kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,839
- 17,437
Mapambano dhidi ya udikteta yataendelea ndani ya nchi hii.
Hatutakubali kuona uhuru, vyombo vya habari na kujieleza ukiminywa na watu wachache
Hatutakubali kuona katiba ikivunjwa.
Maana naona kuna mbegu ya udikteta inayomea na watu fulani kujifanya miungu watu.
Watanzania hawatoruhusu hayo
tukutane tarehe 26
#26/4/2018
Hatutakubali kuona uhuru, vyombo vya habari na kujieleza ukiminywa na watu wachache
Hatutakubali kuona katiba ikivunjwa.
Maana naona kuna mbegu ya udikteta inayomea na watu fulani kujifanya miungu watu.
Watanzania hawatoruhusu hayo
tukutane tarehe 26
#26/4/2018