Mapacha walioungana wafaulu mtihani wao wa kidato cha sita

shida inakuja pale wakiwa na interests tofauti.... nilifikiria labda wapewe tu paper moja wapige tu discussion cause japo wana vichwa tofauti ila wao ni wamoja

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Sasa niwakati was serikali kumtua rasmi huyo mama mlezi majukumu mazito maana ameonesha dhamira njema kwamabinti hao,hongera sana mama sasa jivunie kuwalea

Ndalichako wacha maneno somesha wahitaji hao mama mlezi nae apumzike.Sio mawaziri msubiri hadi kila kitu mh.Raisi kila msaada wakutoa mahali awaelekeze


Mawaziri wapo kimya kama hawaoni vile ila siku Rais akizungumzia juu ya hawa watoto utashanga Ummy Mwalim na akina Ndalichako watakavyowasadia hawa ndugu zetu.

 
Nafikiri kulikuwa na haja ya serikali kufikiria namna ya kuwatenganisha najua kwakuwa hawakupata chance ya kujulikana mpk walipoanza shule wanaweza wakapata chance ya kufanyiwa uchunguzi na kutenganishwa kabla hawajawa wakubwa sana,na naamini kila mtu anaviungo vyake ila tu wameungana!

Post sent using JamiiForums mobile app
Not dat easy mkuu.......its vry difficult afu ukizngatia wameshakua wakubwa......infants ndo afadhali kdg kuwafanyia ayo mafekeche coz wana uwezo wa kugenerate fastaaa
 
Mungu mkubwa wasaidiwe jamani uo usafiri wao kwani hawawezi pata usafiri wa kisasa kama bajaj mbn aliyetobolewa macho na skopion watu walimsaidia japokuwa chanzo cha kutobolewa bado ni utata

Post sent using JamiiForums mobile app
Birds of the feather flock together. Hivyo ni rahisi kwa wazinzi kuoneana huruma kwa masahibu yanayotokana na uzinzi na kusaidiana. Especially when one's intention is simply to grab attention from the public willy-nilly.
 
Hakika Mungu ni muaminifu...

Mungu azidi kuwatunza mpaka watimize Malengo yao...

Mama yao ni mfano wa kuigwa na wanawake wengine, hakukata tamaa... Mama hongera, Mungu azidi kukuweka uzidi kuuona ukuu wa Mungu kwako....
 
Mimi nauliza kwanini wasajiliwe kila mtu namba yake ya mtihani lakini matokeo ni mamoja ?

Post sent using JamiiForums mobile app
Mkuu wote wamepewa no zao na matokeo kila mmoja amepata divn 2: 10

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Nafikiri kulikuwa na haja ya serikali kufikiria namna ya kuwatenganisha najua kwakuwa hawakupata chance ya kujulikana mpk walipoanza shule wanaweza wakapata chance ya kufanyiwa uchunguzi na kutenganishwa kabla hawajawa wakubwa sana,na naamini kila mtu anaviungo vyake ila tu wameungana!

Post sent using JamiiForums mobile app
Hauko sahihi Sana, kutenganisha ilikuwa ni risk kubwa, ilikuwa mmoja lazima apoteze maisha kam sio wote, ndo mana waliamua kumwachia mungu afanye aliyoyapanga, walikuja wataaluam wa mfumo wa fahamu pale ikonda wakafanya hadi kavidio na wenzao ulaya mambo yakagoma....
 
Naona index number zao kitofautiana kwa zaidi ya moja yaani 0639/545 na 0639/516 means katikati yao kuna watu 29. Waliwaseparate vipi wakati wa kufanya mitihani yao.

Watanzania tuache unafiki. Unafiki ni kitu kibaya sana katika nchi. Necta inapotoa number haikupaswa kuzitenganisha kwa range hiyo wakati wanajua fika hawanauwezo wa kuwatenganisha. This is wrong.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom