The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,502
- 2,046
Kutokana na ukubwa wa uchumi mkoa wa Dar es salam na umuhimu wa mkoa huu kwa uchumi wa taifa letu, napendekeza Serikali ianzishe wiki maalum na kuutangaza mkoa huu kitaifa na kimataifa.
Katika wiki hilo kuwe na vipindi na matukio mbalimbali yanayoielezea Dar es salam kinagaubaga vipindi hivyo na matukio virushwe kitaifa na kimataifa.
Aidha ikibidi serikali ianzishe wizara maalum kwa ajili ya dar.
Nina hakika haya yanaweza kukuza uchumi wa dar kwa kasi sana kuliko ilivyo sasa!
Katika wiki hilo kuwe na vipindi na matukio mbalimbali yanayoielezea Dar es salam kinagaubaga vipindi hivyo na matukio virushwe kitaifa na kimataifa.
Aidha ikibidi serikali ianzishe wizara maalum kwa ajili ya dar.
Nina hakika haya yanaweza kukuza uchumi wa dar kwa kasi sana kuliko ilivyo sasa!