Maovu ya Watendaji Kata (WEO) nchini ni haya

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,307
12,602
Ni watendaji wakuu wa Kata wanaopaswa kuwa miongoni mwa watu wa Kwanza kwenye jamii kuboresha maisha ya watanzania, lakini baadhi yao ni chanzo cha kero Kwa wananchi.

Miongoni mwa kero wanazosababisha Kwa wananchi ni pamoja na
1. Kumaliza misitu. Watendaji wanashirikiana na wahalifu kukata mbao, milunda na mikaa na kuharibu misitu. Hata kama wataonekana wakiwasaka wanavunaji misitu kimakosa lengo lao sio kuilinda misitu bali kukamata wahalifu ili wagawane wanachopata.

2. Kuuza ardhi za wanavijiji. Watendaji wanashirikiana na matajiri kutoka mijini kuuza ardhi za wanakijiji.

3. Rushwa. Watendaji Kwa kushirikiana na polisi wananyang'anya haki za wananchi Kwa njia ya kupokea hongo Kwa wakosaji.

4. Watoto wanaopewa mimba shuleni kesi zote zinaishia mikoni mwa watendaji Kwa njia ya rushwa. Wanapokea pesa kutoka watia mimba, wazazi wa mtoto aliyetiwa mimba au waliomuoza mtoto

5. Migororo ya wafugaji na wakulima. Watendaji wanakula rushwa kutoka Kwa wafugaji na wakulima kwenye migogoro ya wafugaji na wakulima.

6. Kutoza ushuru usiokuwa na maelezo au kinyume na maelekezo.

7. Kubambikia wananchi kesi ili watoe hela.

8. Kutoonekana ofisini nyakati za kazi.

9. Kutia ndani wananchi bila utaratibu maalum na makosa makubwa ili ndugu zao watoe hela kuwakomboa.

10. Kushiriana na watendaji wengine kama wakuu wa shule, wakuu wa zahanati, kilimo, wakandarasi kufuja mali za wananchi na serikali.

Hivyo, kama mkutano wa Rais na watendaji hawa utasaidia kupunguza kero hizi za watendaji Kwa wananchi basi maisha ya wananchi yatakwenda kuboreka.
 
Rais hakuwaita watendaji ili kutatua kero hizo ulizotaja hapo juu, japo atazitamka mbele ya camera. Lengo hasa ni kuwapa jeuri na hamasa ya kuhakikisha ccm wanatangazwa washindi. Ila mimi nitawashangaa wananchi kujitokeza kupiga kura ambazo haziheshimiwi.
 
Ni watendaji wakuu wa Kata wanaopaswa kuwa miongoni mwa watu wa Kwanza kwenye jamii kuboresha maisha ya watanzania, bakini baadhi yao ni chanzo cha kero Kwa wananchi.

Miongoni mwa kero wanazosababisha Kwa wananchi ni pamoja na
1. Kumaliza misitu. Watendaji wanashirikiana na wahalifu kukata mbao, milunda na mikaa na kuharibu misitu.

2. Kuuza ardhi za wanavijiji. Watendaji wanashirikiana na matajiri kutoka mijini kuuza ardhi za wanakijiji.

3. Rushwa. Watendaji Kwa kushirikiana na polisi wananyang'anya haki za wananchi Kwa njia ya kupokea hongo Kwa wakosaji.

4. Watoto wanaopewa mimba shuleni kesi zote zinaishia mikoni mwa watendaji Kwa njia ya rushwa.

5. Migororo ya wafugaji na wakulima. Watendaji wanakula rushwa kutoka Kwa wafugaji na wakulima kwenye migogoro ya wafugaji na wakulima.

6. Kutoza ushuru usiokuwa na maelezo au kinyume na maelekezo.

7. Kupambikia wananchi kesi ili watoe hela.

8. Kutoonekana ofisini nyakati za kazi.

9. Kutia ndani wananchi bila utaratibu maalum na makosa makubwa.

10. Kushiriana na watendaji wengine kama wakuu wa shule, wakuu wa zahanati, kilimo, wakandarasi kufuja mali za wananchi na serikali.

Hivyo, kama mkutano wa Rais na watendaji hawa utasaidia kupunguza kero hizi za watendaji Kwa wananchi basi maisha ya wananchi yatakwwnda kuboreka.
KABISA KABISA WANGELIKUWA WANATIMIZA MAJUKU YAO VIZURI MITAANI HALI INGELIKUWA SWARI KABISA !!!!!
ANYWAY LABDA WANAIGA WANAVYOFANYA WAKUBWA ZAO , RC, DED , DC NK

11. WENGINE VIMBELE MBELE SANA KWENYE USHABIKI WA VYAMA VYA SIASA.
 
Unabwabwaja lkn Umesahau upande wa pili, (mishahara yao) ipoje, Kuna taasisi wanalipa vizuri watumishi wao hivyo usikivu wa matatizo hayo ni nadra kusikia
 
Ni watendaji wakuu wa Kata wanaopaswa kuwa miongoni mwa watu wa Kwanza kwenye jamii kuboresha maisha ya watanzania, bakini baadhi yao ni chanzo cha kero Kwa wananchi.

Miongoni mwa kero wanazosababisha Kwa wananchi ni pamoja na
1. Kumaliza misitu. Watendaji wanashirikiana na wahalifu kukata mbao, milunda na mikaa na kuharibu misitu.

2. Kuuza ardhi za wanavijiji. Watendaji wanashirikiana na matajiri kutoka mijini kuuza ardhi za wanakijiji.

3. Rushwa. Watendaji Kwa kushirikiana na polisi wananyang'anya haki za wananchi Kwa njia ya kupokea hongo Kwa wakosaji.

4. Watoto wanaopewa mimba shuleni kesi zote zinaishia mikoni mwa watendaji Kwa njia ya rushwa.

5. Migororo ya wafugaji na wakulima. Watendaji wanakula rushwa kutoka Kwa wafugaji na wakulima kwenye migogoro ya wafugaji na wakulima.

6. Kutoza ushuru usiokuwa na maelezo au kinyume na maelekezo.

7. Kupambikia wananchi kesi ili watoe hela.

8. Kutoonekana ofisini nyakati za kazi.

9. Kutia ndani wananchi bila utaratibu maalum na makosa makubwa.

10. Kushiriana na watendaji wengine kama wakuu wa shule, wakuu wa zahanati, kilimo, wakandarasi kufuja mali za wananchi na serikali.

Hivyo, kama mkutano wa Rais na watendaji hawa utasaidia kupunguza kero hizi za watendaji Kwa wananchi basi maisha ya wananchi yatakwwnda kuboreka.
Mkuu hongera sana,kama uko akilini mwangu vile.Duh,super.Kwa sababu ya haya sikupenda Rais aliposema watembee kifua mbele,at most angetumia muda wake mwingi kuweka wazi uovu wao na kuwakemea.Kwa jinsi Rais alivyozungumza nao,ni kama amewapa kichwa kuendelea kuonea wananchi.I only hope that they will realize the importance of their position and do what needs to be done.
 
Ni watendaji wakuu wa Kata wanaopaswa kuwa miongoni mwa watu wa Kwanza kwenye jamii kuboresha maisha ya watanzania, bakini baadhi yao ni chanzo cha kero Kwa wananchi.
Miongoni mwa kero wanazosababisha Kwa wananchi ni pamoja na
1. Kumaliza misitu. Watendaji wanashirikiana na wahalifu kukata mbao, milunda na mikaa na kuharibu misitu.
2. Kuuza ardhi za wanavijiji. Watendaji wanashirikiana na matajiri kutoka mijini kuuza ardhi za wanakijiji.
3. Rushwa. Watendaji Kwa kushirikiana na polisi wananyang'anya haki za wananchi Kwa njia ya kupokea hongo Kwa wakosaji.
4. Watoto wanaopewa mimba shuleni kesi zote zinaishia mikoni mwa watendaji Kwa njia ya rushwa.
5. Migororo ya wafugaji na wakulima. Watendaji wanakula rushwa kutoka Kwa wafugaji na wakulima kwenye migogoro ya wafugaji na wakulima.
6. Kutoza ushuru usiokuwa na maelezo au kinyume na maelekezo.
7. Kupambikia wananchi kesi ili watoe hela.
8. Kutoonekana ofisini nyakati za kazi.
9. Kutia ndani wananchi bila utaratibu maalum na makosa makubwa.
10. Kushiriana na watendaji wengine kama wakuu wa shule, wakuu wa zahanati, kilimo, wakandarasi kufuja mali za wananchi na serikali.
Hivyo, kama mkutano wa Rais na watendaji hawa utasaidia kupunguza kero hizi za watendaji Kwa wananchi basi maisha ya wananchi yatakwwnda kuboreka.
Mabaraza ya Kata hukumu zihusuzo pesa, hupitia kwa watendaji na zote huliwana wahusika huambulia vitisho vya kuwekwa ndani. Ni wezi wakubwa.
 
Unabwabwaja lkn Umesahau upande wa pili, (mishahara yao) ipoje, Kuna taasisi wanalipa vizuri watumishi wao hivyo usikivu wa matatizo hayo ni nadra kusikia
Kama tunavyosemaga, kama malipo hayakutoshi fanya kazi ingine ili uepuke kuwa kero kwa wenzio wenye shida kuliko zako.

Siku moja nilishuhudia mtendaji akipanga njama ya kuingiza mifugo kwenye shamba la mkulima ili mwenye mifugo amlipe mkulima pesa nyingi ili wagawane. Kikokotoo anachotumia kwenye kutathimini hasara ya mkulima kinavunja mbavu
 
Unabwabwaja lkn Umesahau upande wa pili, (mishahara yao) ipoje, Kuna taasisi wanalipa vizuri watumishi wao hivyo usikivu wa matatizo hayo ni nadra kusikia

KWA hiyo unataka kusema kwamba WEO wapo sahihi kujihusisha na vitendo vya rushwa, maovu na watendaji maovu ili wapate kipato cha ziada kufidia pengo la kipato litokanalo na mshahara mdogo wanaolipwa??
Sikubakiani kabisa na wewe kwamba watu wakilipwa mshahara mkubwa ndio itakuwa mwisho kwao kujihusisha na vitendo vya rushwa, siyo kweli hata kidogo. Kuna watu wanalipwa mshahara mkubwa sana lakini bado wanajihusisha na vitendo vya kupokea rushwa.Suluhisho sahihi kuhusu janga la Rushwa ni UADILIFU ULIOTUKUKA NA UZALENDO WA KWELI. Hili ndio suluhisho LA kweli kuhusu vitendo vya rushwa, na wala siyo kulipa mishahara mikubwa.Kulipa mshahara mkubwa ni motisha tu ya kuwapunguzia vishawishi vya rushwa lakini siyo suluhisho sahihi LA kudumu.
 
Kuna mkurugenzi mmoja wa Dsm jana kachomewa kwa Pombe, na amepewa masaa ajieleze.
Rais hakuwaita watendaji ili kutatua kero hizo ulizotaja hapo juu, japo atazitamka mbele ya camera. Lengo hasa ni kuwapa jeuri na hamasa ya kuhakikisha ccm wanatangazwa washindi. Ila mimi nitawashangaa wananchi kujitokeza kupiga kura ambazo haziheshimiwi.
 
Ajitokeze WEO akatae haya nitoe ushahidi unaomhusu.

Bahati mbaya watendaji kata hawa hawakumwambia ukweli Mh. Rais kuwa huko kwenye kata hakuna dawa na watumishi kwenye hivyo vituo vya afya vilivyojengwa, hakuna walimu, hakuna maji na hakuna masoko ya uhakika kwa mazao ya wananchi. Hawakumwambia Mkuu kuwa shule za kata hazina mabweni, wala chakula, wala usafiri, wala First Aid, wala watumishi kupanda madaraja, wala wastaafu kulipwa mafao yao kwa wakati, wala barabara za kuunganisha Kata na makao makuu ya Wilaya, wala Ambulance ya kusafirisha wagonjwa kutoka kwenye kata hadi wilayani, wala maabara kwenye shule, wala viwanja vya michezo kwa watoto kwenye shule na mitaani, wala kata hakuna vituo vya polisi, wala mahakama.
 
Ajitokeze WEO akatae haya nitoe ushahidi unaomhusu.

Bahati mbaya watendaji kata hawa hawakumwambia ukweli Mh. Rais kuwa huko kwenye kata hakuna dawa na watumishi kwenye hivyo vituo vya afya vilivyojengwa, hakuna walimu, hakuna maji na hakuna masoko ya uhakika kwa mazao ya wananchi. Hawakumwambia Mkuu kuwa shule za kata hazina mabweni, wala chakula, wala usafiri, wala First Aid, wala watumishi kupanda madaraja, wala wastaafu kulipwa mafao yao kwa wakati, wala barabara za kuunganisha Kata na makao makuu ya Wilaya, wala Ambulance ya kusafirisha wagonjwa kutoka kwenye kata hadi wilayani, wala maabara kwenye shule, wala viwanja vya michezo kwa watoto kwenye shule na mitaani, wala kata hakuna vituo vya polisi, wala mahakama.
 
Back
Top Bottom