Mapendekezo: Jiji la Dar liundiwe wizara maalumu

Asenga wa Pakaya

JF-Expert Member
Jul 13, 2012
260
60
tupo wadau wengi ambao tumekuwa tukipendekeza mkoa wa DSM, kutokana na changamoto zake upewe wizara yake maalum itakayokuwa na bajeti na maamuzi yake ili kuweza kukabiliana na changamoto za jiji hili linalokuwa kwa kasi sana.

ama kwa hakika bila kufanya hivyo bado tutaendelea kuona mitaro ikivujisha vinyesi barabarani na kukosekana kwa parking Dsm,HASA KATIKATI YA MJI

MTAKUBALIANA NAMI KUWA ILALA AMBAYO NDIO DSM YENYEWE ,tangu imeenza kuongozwa na kijana mdogo ambae ndie meya, kwa kweli sasa ina unafuu sana katika parking kupendeza kwa round about na ata uvujaji wa maji machafu ijapokuwa tatizo bado lipo kwa kiasi.

sasa mtu hawezi kuwa na gari lake na akaliparki ovyo tu pale kkoo,atakamatwa na kutozwa faini.
na kila usiku tumekuwa tukiyaona magari ya kisasa ya kuzoa taka yakifanya kazi take kusafisha jiji

ili kumsadidia kijana huyu kwanini rais Kikwete asisikilize maono yetu na kuiundia Dsm wizara maalumu???"

natamani kuona wizara maalum ya mkoa wa DSM
 

Attachments

  • JER.jpg
    JER.jpg
    7.8 KB · Views: 231
  • JER2.jpg
    JER2.jpg
    8 KB · Views: 218
Nakubaliana sana na jerry,nikijana mdogo kwa umbo lakini anamawazo mazuri na akili nyingi sana ama kwa hakika anafikiri vizuri sana na ccm wakitumia akili zake ataisaidia sana tanzania
 
ni kijana mdogo anaewapa ,matumaini vijana wenzake,asante rais kikwete kwa kuwaamini vijana
 
Nakubaliana sana na jerry,nikijana mdogo kwa umbo lakini anamawazo mazuri na akili nyingi sana ama kwa hakika anafikiri vizuri sana na ccm wakitumia akili zake ataisaidia sana tanzania

Kilombero yetu= Asenga wa pakaya kwa nini usiwaachie wengine watoe yao?

Kulekea Xmass hizo buk 7*3 balaaaaah!
 
labda akawe waziri wa kule Rombo kwenu Assenga
katiba haijabadilishwa iko vile vile
dar ni mkoa mdogo sana kulinganisha na mingine
huyu bwana mdogo hana huo uzoefu wa kuwa waziri
diwani na meya atakuwaje waziri?
 
tupo wadau wengi ambao tumekuwa tukipendekeza mkoa wa DSM, kutokana na changamoto zake upewe wizara yake maalum itakayokuwa na bajeti na maamuzi yake ili kuweza kukabiliana na changamoto za jiji hili linalokuwa kwa kasi sana.

ama kwa hakika bila kufanya hivyo bado tutaendelea kuona mitaro ikivujisha vinyesi barabarani na kukosekana kwa parking Dsm,HASA KATIKATI YA MJI

MTAKUBALIANA NAMI KUWA ILALA AMBAYO NDIO DSM YENYEWE ,tangu imeenza kuongozwa na kijana mdogo ambae ndie meya, kwa kweli sasa ina unafuu sana katika parking kupendeza kwa round about na ata uvujaji wa maji machafu ijapokuwa tatizo bado lipo kwa kiasi.

sasa mtu hawezi kuwa na gari lake na akaliparki ovyo tu pale kkoo,atakamatwa na kutozwa faini.
na kila usiku tumekuwa tukiyaona magari ya kisasa ya kuzoa taka yakifanya kazi take kusafisha jiji

ili kumsadidia kijana huyu kwanini rais Kikwete asisikilize maono yetu na kuiundia Dsm wizara maalumu???"

natamani kuona wizara maalum ya mkoa wa DSM

hakika unamahaba ya dhati na kijana.
 
labda akawe waziri wa kule Rombo kwenu Assenga
katiba haijabadilishwa iko vile vile
dar ni mkoa mdogo sana kulinganisha na mingine
huyu bwana mdogo hana huo uzoefu wa kuwa waziri
diwani na meya atakuwaje waziri?
diwan hawezi kuwa waziri?????? ahaaa kwani rais kabakiza nafasi ngapi?
 
This is another idiot idea and proposal.. no correlation btn tha heading and the content..

to comment upon 'light' content.. ni kwamba hatuhitaji tena wizara ziongezwe na 'vijana' vichwa panzi.. tusifanye serikali hii ni mali ya mtu!

Kuhusu Jerry Silaa hana uwezo wa kuongoza wizara.. Ilala yenyewe imemshinda! Swala dogo tu la machinga complex limemshinda!
 
Du! Ni kampeni ya mchna kweupe.
Anyway kuhusu changamoto za Dsm zinawezekana kabisa kutatulika bila ya kuwa na wizara yake.
Kinachotakiwa ni viongozi wa jiji wawe commited na waache ufisadi na uzembe.
Mfano uuzwaji wa kifisadi wa UDA nao ulihitaji kuwe na wizara maalumu!
 
Wadau mnifungue macho. Mimi sioni kama neno tetesi lilifaa kutumika kwenye huu uzi.
 
Hhahah! so kila mji/mtaa ukiwa mkubwa tu na kuwa jiji unaundiwa Wizara ?
hadi 2050 tutakuwa na wizara ya Tandale, sinza, tmk, kimara nakuendela.
 
Mtatuchosha,mara wizara ni nyingi mara dar wizara?? mwanza je??? hapa cha msingi rais afanye kazi sio kuzurula, PM afanye kazi sio kulia lia, Mawaziri na RC wawajibike, DC afutwe kabisaaaaaa
 
Asenga: Hivi wakati wa Charles Keenja na Alfred Fuko DSM ilikuwa na Wizara? au bado ulikuwa Illovo?
 
Wakati tunalalamika Serikali ya Tz ni kubwa sana wengine mnataka mizigo iongezeke.Hizi wizara zinapaswa kupungua na Dsm Inawezekana kuwa nzuri kama waliopo kwenye madaraka wataamua kuwa wawajibikaji na sio kujimbikizia mali
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom