Asenga wa Pakaya
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 260
- 60
tupo wadau wengi ambao tumekuwa tukipendekeza mkoa wa DSM, kutokana na changamoto zake upewe wizara yake maalum itakayokuwa na bajeti na maamuzi yake ili kuweza kukabiliana na changamoto za jiji hili linalokuwa kwa kasi sana.
ama kwa hakika bila kufanya hivyo bado tutaendelea kuona mitaro ikivujisha vinyesi barabarani na kukosekana kwa parking Dsm,HASA KATIKATI YA MJI
MTAKUBALIANA NAMI KUWA ILALA AMBAYO NDIO DSM YENYEWE ,tangu imeenza kuongozwa na kijana mdogo ambae ndie meya, kwa kweli sasa ina unafuu sana katika parking kupendeza kwa round about na ata uvujaji wa maji machafu ijapokuwa tatizo bado lipo kwa kiasi.
sasa mtu hawezi kuwa na gari lake na akaliparki ovyo tu pale kkoo,atakamatwa na kutozwa faini.
na kila usiku tumekuwa tukiyaona magari ya kisasa ya kuzoa taka yakifanya kazi take kusafisha jiji
ili kumsadidia kijana huyu kwanini rais Kikwete asisikilize maono yetu na kuiundia Dsm wizara maalumu???"
natamani kuona wizara maalum ya mkoa wa DSM
ama kwa hakika bila kufanya hivyo bado tutaendelea kuona mitaro ikivujisha vinyesi barabarani na kukosekana kwa parking Dsm,HASA KATIKATI YA MJI
MTAKUBALIANA NAMI KUWA ILALA AMBAYO NDIO DSM YENYEWE ,tangu imeenza kuongozwa na kijana mdogo ambae ndie meya, kwa kweli sasa ina unafuu sana katika parking kupendeza kwa round about na ata uvujaji wa maji machafu ijapokuwa tatizo bado lipo kwa kiasi.
sasa mtu hawezi kuwa na gari lake na akaliparki ovyo tu pale kkoo,atakamatwa na kutozwa faini.
na kila usiku tumekuwa tukiyaona magari ya kisasa ya kuzoa taka yakifanya kazi take kusafisha jiji
ili kumsadidia kijana huyu kwanini rais Kikwete asisikilize maono yetu na kuiundia Dsm wizara maalumu???"
natamani kuona wizara maalum ya mkoa wa DSM