Mapadri na mashehe wanavuta sana sigara. Je, hawajui kuwa hiyo ni dhambi mpya iliyosahaulika kuwekwa kwenye vitabu vitakatifu?

mdukuzi

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
16,037
35,903
Kwenye miaka ya 60 kushuka chini sigara ilionekana ni kitu cha fahari kutumia,ni mpaka wataalam wa afya walipogundua zinasababisha kansa, sigara ikaonekana ni kitu hatari kwa afya.

Hata mwalimu nyerere kavuta sana sigara enzi zake. Nafahamu mapadri kadhaa wa kanisa katoliki wanaovuta sigara, nafahamu mashehe kadhaa wanaovuta sigara, wanajitetea kuwa hakuna kifungu kwenye bible wala msahafu unaokataza sigara

Ni kweli hakuna lakini kwangu sigara ni dhambi mpya iliyosahulika kuwekwa kwenye vitabu vitakatifu. Itafutwe bamna ichomekwe kwenye hivi vitabu vitakatifu

Kitu chochote kilichokatazwa kwenye vitabu vitakatifu kuanzia nguruwe, ngono, kambale, kumbikumbi, kunguru, ufiraji, wizi, uongo, usengenyaji, pombe nk vina mashara kiafya.
 
IMG_1101.jpg
 
Kwenye miaka ya 60 kushuka chini sigara ilionekana ni kitu cha fahari kutumia,ni mpaka wataalam wa afya walipogundua zinasababisha kansa ,sigara ikaonekana ni kitu hatari kwa afya.

Hata mwalimu nyerere kavuta sana sigara enzi zake.
Nafahamu mapadri kadhaa wa kanisa katoliki wanaovuta sigara,nafahamu mashehe kadhaa wanaovuta sigara ,wanajitetea kuwa hakuna kifungu kwenye bible wala msahafu unaokataza sigara

Ni kweli hakuna lakini kwangu sigara ni dhambi mpya iliyosahulika kuwekwa kwenye vitabu vitakatifu.

Itafutwe bamna ichomekwe kwenye hivi vitabu vitakatifu

Kitu chochote kilichokatazwa kwenye vitabu vitakatifu kuanzia nguruwe,ngono,kambale,kumbikumbi,kunguru,ufiraji,wizi,uongo,usengenyaji ,pombe nk vina mashara kiafya.
Yaani tumefika huku.

Hebu tuambie kuvuta sigara kunauhusiano gani na utendaji dhambi?

Kumbuka msingi mkuu wa utendaji dhambi ni amri kumi za Mungu. Tuambie msingi wa hiyo dhambi unayotaka kuisema ni upi?

Na kwa nini unawasema viongozi wa dini tu kama ni dhambi haijalishi cheo chako bali tendo lako linafanya utende dhambi.

Kwa nini nisiseme unalengo mahsusi la kuchafua viongozi fulani wa dini?

Tupe msingi wa dhambi hii ya kuvuta sigara
 
Kwenye miaka ya 60 kushuka chini sigara ilionekana ni kitu cha fahari kutumia,ni mpaka wataalam wa afya walipogundua zinasababisha kansa ,sigara ikaonekana ni kitu hatari kwa afya.

Hata mwalimu nyerere kavuta sana sigara enzi zake.
Nafahamu mapadri kadhaa wa kanisa katoliki wanaovuta sigara,nafahamu mashehe kadhaa wanaovuta sigara ,wanajitetea kuwa hakuna kifungu kwenye bible wala msahafu unaokataza sigara

Ni kweli hakuna lakini kwangu sigara ni dhambi mpya iliyosahulika kuwekwa kwenye vitabu vitakatifu.

Itafutwe bamna ichomekwe kwenye hivi vitabu vitakatifu

Kitu chochote kilichokatazwa kwenye vitabu vitakatifu kuanzia nguruwe,ngono,kambale,kumbikumbi,kunguru,ufiraji,wizi,uongo,usengenyaji ,pombe nk vina mashara kiafya.
ONDOA KAMBALE, NA KUMBIKUMBI vingine vipo sawa
 
Yaani tumefika huku.

Hebu tuambie kuvuta sigara kunauhusiano gani na utendaji dhambi?

Kumbuka msingi mkuu wa utendaji dhambi ni amri kumi za Mungu. Tuambie msingi wa hiyo dhambi unayotaka kuisema ni upi?

Na kwa nini unawasema viongozi wa dini tu kama ni dhambi haijalishi cheo chako bali tendo lako linafanya utende dhambi.

Kwa nini nisiseme unalengo mahsusi la kuchafua viongozi fulani wa dini?

Tupe msingi wa dhambi hii ya kuvuta sigara
Unajua kwa nini pombe imekatazwa, uzinzi au nguruwe?
Msingi wake ni kulinda afya zetu
 
Mkuu mdukuzi usipende kutukana dini za watu kwa mlango wa mipasho na kejeli, kwa upande wa uislamu wenyewe umejengwa juu ya misingi na kanuni, kuna makatazo yamekuja kwa kutamkwa directly na mengine yamejengwa juu ya vipimo na mizani maalumu.

Tukigusia kesi ya sigara hii ni haramu moja kwa moja kwasababu tumeamrishwa kuviepuka vitu vyenye madhara kwa nafsi zetu.

"...na wala msiziuwe nafsi zenu, hakika amekuwa allah daima ni mwenye kuwahurumia.."

Qur'an 4:29

na amesema mtume swala na salaam ziwe juu yake: "hapana kudhuru wala kusababishiana madhara" hadithi sahihi

lastly, sheria ya kiislamu imejengwa kwenye misingi mitatu quran, sunnah, na qiyaas basi wanawachuoni wamepitisha kuwa sigara ni haramu kwa ukali wa madhara yake kiafya, na ule uraibu wake wa kuihitajia kila mara.

Hivyo quran sio lambert kwamba inatumbukizwa mikono tu kila panapohitajika mabadiliko, quran imeenea mambo yote anayoyahitajia mwanaadamu wa karne ya kwanza mpaka karne ya 400000 kama itafika wala haipitwi na wakati, hao mashekhe zako wanaovuta sigara zungumzeni kiutu uzima usihusishe uislamu wenyewe umeharamisha hayo mabalaa.
 
Kwenye miaka ya 60 kushuka chini sigara ilionekana ni kitu cha fahari kutumia,ni mpaka wataalam wa afya walipogundua zinasababisha kansa ,sigara ikaonekana ni kitu hatari kwa afya.

Hata mwalimu nyerere kavuta sana sigara enzi zake.
Nafahamu mapadri kadhaa wa kanisa katoliki wanaovuta sigara,nafahamu mashehe kadhaa wanaovuta sigara ,wanajitetea kuwa hakuna kifungu kwenye bible wala msahafu unaokataza sigara

Ni kweli hakuna lakini kwangu sigara ni dhambi mpya iliyosahulika kuwekwa kwenye vitabu vitakatifu.

Itafutwe bamna ichomekwe kwenye hivi vitabu vitakatifu

Kitu chochote kilichokatazwa kwenye vitabu vitakatifu kuanzia nguruwe,ngono,kambale,kumbikumbi,kunguru,ufiraji,wizi,uongo,usengenyaji ,pombe nk vina mashara kiafya.
Mapadri wanatumia Pombe Kali sana, Kuna nyumba nihamia ila kabla yangu walikuwa wanaishi mapadri.....stoo kulijaa chupa za kila kilevi na Kuna sehemu palijaa vishungi vya sigara yaani utadhani ni danguro vile.........
 
Mkuu mdukuzi usipende kutukana dini za watu kwa mlango wa mipasho na kejeli, kwa upande wa uislamu wenyewe umejengwa juu ya misingi na kanuni, kuna makatazo yamekuja kwa kutamkwa directly na mengine yamejengwa juu ya vipimo na mizani maalumu.

Tukigusia kesi ya sigara hii ni haramu moja kwa moja kwasababu tumeamrishwa kuviepuka vitu vyenye madhara kwa nafsi zetu.

"...na wala msiziuwe nafsi zenu, hakika amekuwa allah daima ni mwenye kuwahurumia.."

Qur'an 4:29

na amesema mtume swala na salaam ziwe juu yake: "hapana kudhuru wala kusababishiana madhara" hadithi sahihi

lastly, sheria ya kiislamu imejengwa kwenye misingi mitatu quran, sunnah, na qiyaas basi wanawachuoni wamepitisha kuwa sigara ni haramu kwa ukali wa madhara yake kiafya, na ule uaribu wake wa kuihitajia kila mara.

Hivyo quran sio lambert kwamba inatumbukizwa mikono tu kila panapohitajika mabadiliko, quran imeenea mambo yote anayoyahitajia mwanaadamu wa karne ya kwanza mpaka karne ya 400000 kama itafika wala haipitwi na wakati, hao mashekhe zako wanaovuta sigara zungumzeni kiutu uzima usihusishe uislamu wenyewe umeharamisha hayo mabalaa.
Point yangu ni kwamba sigara haijatajwa moja kwa moja na hiyo ni loop jole kwa wavutaji,inategemea na tafsirueishi zanzibar mashehe hawagusi pombe kabisa ila sigara wanavuta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom