ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Kwa wale wateja wanaopata menyu mchana hapa Port View Pub kwenye mzunguko wa kuelekea Bandarini, mmeona wapo mabinti wameajiriwa kujifungua nguo? Wanaweka mapaja nje na kuwaangalia wateja wanapingia na baadhi wanakimbilia wateja kuwapa maelezo ya chakula. Mabinti wadogo wanatumika kutengeneza biashara hapa.
Mambo ya mujini Dari Salamaa. Chukua tahadhali.
Mambo ya mujini Dari Salamaa. Chukua tahadhali.