residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 6,969
- 9,516
JPM was a "lucifer" himself.Nashauri ajiunge na chama cha lialia wenzie chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JPM was a "lucifer" himself.Nashauri ajiunge na chama cha lialia wenzie chadema
Mkuu Wyatt Mathewson ,tatizo kubwa ni kuwa hakuna tofauti kati ya UVCCM/UWT/PoliCCM/TissCCM na serikali.Kafuta post,na kaandika meseji ya kuomba msamaha
hii nchi watu wana fear ya ajabu sana,hadi Vicky ana Fear!
Strange kabisa
Tangu lini ccm iliwahi kuwa safi?Hawa ni mafara na wezi docta kafumu alikuwa fara sana ni fisadi sana hakuna alichokofanyia jimbo letu kafumu alistahili kufukuzwa chama
Chama kilikuwa na majizi hakuna mwizi anaweza kukaa na mwema ,
Lazima mwizi awe anajihisi tu sisi kwetu awamu ya tano ILICHOTUFANYIA TUNAIONA
SERIKALI YETU KIKWETE ALIIKABIZI KWA WATU FULANI
WALIKUWA HAWAGUSWI AWAMU YA TANO UTAWALA ULITUONYESHA KUWA WOTE TUKOSAWA
NYIE AKINA KAFUMU MLIZOEA SERIKALI KUIWEKA MFUKONI HATA KUCHANGIA KWENU ILIKUWA KWA KEJELE NA KUTETEA MAMBO YENU NDIO MAANA MLIKUWA HIVYO
MAFARA SIKU ZOTE HUWA WANATAFUTA MAMBO YAKO
SERIKALI YA AWAMU YA TANO ilitafuta watu wapya wengi sio mwendelezo wa serikali kumilikiwa na kikundi cha akina fulani saivi tunawaona wanarudi sasa ila nao wao walishajua hii nchi ni yetu sote
Hatuwezi kutengeneza serikali ya watu fulani tu nadhani KAFUMU ALIPATABALICHO STAHILI
KUHUSU WAPINZANI tunaitaji watu wapya sasa upinzani alioufanya mbowe mwaka 2007 ana akaeleweka umezoeleka sana hoja zao zote awamu ya tano ilizifanyia kazi
Rushwq ili kwisha sana , watumishi serikalini walifanya kazi vizuri,ccm ilijipambanua kila mtu siku hizi anaipenda ccm , kwenye madini tulubadilisha mikataba kidigo , kwenye michezo simba ilienda robo fainali mara mbili taifa STAR IKAENDA AFUCON,
MIUNDO MBINU ILIKUWA INAISHA KWA WAKATI ,ELIMU BURE , TOZO ZA WAKULIMA ZILIPUNGUA SANA , PEMBEJEO ZOTE WANAINCHI WALIPEWA BURE
CCM ILIBADILIKA SANA WANAINCHI NA MIGOGORO YA ARIDHI ILIPUNGUA SANA
UPIGAJI ULIISHA KABISA
SASA UNATAMANI NINI?
SAIVI MAMA ANAZUNGUKA TU NA NDEGEZA ZAMAA JE ?MBONA HAZIKUNUNULIWA VIPI VYOTE , TUMESHUDIA MELI ZIKIJENGWA TULENI YA KWENDA MOSHI NA KILIMANJARO MBONA HAZIKUELETWA
Nyie kuweni makini sana HUYU JAMA YUKO KWENYE MIOYO YA WATU ANAISHI acheni polojo zenu wapinzani kwenye nchi hii hatujaona mchango wao hata kidogo
Wapigaji tu majimbo walio yakalia wameyaacha magofu
Mwamba amejitahidi sana naomba muache ujinga leteni hoja sio mnatetea matumbo yenu nchi kwanza sio matumbo
Kafumu hana lolote walikuwa wapugaji
Kwa hakika kipindi cha awamu ya tano kilikuwa kipindi kigumu sana kwa watanzania wengi sio Wapinzani pekee bali hata ndani ya CCM. Ukisoma waraka wa huyu mama Vick Kamata Likwelile aliyekuwa mbunge wa CCM utanielewa nasema nini, na utagundua wale wanaomsifia "shujaa" wa kuchonga ni unafiki tuu au kutokujua na kujazwa propaganda kiasi kikubwa.View attachment 1976158
Kina @johnthebaptist, @Idugunde, @Kamanda Asiyechoka, @Elitwege, @Jumbe Brown, @mama D na wenzao watatokea kweli kwenye huu uzi?
Bila shaka wana u zoom na kujisemea - hiiiiii
Jamani eeh maendeleo hayana chama 😁😁!
Lema anajua fika kuwa wezi na wapiga dili za hovyo walikuwepo pia CCM na mkono wa haki ukata pande zote, simple mathematics, huitaji majini ya Shekhe Yahaya kunajimu mambo wazi namna hiyo.Mh Lema aliposema kuwa wakimaliza wapinzani basi watahamia kwa wana ccm .
Lema unaweza kusema huwa anaongea na Mungu ingawa unaweza kuwa unakufuru.
Leo hii wana ccm wameanza kutema nyongo na ni haki yao maana nyongo ina kawaida ya kuwa sumu ikikaa sana mwilini.
Hapana abakie huko huko kwa akina Sabaya na HamzaNashauri ajiunge na chama cha lialia wenzie chadema
Unashindwa vipi kumpongeza mh Lema?Lema anajua fika kuwa wezi na wapiga dili za hovyo walikuwepo pia CCM na mkono wa haki ukata pande zote, simple mathematics, huitaji majini ya Shekhe Yahaya kunajimu mambo wazi namna hiyo.
Kwa majambazi na magaidiHapana abakie huko huko kwa akina Sabaya na Hamza
Jiwe alisema angeua upinzani, mwisho wa siku akafa yeye nchi ikapona. Mungu fundi sana, ukijifanya mungu mtu anakuita chap.Kwa matamushi tu wewe ndiye shetani kabisa kama ulikuwa unauza madawa kwanini usitukane
Hata kuandika kiswahili tu unashindwa, alafu wewe ndiye mtetezi wa jiwe. Kwa akili hizi nadiriki kusema wewe na Jiwe ni kitu kimojaHata huko CHADEMA JE? KUNA UHURU WA MAWAZO MBOWE UNAMUJUWA ALIMTUKANA LOWASA BAADAYE ALIMUPOKEA
HAKUNA KITU KILE CHAMA NI MALI YAKE
Ndege wa rangi moja haoHata kuandika kiswahili tu unashindwa, alafu wewe ndiye mtetezi wa jiwe. Kwa akili hizi nadiriki kusema wewe na Jiwe ni kitu kimoja
Daima Mungu hajaribiwi na kiumbe yeyote yule hata kwenye vitabu vuitakatifu imeandikwa.Jiwe alisema angeua upinzani, mwisho wa siku akafa yeye nchi ikapona. Mungu fundi sana, ukijifanya mungu mtu anakuita chap.
Hakika anastahiri pongezi zake kwa upande mmoja.Unashindwa vipi kumpongeza mh Lema?
Ubarikiwe mkuuHakika anastahiri pongezi zake kwa upande mmoja.