Mapacha Wawili Katika Siasa za Tanzania

East African

JF-Expert Member
Nov 27, 2013
704
989
Nikijaribu kuwaangalia hawa wanasiasa wawili vijana yaani; NAPE na ZITTO naona kama wanafanana kwa upande fulani;
mfano; Tuanze na Nape huyu amekuwa akikosoa viongozi wake katika chama kwa kujitafutia umaarufu fulani,
1. Kabla hajapewa ukuu wa wilaya alipinga sana rushwa katika jengo la Vijana na mwisho wake hatujui aliishia wapi. na hatukuwahi kumsikia tena akilizungumzia hadi leo.
2. Mpango wa kujivua gamba aliukomalia kama kwamba hili swala ni lake bila kujua msimamo wa mkiti wake wa chama kama ilikuwa ni kweli kuvua gamba au alisema tu kama msemo wa kawaida.
3. Hivi punde kaja na ishu ya mawaziri mizigo jamaa kakomaa hadi tukasema huyu dogo anajiamini nini. Kumbe ni nguvu za soda na leo anakuja na vioja vya aina yake.

Upande wa Zitto naye ndo kaja na mambo mengi yasiyokuwa na mwisho bila kushirikiana na viongozi wenzake;
1. Ishu ya Buzwagi imeisha juujuu.
2. Ishu ya Richmond haieleweki
3. Mafedha ya Uswis ni sound tuu
4. Mahesabu ya vyama vya siasa haijulikani alitoka nayo wapi.

Mwisho naona hawa wanasiasa ni watu wa kujikweza sana mbele za watu waonekane wao katika chama ni zaidi ya watu wengine.

Karibuni mchangie kukubali au kukanusha.
 
Mi naona Zitto huanzisha mada zenye mvuto mkubwa wa kisiasa lakini sijui anakuwa ni mwoga kuzianika au anazibwa mdomo na wanaohusika au anazusha vitu ambavyo havipo kabisa
Ni mwono wangu
 
Mi naona Zitto huanzisha mada zenye mvuto mkubwa wa kisiasa lakini sijui anakuwa ni mwoga kuzianika au anazibwa mdomo na wanaohusika au anazusha vitu ambavyo havipo kabisa
Ni mwono wangu

Inakuwaga ni mbinu ya kujipatia kipato akili ni nywele......................
 
wewe tatizo lako liko wapi kwenye haya mbona mimi sijaona ubaya wowote juu ya haya unayosema wewe nyie ndiyo mnaokuwa viongozi halafu mnakuwa dikteta hutaki hata kuulizwa chochote.
 
Nikijaribu kuwaangalia hawa wanasiasa wawili vijana yaani; NAPE na ZITTO naona kama wanafanana kwa upande fulani;
mfano; Tuanze na Nape huyu amekuwa akikosoa viongozi wake katika chama kwa kujitafutia umaarufu fulani,
1. Kabla hajapewa ukuu wa wilaya alipinga sana rushwa katika jengo la Vijana na mwisho wake hatujui aliishia wapi. na hatukuwahi kumsikia tena akilizungumzia hadi leo.
2. Mpango wa kujivua gamba aliukomalia kama kwamba hili swala ni lake bila kujua msimamo wa mkiti wake wa chama kama ilikuwa ni kweli kuvua gamba au alisema tu kama msemo wa kawaida.
3. Hivi punde kaja na ishu ya mawaziri mizigo jamaa kakomaa hadi tukasema huyu dogo anajiamini nini. Kumbe ni nguvu za soda na leo anakuja na vioja vya aina yake.

Upande wa Zitto naye ndo kaja na mambo mengi yasiyokuwa na mwisho bila kushirikiana na viongozi wenzake;
1. Ishu ya Buzwagi imeisha juujuu.
2. Ishu ya Richmond haieleweki
3. Mafedha ya Uswis ni sound tuu
4. Mahesabu ya vyama vya siasa haijulikani alitoka nayo wapi.

Mwisho naona hawa wanasiasa ni watu wa kujikweza sana mbele za watu waonekane wao katika chama ni zaidi ya watu wengine.

Karibuni mchangie kukubali au kukanusha.

Acha vijana wetu wafanye siasa usilete mambo yako ya ajabu hapa nini kimekuuma.
 
Tofauti yaweza kuwa huyu ni mbunge na huyu si mbunge. Ila wote wanatamaa ya madaraka wakipewa basi kimya.
 
Tofauti yao mie naona Nape anafanya kwa masrahi ya chama chake na anasemea katika vikao maalumu vya chama (anakijenga chama endapo zimefanyiwa kazi) ila Zitto anafanya kwa ajiri ya sifa zake binafsi zaidi na mara nyingi anakuwa peke yake nje ya vikao maalumu vya chama(zinamjenga yeye binafsi)
 
Jamaa mmoja alifuga Mbwa akawa anampa chakula kizuri na Mbwa akawa anabweka usiku Kucha jaama huku akiwa kittandani anajua Mbwa wake yuko kazini hivyo aakawa anamwongezea lishe na matunzo saawia, Sasa ndugu yangu kama jamaa hatapiga kelele wakubwa watamwonaje kama kweli yuko kazini. Mtumikie Kafiri upate mradi wako, TAFAKARI
 
Nikijaribu kuwaangalia hawa wanasiasa wawili vijana yaani; NAPE na ZITTO naona kama wanafanana kwa upande fulani;
mfano; Tuanze na Nape huyu amekuwa akikosoa viongozi wake katika chama kwa kujitafutia umaarufu fulani,
1. Kabla hajapewa ukuu wa wilaya alipinga sana rushwa katika jengo la Vijana na mwisho wake hatujui aliishia wapi. na hatukuwahi kumsikia tena akilizungumzia hadi leo.
2. Mpango wa kujivua gamba aliukomalia kama kwamba hili swala ni lake bila kujua msimamo wa mkiti wake wa chama kama ilikuwa ni kweli kuvua gamba au alisema tu kama msemo wa kawaida.
3. Hivi punde kaja na ishu ya mawaziri mizigo jamaa kakomaa hadi tukasema huyu dogo anajiamini nini. Kumbe ni nguvu za soda na leo anakuja na vioja vya aina yake.

Upande wa Zitto naye ndo kaja na mambo mengi yasiyokuwa na mwisho bila kushirikiana na viongozi wenzake;
1. Ishu ya Buzwagi imeisha juujuu.
2. Ishu ya Richmond haieleweki
3. Mafedha ya Uswis ni sound tuu
4. Mahesabu ya vyama vya siasa haijulikani alitoka nayo wapi.

Mwisho naona hawa wanasiasa ni watu wa kujikweza sana mbele za watu waonekane wao katika chama ni zaidi ya watu wengine.

Karibuni mchangie kukubali au kukanusha.

Labda sijaelewa vizuri.Hivi nape ni Mkuu wa wilaya?! ipi!?
 
Huyu nyepesi ni tapeli tu, hana uzalendo kama anavyo jipambanua, anaanzisha hoja ili apate umaarufu na pesa.
Nape tatizo lake badala ya kuwa msemaji wa cham akageuka kuwa mtendaji wa chama ie naibu katibu mkuu, nilikuwa namsikia akisema sana majukwaani kuwa kuna mawaziri mizigo nadhani upepo unaanza kumgeuki ngoja tusubirie,


Nikijaribu kuwaangalia hawa wanasiasa wawili vijana yaani; NAPE na ZITTO naona kama wanafanana kwa upande fulani;
mfano; Tuanze na Nape huyu amekuwa akikosoa viongozi wake katika chama kwa kujitafutia umaarufu fulani,
1. Kabla hajapewa ukuu wa wilaya alipinga sana rushwa katika jengo la Vijana na mwisho wake hatujui aliishia wapi. na hatukuwahi kumsikia tena akilizungumzia hadi leo.
2. Mpango wa kujivua gamba aliukomalia kama kwamba hili swala ni lake bila kujua msimamo wa mkiti wake wa chama kama ilikuwa ni kweli kuvua gamba au alisema tu kama msemo wa kawaida.
3. Hivi punde kaja na ishu ya mawaziri mizigo jamaa kakomaa hadi tukasema huyu dogo anajiamini nini. Kumbe ni nguvu za soda na leo anakuja na vioja vya aina yake.

Upande wa Zitto naye ndo kaja na mambo mengi yasiyokuwa na mwisho bila kushirikiana na viongozi wenzake;
1. Ishu ya Buzwagi imeisha juujuu.
2. Ishu ya Richmond haieleweki
3. Mafedha ya Uswis ni sound tuu
4. Mahesabu ya vyama vya siasa haijulikani alitoka nayo wapi.

Mwisho naona hawa wanasiasa ni watu wa kujikweza sana mbele za watu waonekane wao katika chama ni zaidi ya watu wengine.

Karibuni mchangie kukubali au kukanusha.

Mi naona Zitto huanzisha mada zenye mvuto mkubwa wa kisiasa lakini sijui anakuwa ni mwoga kuzianika au anazibwa mdomo na wanaohusika au anazusha vitu ambavyo havipo kabisa
Ni mwono wangu
 
Nadhani kumlinganisha Zitto na nape ni kumuonea. Uelewa wa Zitto ni wajuu sana ukilinganisha na Nape. hivi hamuwezi hata kukumbuka michango na hoja za Zitto bungeni?
hata hivyo Nape bado ni mzuri tu ukilinganisha na wanasiasa wengi. tatizo kwa Nape ni system ya chama na wala sio yeye. hivyo hivyo kwa Zitto, tatizo ni wahafidhina wakiongozwa na mkwe wa hayatula mtei wa tengeru.
 
  • Thanks
Reactions: FKM
Anasema kuna mawaziri mzigo ila mi naona mzigo kawa yeye sasa! pili amwambie huyo babu yake wanaoita wenzie mzigo aache tembo wetu bwana!
 
Nadhani kumlinganisha Zitto na nape ni kumuonea. Uelewa wa Zitto ni wajuu sana ukilinganisha na Nape. hivi hamuwezi hata kukumbuka michango na hoja za Zitto bungeni?
hata hivyo Nape bado ni mzuri tu ukilinganisha na wanasiasa wengi. tatizo kwa Nape ni system ya chama na wala sio yeye. hivyo hivyo kwa Zitto, tatizo ni wahafidhina wakiongozwa na mkwe wa hayatula mtei wa tengeru.

Mh ! Abunuas, sidhani kama tatizo ni mfumo. Tatizo ni umaarufu binafsi. Hao wanasiasa waliotajwa hawana spirit ya team working. Wanajiangalia wao kuliko timu yao. Na kwa mawazo yangu, tena kwa kigezo kimoja tu cha team working, NAPE is better than ZITTO.
 
team working inamaana gani kama akina slaa+mbowe wanaiba ruzuku za chama? hawataki kukaguliwa na CAG? kama mawaziri mizigo wanaendelea kutupa hasara? nadhani dhana nzima ya team working ilitakiwa iwe kati ya viongozi na wananchi kama wanavyofanya akina zitto na nape nasiyo team working na wezi kisa tu eti wapo kwenye chama kimoja. tuondokane na hayo mawazo.

Mh ! Abunuas, sidhani kama tatizo ni mfumo. Tatizo ni umaarufu binafsi. Hao wanasiasa waliotajwa hawana spirit ya team working. Wanajiangalia wao kuliko timu yao. Na kwa mawazo yangu, tena kwa kigezo kimoja tu cha team working, NAPE is better than ZITTO.
 
Back
Top Bottom