Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,476
- 215,300
Bado sijaelewa kwanini Mh Raila Odinga hataki kumsaidia Mwanasheria wake Miguna Miguna kurejea nchini Kenya ikiwa kama kweli wame "Shake hand" na Rais Uhuru Kenyatta, kwa maana ya kumaliza tofauti zao.
Kuna nini nyuma ya pazia kuhusiana na sakata hili?