Mapatano ya Raila Odinga na Uhuru Kenyatta yana maana gani ikiwa Miguna Miguna anazuiliwa kurudi Kenya ?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,578
217,950
FB_IMG_1579611844849.jpg


Bado sijaelewa kwanini Mh Raila Odinga hataki kumsaidia Mwanasheria wake Miguna Miguna kurejea nchini Kenya ikiwa kama kweli wame "Shake hand" na Rais Uhuru Kenyatta, kwa maana ya kumaliza tofauti zao.

Kuna nini nyuma ya pazia kuhusiana na sakata hili?
 
View attachment 1329710

Bado sijaelewa kwanini Mh Raila Odinga hataki kumsaidia Mwanasheria wake Miguna Miguna kurejea nchini Kenya ikiwa kama kweli wame "Shake hand" na Rais Uhuru Kenyatta, kwa maana ya kumaliza tofauti zao.

Kuna nini nyuma ya pazia kuhusiana na sakata hili?
Huyo siyo Mkenya tena ni Mcanada!
 
Back
Top Bottom