Ndio maana imesemwa mahali humu kuwa rais Magufuli ni shujaa.Kinachofanyika Kenya na uganga ni hatar sana kwa maambukizi ya corona! Polisi wanakusanya mania ya watu na kuwapa adhabu! Rwanda polisi wanaua watu badala us kolona kuua watu! Tanzania imeamua kupambana na kolona kwa tiba mbadala (maombi)
Ndio maana imesemwa mahali humu kuwa rais Magufuli ni shujaa.
P
[/QUOTE
Ndio maana imesemwa mahali humu kuwa rais Magufuli ni shujaa.
Kwa hili la corona Magufuli anaenda kuonekana shujaa - JamiiForums
P
Kinachofanyika Kenya na uganga ni hatar sana kwa maambukizi ya corona! Polisi wanakusanya mania ya watu na kuwapa adhabu! Rwanda polisi wanaua watu badala us kolona kuua watu! Tanzania imeamua kupambana na kolona kwa tiba mbadala (maombi)
Mnapenda mada za kipumbavu, kwani katika wagonjwa 13 wa Corona Tanzania Kuna wanajulikana kwa majina zaidi ya mwana Fa Sallam na Isabella?Kwenu huko naona mnatumia mbinu nzuri hii hapa Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out! - JamiiForums
Mnapenda mada za kipumbavu, kwani katika wagonjwa 13 wa Corona Tanzania Kuna wanajulikana kwa majina zaidi ya mwana Fa Sallam na Isabella?
Kawaida ya ethics za utabibu, ugonjwa wa mtu ni siri yake na Dr.
aiseeMnafanya kosa na ujinga uliokubuhu kuficha haya maradhi, kazi kuchekelea Kenya wakati kwenu ni mwendo wa ujinga tu, kule Ulaya hata waziri mkuu amejitaja ili jamii ipambane yote kwa pamoja. Huko kwenu mna mazoea mabaya sana kwa kweli na mtakuja kutuponza ukanda huu, bora mfungiwe mipaka na wote. Ona sasa Watanzania wameanza kuwaumbua kwa kutupia mapicha mitandaoni, fuata huu uzi
Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out! - JamiiForums
Achana nao hao, walitaka kuona kati yao na sisi ni nani wapo vizuri katika kudhibiti maambukizi, jibu wameshalipata, sasa wamebaki kupiga domo mitandaoni, hawana lolote hao zaidi ya domo tu.Tufiche kwa sababu gani wakati dunia imeshakuwa lock hakuna cha utalii wala nini ,wacha ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Tufiche kwa sababu gani wakati dunia imeshakuwa lock hakuna cha utalii wala nini ,wacha ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Raha yake aone visa vinaongezeka Tanzania baada ya kuona hatua zote zilizo chukuliwa na corrupt jubilee government zimefeli,38 with 2 deaths vs 14 without death, bado kuna mijitu inasema Tanzania itakuja kuziponza nchi zingine, tukisema akili zenu ni Kama za kuku tutakua tumekosea?
Sent using Jamii Forums mobile app
aisee
Ishu za corona jomba achaneni nazo, manake naona mmezipa kipaumbele sana ili kuleta mashindano yasiyokuwa na tija...38 with 2 deaths vs 14 without death, bado kuna mijitu inasema Tanzania itakuja kuziponza nchi zingine, tukisema akili zenu ni Kama za kuku tutakua tumekosea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma post #11 muone mnavyoanzisha ligi za kijinga.Ishu za corona jomba achaneni nazo, manake naona mmezipa kipaumbele sana ili kuleta mashindano yasiyokuwa na tija...
Mamabo mengine sawa, lkn hili la corona itabidi nimekaa kimya hku nikifuata maelezo kutoka kwa madaktari nikichanganaya na maombi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mazoea wapi, ni kuna mgonjwa mkaidi na mamlaka hazijui. That's that, ila unavojikuta perfectionist, wakati Kenya Kuna yule nani sijui nae aligoma kupimwa ameambukiza watu, ila nobody said mnaficha, tena nyinyi ndio mnaficha, juzi citizen tv wakamhoji mwana fa hospitalini Tz, wakamhoji tena mgonjwa mkenya yupo US.Sasa mbona mnaumbuka kihivyo, mna mazoea mabaya sana.