Mapambano ya Corona: Kenya yapata msaada wa $78M kutoka Umoja wa Ulaya (EU)

Middle finger income country mnapokea msaada?alafu hizo pesa zote viongozi wanatafuna,just imagine,wanatumia Ksh.4 million kwa ajili ya Chai tu!
 
Middle income country mnapokea msaada?alafu hizo pesa zote viongozi wanatafuna,just imagine,wanatumia Ksh.4 million kwa ajili ya Chai tu!
Wewe shithole country yako misaada yote na mikopo waliopata miaka 60 wamefanya nini?
 
mdugu huku ni fact tupu sio uchungu wa kisiasa.

tanzani inapambanaje n afghanistan.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Jitahidi kujiongezea wigo wa taarifa, uwe unasoma journals za taasisi za misaada za kimataifa, imf na wb uone. Nchi inayoongoza kupewa misaada ni Afghanistan, hii ilikua kwenye vita miaka. Inafuata Tanzania inayoishi kwa kutegemea misaada.
 
kenya wana play smart gani!!

wanzusha corona au ni kweli wana corona!!!

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Smartness wanayoicheza Kenya ni kupata misaada na mikopo ambayo wasingeipata katika hali yakawaida maana nchi masikini zina uwezo wake wa kukopesheka.

Kenya wameweka lockdown ya kizushi ya kuanzia sa 3 usiku hadi sa 11 alfajiri.

Corona ipo kila mahala, wewe unadanganywa kua corona haipo? Soma hii barua ya serikali ikikiri kwenda kwa mabeberu kua imeathirika sana na coronawakati huku kwa wanyonge na wajinga wanaambiwa corona iliisha na maombi. Hapa serikali inawabembeleza mabeberu waihurumie waipatie mkopo na waisamehe ili iweze kupambana na corona ambayo ilishaisha kwa maombi.
FB_IMG_1591702246943.jpg
 
Smartness wanayoicheza Kenya ni kupata misaada na mikopo ambayo wasingeipata katika hali yakawaida maana nchi masikini zina uwezo wake wa kukopesheka.

Kenya wameweka lockdown ya kizushi ya kuanzia sa 3 usiku hadi sa 11 alfajiri.

Corona ipo kila mahala, wewe unadanganywa kua corona haipo? Soma hii barua ya serikali ikikiri kwenda kwa mabeberu kua imeathirika sana na coronawakati huku kwa wanyonge na wajinga wanaambiwa corona iliisha na maombi. Hapa serikali inawabembeleza mabeberu waihurumie waipatie mkopo na waisamehe ili iweze kupambana na corona ambayo ilishaisha kwa maombi.View attachment 1473163
nimeuliza coron ipo kenya haipo!!!!

hii barua iko wazi inazungumzia report y mwezi april,iliyotaja wagonjwa 500.

nikadhani labda imeandikwa kuna wagonjwa 6000 ambao haijawahi kututajia.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Jitahidi kujiongezea wigo wa taarifa, uwe unasoma journals za taasisi za misaada za kimataifa, imf na wb uone. Nchi inayoongoza kupewa misaada ni Afghanistan, hii ilikua kwenye vita miaka. Inafuata Tanzania inayoishi kwa kutegemea misaada.
wewe baada ya kusoma sana ndio ukaja na jawabu hilo!!!!

kwahiyo sasa unaumia kenya waitupora hiyo nafasi au!!!

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
nimeuliza coron ipo kenya haipo!!!!

hii barua iko wazi inazungumzia report y mwezi april,iliyotaja wagonjwa 500.

nikadhani labda imeandikwa kuna wagonjwa 6000 ambao haijawahi kututajia.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Wagonjwa 500 si walipona wote.

Halafu wagonjwa 500 ambao wote wamepona ndio tuombee mkopo, ndio wasababishe serikali iandike barua ndefu hivyo, wagonjwa 500? Halafu hadi serikali inaandika barua mei 27 tayari hawa walishapona kitambo toka April tulipofanya maombi.

Hata wewe kwa akili yako unakubali kua wagonjwa 500 ndio wamesababisha tuandike barua ndefu hivyo? Corona ya wagonjwa 500 ndio imevuruga uchumi hivyo?
 
Wagonjwa 500 si walipona wote.

Halafu wagonjwa 500 ambao wote wamepona ndio tuombee mkopo, ndio wasababishe serikali iandike barua ndefu hivyo, wagonjwa 500? Halafu hadi serikali inaandika barua mei 27 tayari hawa walishapona kitambo toka April tulipofanya maombi.

Hata wewe kwa akili yako unakubali kua wagonjwa 500 ndio wamesababisha tuandike barua ndefu hivyo? Corona ya wagonjwa 500 ndio imevuruga uchumi hivyo?
blazaa kwani hela unatoa wewe mbona povu!!!!!

wewe una taarif ya wagonjwa elfu ngapi tanzania??

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
kwani anadanganywa nani!!!!wewe au beberu??

kenyata anaumiza raia ili amraghai beberu unasifu.

magu hajaumiza raia anamdaganya beberu unafura hasira.

unafiki anao nani kama si wewe mkuu??

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Kenyata anaumiza raia ganj? Kwa akili yako lockdown ya saa 3 usiku hadi saa 11 alfajiri ni lockdown hiyo?

Yaani mchana kutwa hadi sa 2 usiku watu mnaendelea na maisha yenu kama kawaida halafu usiku mnaambiwa msitoke, hapo ndio wameumizwa?

Unahitaji kua mirembe kama huoni hilo.
 
Kenyata anaumiza raia ganj? Kwa akili yako lockdown ya saa 3 usiku hadi saa 11 alfajiri ni lockdown hiyo?

Yaani mchana kutwa hadi sa 2 usiku watu mnaendelea na maisha yenu kama kawaida halafu usiku mnaambiwa msitoke, hapo ndio wameumizwa?

Unahitaji kua mirembe kama huoni hilo.
Ndio maana nikakwabia tokea mwanzo usiongozwe na machungu binfsi utaharibu.wewe una maumivu sana na magu sijui kwanini, kwa taarifa tu kama hukua unafahamu.

Wameuwawa wakenya kadhaa waiokuwa wakikaidi agizo la lockdow mwanzoni mwa mwezi 4.

Raia kadhaa wamefungiwa quarantine,na kisa ugonjwa huu ambao inabidi tu uonekne upo.au nikupe na video kabisa ukibisha.

Hao ndio niliorenga kwamba wameumizwa sio unaofikiria wewe.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
ndio maana nikakwabia tokea mwanzo usiongozwe na machungu binfsi utaharibu.wewe una maumivu sana na magu sijui kwanini,kwa taarifa tu kama hukua unafahamu.

wameuwawa wakenya kadhaa waiokuwa wakikaidi agizo la lockdow mwanzoni mwa mwezi 4.

raia kadhaa wamefungiwa quarantine,na kisa ugonjwa huu ambao inabidi tu uonekne upo.au nikupe na video kabisa ukibisha.

hao ndio niliorenga kwamba wameumizwa sio unaofikiria wewe.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Hii wala sio hoja.

Watanzania wangapi wanauwawa hapa na polisi na wengine kukutwa wamefungwa kwenye viroba na wanaopotea na wasijulikane wako wapi na walikuchuliwa na polisi?

Na hawa ambao wanakufa kila siku kwa uzembe wa serikali ya wanyonge kila siku na wengine akawa wanazikwa usiku kama takataka?

Sioni hoja bado.
 
Hii wala sio hoja.

Watanzania wangapi wanauwawa hapa na polisi na wengine kukutwa wamefungwa kwenye viroba na wanaopotea na wasijulikane wako wapi na walikuchuliwa na polisi?

Na hawa ambao wanakufa kila siku kwa uzembe wa serikali ya wanyonge kila siku na wengine akawa wanazikwa usiku kama takataka?

Sioni hoja bado.
kwani ya kenya unayajua mangapi!!!au kwa vile hawana walevi waropokaji yanayotokea kwao basi unadhani hayapo!!!!

anyway mada ilikuwa corona,kama yanatokea hayo yote tz ili tupate msaada wa bill 25,basi tuna matatizo kuliko matatizo yenyewe.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Hawa ndo maana wanakuwa puppets wa wazungu. Serikali ya tz iwe makini sana na hawa watu.

Kweli mkuu ukizingatia kwanza hii ni grant tu.

Kingine ni kuwa hata mzee baba kaomba kwa msisitizo yale madeni yetu wayafute au watupe pia grant tu kwa maana tuna vita na Corona.

Ngoja tusubirie majibu yao watatujibu karibuni tu positively. Sisi tunaka win win situation.
 
Back
Top Bottom