua...... 👺
 
Haya ni mapendekezo yangu kwa serikali.

Tanzania ni nchi yenye gharama ndogo sana ya vifurushi vya mtandaoni kuliko nchi yoyote hapa Afrika.

GB moja ya data Tanzania unaweza kuipata kwa kuanzia dollar senti hamsini hadi dola moja(tzs 1000-tzs2000) nchi nyingine GB moja ya data iko juu ya dollar 5(zaidi ya tzs 10,000) hadi dollar 10(tzs 20,000).

Watanzania hatutumii urahisi huu wa bei ya vifurushi mtandaoni kwa uzalishaji au mambo yenye tija(wapo wachache sana) zaidi ya kujikita kwenye umbea, uzandiki, uzushi, uongo na kila kitu cha namna hiyo.

Haya mambo yote ya uzushi na umbea yamepata nafasi kwa sababu ya urahisi wa vifurushi vya data kuingia mitandaoni. Kila mtu anaweza kumudu kuingia mtandaoni kwa urahisi na akatukana au kutengeneza ushushi wa aina yoyote na akapata wafuasi wa kutosha.

Napendekeza serikali iongeze kodi kwenye gharama za vifurushi vya data, GB moja ya data iuzwe si chini ya tzs 3000 kwenda juu.

Ongeza kodi, ongeza mapato kwa maendeleo ya nchi yetu.
Ongeza kodi mjenge Chato!
 
Waandikie barua wahusika barua ya maombi kama unaona kupata hvyo vifurushi kwa bei hizo ni kikwazo kwako wakupandishie.
Haya ni mapendekezo yangu kwa serikali.

Tanzania ni nchi yenye gharama ndogo sana ya vifurushi vya mtandaoni kuliko nchi yoyote hapa Afrika.

GB moja ya data Tanzania unaweza kuipata kwa kuanzia dollar senti hamsini hadi dola moja(tzs 1000-tzs2000) nchi nyingine GB moja ya data iko juu ya dollar 5(zaidi ya tzs 10,000) hadi dollar 10(tzs 20,000).

Watanzania hatutumii urahisi huu wa bei ya vifurushi mtandaoni kwa uzalishaji au mambo yenye tija(wapo wachache sana) zaidi ya kujikita kwenye umbea, uzandiki, uzushi, uongo na kila kitu cha namna hiyo.

Haya mambo yote ya uzushi na umbea yamepata nafasi kwa sababu ya urahisi wa vifurushi vya data kuingia mitandaoni. Kila mtu anaweza kumudu kuingia mtandaoni kwa urahisi na akatukana au kutengeneza ushushi wa aina yoyote na akapata wafuasi wa kutosha.

Napendekeza serikali iongeze kodi kwenye gharama za vifurushi vya data, GB moja ya data iuzwe si chini ya tzs 3000 kwenda juu.

Ongeza kodi, ongeza mapato kwa maendeleo ya nchi yetu.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom