Mapacha wanapatikanaje?

mchakachuaji192

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
366
68
Wadau habarini ya majukum ya hapa na pale, jamani nimekuwa nikipatwa na wivu sana nikiona rafiki zangu wakiwa na watoto wao mapacha, hivi kuna njia yeyote ya kuweza kupata watoto mapacha au ni bahati tu kuwapata, kama inawezekana naombeni mnipe elimu ya hili jambo kwa wale wanaofaham
 
tafuta shoga zaa nae kama wewe ni mwanamke..
kama wewe ni mwanaume tafuta msagaji...
hapo utazaa mapacha wa kike/kiume, ila kupata mapacha wa jinsia moja hapo mimi sijui kabisa
 
Wadau habarini ya majukum ya hapa na pale, jamani nimekuwa nikipatwa na wivu sana nikiona rafiki zangu wakiwa na watoto wao mapacha, hivi kuna njia yeyote ya kuweza kupata watoto mapacha au ni bahati tu kuwapata, kama inawezekana naombeni mnipe elimu ya hili jambo kwa wale wanaofaham
Ingia HAPA
 
Zinatengenezwa na madawa ya siku hizi...ila ndo unaweza taka 2 wakatoka nane ka vitoto vya nyau..
 
Eat sweet potatoes

Mmmh, mwanzo nilidhani unatania! Kumbe inawezekana kuna kaukweli fulani!
No one is quite sure why, but the Yoruba tribe in West Africa has the highest rate of twinning in the world. A study concluded that the mother's diet was the cause, being high in cassava, a type of yam or sweet potato. The peelings of this vegetable are thought to contain a chemical that causes hyperovulation. In addition, a 2006 study found that women who consume dairy are five times as likely to have twins.
 
tafuta shoga zaa nae kama wewe ni mwanamke..
kama wewe ni mwanaume tafuta msagaji...
hapo utazaa mapacha wa kike/kiume, ila kupata mapacha wa jinsia moja hapo mimi sijui kabisa

Maneno yako na Avatar yako haviendani, tafadhali jaribu kutuheshimu wapiganaji.
 
tafuta shoga zaa nae kama wewe ni mwanamke..
Kama wewe ni mwanaume tafuta msagaji...
Hapo utazaa mapacha wa kike/kiume, ila kupata mapacha wa jinsia moja hapo mimi sijui kabisa
mungu akusaidie.
 
au akaliwe kibogaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!
-DAH WEWE NI MZIMA KWELI?
-ebu jaribu kujieshimu kdg kaka yangu
-km huna cha kujibu basi kaa kimya
-kutukana ivi si ustaarabua ata kdg wakat mwenzako ana tatizo kabisa na kaomba msaada then wewe unarusha tu matusi
-matusi si ujanja kakayangu
AVE A NICE DAY MA DEAR BRAZA.
 
-DAH WEWE NI MZIMA KWELI?
-ebu jaribu kujieshimu kdg kaka yangu
-km huna cha kujibu basi kaa kimya
-kutukana ivi si ustaarabua ata kdg wakat mwenzako ana tatizo kabisa na kaomba msaada then wewe unarusha tu matusi
-matusi si ujanja kakayangu
AVE A NICE DAY MA DEAR BRAZA.

Twanga kotekote:peace:
 
Back
Top Bottom