Kuna ulazima gani wa kutangaziwa mapato ya uwanja huo? Ili tufanye nini juu ya mapato hayo?
Kuna ulazima gani wa kutangaziwa mapato ya uwanja huo? Ili tufanye nini juu ya mapato hayo?
Wana JF, kuna hili suala la mapato yanayopatikana katika mechi zinazochezwa katika uwanja mpya wa Taifa, je tunachoelezwa na Mwakalebela ndicho hasa kilichopatikana au kuna watu wanafanya usanii???