Maovu hawakutendewa Wapinzani pekee bali na wao wenyewe

Kafuta post,na kaandika meseji ya kuomba msamaha

hii nchi watu wana fear ya ajabu sana,hadi Vicky ana Fear!

Strange kabisa
Mkuu Wyatt Mathewson ,tatizo kubwa ni kuwa hakuna tofauti kati ya UVCCM/UWT/PoliCCM/TissCCM na serikali.
Ukiikosoa UVCCM, serikali inaingilia.
Ukikosoa kiongozi wa CCM, serikali inaingilia.
Kuna mstari mwembamba sana kati ya serikali na vyombo vya dola.
Kama kweli uhuru wa kutoa maoni ungekuwepo Tanzania, na vyombo vya dola visingekuwa vinatumika kuibeba CCM, amini nakwambia, CCM wangekuwa wameshaondoka madarakani au wamejirekebisha.
 
Hawa ni mafara na wezi docta kafumu alikuwa fara sana ni fisadi sana hakuna alichokofanyia jimbo letu kafumu alistahili kufukuzwa chama

Chama kilikuwa na majizi hakuna mwizi anaweza kukaa na mwema ,
Lazima mwizi awe anajihisi tu sisi kwetu awamu ya tano ILICHOTUFANYIA TUNAIONA

SERIKALI YETU KIKWETE ALIIKABIZI KWA WATU FULANI
WALIKUWA HAWAGUSWI AWAMU YA TANO UTAWALA ULITUONYESHA KUWA WOTE TUKOSAWA


NYIE AKINA KAFUMU MLIZOEA SERIKALI KUIWEKA MFUKONI HATA KUCHANGIA KWENU ILIKUWA KWA KEJELE NA KUTETEA MAMBO YENU NDIO MAANA MLIKUWA HIVYO

MAFARA SIKU ZOTE HUWA WANATAFUTA MAMBO YAKO


SERIKALI YA AWAMU YA TANO ilitafuta watu wapya wengi sio mwendelezo wa serikali kumilikiwa na kikundi cha akina fulani saivi tunawaona wanarudi sasa ila nao wao walishajua hii nchi ni yetu sote

Hatuwezi kutengeneza serikali ya watu fulani tu nadhani KAFUMU ALIPATABALICHO STAHILI

KUHUSU WAPINZANI tunaitaji watu wapya sasa upinzani alioufanya mbowe mwaka 2007 ana akaeleweka umezoeleka sana hoja zao zote awamu ya tano ilizifanyia kazi
Rushwq ili kwisha sana , watumishi serikalini walifanya kazi vizuri,ccm ilijipambanua kila mtu siku hizi anaipenda ccm , kwenye madini tulubadilisha mikataba kidigo , kwenye michezo simba ilienda robo fainali mara mbili taifa STAR IKAENDA AFUCON,

MIUNDO MBINU ILIKUWA INAISHA KWA WAKATI ,ELIMU BURE , TOZO ZA WAKULIMA ZILIPUNGUA SANA , PEMBEJEO ZOTE WANAINCHI WALIPEWA BURE


CCM ILIBADILIKA SANA WANAINCHI NA MIGOGORO YA ARIDHI ILIPUNGUA SANA

UPIGAJI ULIISHA KABISA

SASA UNATAMANI NINI?

SAIVI MAMA ANAZUNGUKA TU NA NDEGEZA ZAMAA JE ?MBONA HAZIKUNUNULIWA VIPI VYOTE , TUMESHUDIA MELI ZIKIJENGWA TULENI YA KWENDA MOSHI NA KILIMANJARO MBONA HAZIKUELETWA



Nyie kuweni makini sana HUYU JAMA YUKO KWENYE MIOYO YA WATU ANAISHI acheni polojo zenu wapinzani kwenye nchi hii hatujaona mchango wao hata kidogo

Wapigaji tu majimbo walio yakalia wameyaacha magofu

Mwamba amejitahidi sana naomba muache ujinga leteni hoja sio mnatetea matumbo yenu nchi kwanza sio matumbo

Kafumu hana lolote walikuwa wapugaji
Tangu lini ccm iliwahi kuwa safi?
 
Kwa hakika kipindi cha awamu ya tano kilikuwa kipindi kigumu sana kwa watanzania wengi sio Wapinzani pekee bali hata ndani ya CCM. Ukisoma waraka wa huyu mama Vick Kamata Likwelile aliyekuwa mbunge wa CCM utanielewa nasema nini, na utagundua wale wanaomsifia "shujaa" wa kuchonga ni unafiki tuu au kutokujua na kujazwa propaganda kiasi kikubwa.View attachment 1976158


Kina @johnthebaptist, @Idugunde, @Kamanda Asiyechoka, @Elitwege, @Jumbe Brown, @mama D na wenzao watatokea kweli kwenye huu uzi?

Bila shaka wana u zoom na kujisemea - hiiiiii

Jamani eeh maendeleo hayana chama 😁😁!



Ndio demokrasia hiyo mkuu. Kwani wangapi wamekimbia chadema sababu ya ubinafsi wa viongozi. Au ushasahau🤔 Siasa ndivyo zilivyo

 
Mh Lema aliposema kuwa wakimaliza wapinzani basi watahamia kwa wana ccm .

Lema unaweza kusema huwa anaongea na Mungu ingawa unaweza kuwa unakufuru.

Leo hii wana ccm wameanza kutema nyongo na ni haki yao maana nyongo ina kawaida ya kuwa sumu ikikaa sana mwilini.
Lema anajua fika kuwa wezi na wapiga dili za hovyo walikuwepo pia CCM na mkono wa haki ukata pande zote, simple mathematics, huitaji majini ya Shekhe Yahaya kunajimu mambo wazi namna hiyo.
 
Lema anajua fika kuwa wezi na wapiga dili za hovyo walikuwepo pia CCM na mkono wa haki ukata pande zote, simple mathematics, huitaji majini ya Shekhe Yahaya kunajimu mambo wazi namna hiyo.
Unashindwa vipi kumpongeza mh Lema?
 
Hata huko CHADEMA JE? KUNA UHURU WA MAWAZO MBOWE UNAMUJUWA ALIMTUKANA LOWASA BAADAYE ALIMUPOKEA

HAKUNA KITU KILE CHAMA NI MALI YAKE
Hata kuandika kiswahili tu unashindwa, alafu wewe ndiye mtetezi wa jiwe. Kwa akili hizi nadiriki kusema wewe na Jiwe ni kitu kimoja
 
Jiwe alisema angeua upinzani, mwisho wa siku akafa yeye nchi ikapona. Mungu fundi sana, ukijifanya mungu mtu anakuita chap.
Daima Mungu hajaribiwi na kiumbe yeyote yule hata kwenye vitabu vuitakatifu imeandikwa.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom