Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,918
- 95,201
Ni msamiati wa watu wasio julikanaHivi maono ni nini jamani maana naona kila mtu anajidai kapata maono.
Ni msamiati wa watu wasio julikanaHivi maono ni nini jamani maana naona kila mtu anajidai kapata maono.
Wameshaanza kuogopa baada ya kugundua kuwa Lissu yu hai na yupo tayari kuwataja waliokusudia kumuuwaUtasubiri sana Lissu kupanda madhabahuni. Hujui kuwa kazi anayoifanya sasa ni maagizo ya Mungu na ndio maana akasema "mwanangu Lissu hutakufa ila utaishi upate kuwatumikia watu wangu dhidi ya hawa viongozi washirikina, wauaji na mafisadi hadi kieleweke'
Mkono was Mungu tumeuona dhidi ya risasi 38
Lissu mwenyewe anaharibu upelelezi anasema anawajua,dereva nae kajichimbia hukohuko,tuwasubiri wawataje kupitia mkanda maalum wa videoNa ajabu ni kuwa hadi leo hii hao majambazi hawajakamatwa
Lissu sio Dkt Ulimboka!
Mmeshindwa kumuuwaLissu mwenyewe anaharibu upelelezi anasema anawajua,dereva nae kajichimbia hukohuko,tuwasubiri wawataje kupitia mkanda maalum wa video
Alishukuru jopo la madaktari wa Hospitali ya serikali ya Dodoma.Mmeshindwa kumuuwa
Kwa namna alivyopita katika tanuru la kisiasa na misukosuko yote ile, namuona Tundu Antipas Lissu akiachana kabisa na mambo ya siasa na kwenda kutoa ushuhuda wa yale Mungu amemtendea. Ni kwa neema ya Mungu tu Lissu alipona katika tukio lile la kijambazi, hivyo ana kila sababu ya kwenda kuihubiri injili ya uponyaji. Chadema wamwache Lissu na familia yake sasa ili wapate fursa ya kuwa na maamuzi yao kama familia na chama kirudi huku duniani kuendelea na shughuli za siasa zilizosimama kwa zaidi ya mwezi sasa!
Kwahiyo wewe unawalaani?Alishukuru jopo la madaktari wa Hospitali ya serikali ya Dodoma.
Mimi nimeshachoshwa na habari za Lissu na matusi ya washabiki wake.
Mimi nawalaani wale waliompeleka Nairobi Hospital, hospitali ghali afrika na ufujaji wa fedha uliofuatia,wakati Muhimbili wangefanya kazi yote bila kutembeza bakuli la mchango.Kwahiyo wewe unawalaani?
Kwa namna alivyopita katika tanuru la kisiasa na misukosuko yote ile, namuona Tundu Antipas Lissu akiachana kabisa na mambo ya siasa na kwenda kutoa ushuhuda wa yale Mungu amemtendea. Ni kwa neema ya Mungu tu Lissu alipona katika tukio lile la kijambazi, hivyo ana kila sababu ya kwenda kuihubiri injili ya uponyaji. Chadema wamwache Lissu na familia yake sasa ili wapate fursa ya kuwa na maamuzi yao kama familia na chama kirudi huku duniani kuendelea na shughuli za siasa zilizosimama kwa zaidi ya mwezi sasa!
Mimi nawalaani wale waliompeleka Nairobi Hospital, hospitali ghali afrika na ufujaji wa fedha uliofuatia,wakati Muhimbili wangefanya kazi yote bila kutembeza bakuli la mchango.
Kajinyonge basi wewe ndubwiMimi nawalaani wale waliompeleka Nairobi Hospital, hospitali ghali afrika na ufujaji wa fedha uliofuatia,wakati Muhimbili wangefanya kazi yote bila kutembeza bakuli la mchango.
Nyinyi baada ya albadiri mumepata faida gani?.
Nijinyonge? Kweni umesikia ninawivu.Kajinyonge basi wewe ndubwi