Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,326
- 5,264
Salaam wana JF.naombeni mrejesho wa picha wana jf niliowapa bure Miche na niliowauzia Miche ya Papai maana ni miezi kadhaa sasa .pia natoa bure huduma ya Ushauri juu ya kilimo hiki cha Papai ,pia kuna group tumeunda LA walima Papai Tanzania lengo likiwa Papai itambulike na serekali kama ilivyo mazao mengine na tuweze kuunganishwa na masoko ya nje.
Kama utahitaji Miche au kuweka oda karibu sana !
Kiluvya gogoni 0755404226
.kama nilikuuzia au kukupa Miche bure rushia picha hapa
Kama utahitaji Miche au kuweka oda karibu sana !
Kiluvya gogoni 0755404226
.kama nilikuuzia au kukupa Miche bure rushia picha hapa