Maono

kitalolo

JF-Expert Member
Dec 4, 2006
1,827
707
Naona chama cha upinzani kuchukua madaraka kabla ya 2015 sijajua hasa nini nafunuliwa lakini naona kuna uwezekano mkubwa wa chama kimoja cha upinzani kuongoza nchi kabla ya uchaguzi mnaousubiri wa 2015 maono niliyoyaona ndivyo yanavxonionyesha pamoja na mambo mengine nitakayoyafunua baadae.
 
kitalolo inawezekana maana mungu huwa anazungumza na watu kwa njia ya maono
 
Naona chama cha upinzani kuchukua madaraka kabla ya 2015 sijajua hasa nini nafunuliwa lakini naona kuna uwezekano mkubwa wa chama kimoja cha upinzani kuongoza nchi kabla ya uchaguzi mnaousubiri wa 2015 maono niliyoyaona ndivyo yanavxonionyesha pamoja na mambo mengine nitakayoyafunua baadae.
Amin, na iwe hivyo kama ulivyoonyeshwa
 
Back
Top Bottom