Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,952
- 4,326
- Thread starter
- #21
Tunachosema ni kuwa bado yapo mambo mengine hayajajulikana. Huko Italy kwa mfano health workers personnel wanazivaa sana hizo barakola tena zile D95 pamoja na PPE zingine za nguvu lakini ndiyo wanaoongoza kuambukizwa gonjwa hili (takribani 10% ya wagonjwa wote ni health workers).Hapo kwwnye namba nne nadhani Mda simrefu dunia itakubaliana na Mchina tu kila mtu avae Mask.
Thousands of medical staff infected with coronavirus in Italy