macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,461
- 38,705
Ficha ujinga wako. Mwaka jana Magufuli alitangaza corona imeisha akapewa na ''kombe'' la ushindi kwa kuishinda corona. Kila mtu akamsifia (wajinga ofcourse ) na wengine wakasema wakawa wana-mock njia zinazochukuwa hatua au watu wanaokufa. Matokeo yake kuanzia mwaka jana mwezi wa 12 mpaka wa tatu corona ikarudi kwa kasi na vifo vikaondoka na watu wengi. Sasa wewe unarudia tena kosa lile lile. Hivi unajua hata India walikuwa wanasema corona imeshapita? Corona ina tabia ya kuja kwa awamu na inapoingia inaingia kimya kimya sana lakini watu wanapoanza kuugua na kufa inakuwa ni kishindo kikuu. Hata Tanzania sasa hivi haiko salama na inaweza kurudi tena tena hali ikawa mbaya mpaka kila mtu akashangaa.Ni katika utaratibu ule ule tuliouzoea, mama amekuwa mbobevu wa NGOs. Anawafurahisha wale wenye platform ya kusikika kwa manufaa ya wapiga dili.
Nani mwingine umemsikia anazungumzia korona au vifo vya korona tangu awepo yeye.
Tuliambiwa ile Marathon ya Kili itajibu, tukatishiwa kuwa baada ya maziko ya Mwamba tutaelewa sayansi ya barakoa, mechi za simba na yangu, Mkapa ilijaa yote tukaambiwa tutaokota kama kumbi kumbi.
Leo wooote kimya.