Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,803
- 8,793
Muhimbili na KCMC tayari wamepuliza kipyenga cha tahadhari ya Covid 19 na kutoa maelekezo ba muongozo wa nini kifanyike.
Dar inajiandaa na mkusanyiko mkubwa wa maonyesho ya kimataifa ya biashara katika uwanja wa JK Nyerere Kilwa Road.
Tujiulize kuna umuhimu gani wa kufanya haya maonyesho katika kipindi hiki?
Ama ndio hivyo kumeshakucha kujichotea posho bila kujali afya zetu. Maana haya maonyesho mashirika ya Umma uwa wanalipana posho hasa.
Dar inajiandaa na mkusanyiko mkubwa wa maonyesho ya kimataifa ya biashara katika uwanja wa JK Nyerere Kilwa Road.
Tujiulize kuna umuhimu gani wa kufanya haya maonyesho katika kipindi hiki?
Ama ndio hivyo kumeshakucha kujichotea posho bila kujali afya zetu. Maana haya maonyesho mashirika ya Umma uwa wanalipana posho hasa.