4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 8,573
- 7,551
hawatak sura zao zionekane , maana wanaubiri upendo na amani kila sikuMkuu
Najiuliza
Kwani hakuna Namna AMBAYO madini yakachukuliwa KWA amani tu BILA Shaba!!?yaani wakagawana migodi BILA milio ya Shaba humo KWENYE pori la kongo!!? Angalau vita viishe na shughuli za KAWAIDA ziendelee kama kawaida kuliko ilivyo Sasa!!?