Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,185
- 10,910
Hapana, mwanaume anamwaga mbegu tu, via vya mwanamke ndio ama vinatoa yai moja au kujigawa ili kutoa idadi ya kitakachozaliwa. Na zaidi mwanamke ndie anayebeba mimba na kujifungua, hivyo sifa iko kwake zaidi.sasa jamaa yeye hawezi kushika record ya dunia kwa kusababisha watoto tisa?