Wandugu,
Kuna watu wengi walikuwa wakilalamika kuhusu tabu za matumizi ya simu wakati wa kusurf mtandao. Je ni kweli??? Je kwa maoni yako ni kweli kwamba hizo tabu za kuandika email, kusoma habari zinasumbua watumiaji??/
Embu naomba ujaze hii questionnaire hapo chini tuweze kujua mitazamo ya watu tofauti alafu baada ya kupata majibu ya kutosha nitatoa statistics ili nanyi mfaidi na kujua jinsi gani hapa Dar wanavyojionea kuhusu matumizi ya simu kusurf mtandao!!!
Bonyeza hapa http://www.eSurveysPro.com/Survey.aspx?id=c836d221-da2d-4ef5-ba44-967b43623b76
Kuna watu wengi walikuwa wakilalamika kuhusu tabu za matumizi ya simu wakati wa kusurf mtandao. Je ni kweli??? Je kwa maoni yako ni kweli kwamba hizo tabu za kuandika email, kusoma habari zinasumbua watumiaji??/
Embu naomba ujaze hii questionnaire hapo chini tuweze kujua mitazamo ya watu tofauti alafu baada ya kupata majibu ya kutosha nitatoa statistics ili nanyi mfaidi na kujua jinsi gani hapa Dar wanavyojionea kuhusu matumizi ya simu kusurf mtandao!!!
Bonyeza hapa http://www.eSurveysPro.com/Survey.aspx?id=c836d221-da2d-4ef5-ba44-967b43623b76