Maoni yenu kuhusu simu zinazotumika kubrowse internet

Bamutu

Member
Nov 7, 2007
14
0
Wandugu,

Kuna watu wengi walikuwa wakilalamika kuhusu tabu za matumizi ya simu wakati wa kusurf mtandao. Je ni kweli??? Je kwa maoni yako ni kweli kwamba hizo tabu za kuandika email, kusoma habari zinasumbua watumiaji??/

Embu naomba ujaze hii questionnaire hapo chini tuweze kujua mitazamo ya watu tofauti alafu baada ya kupata majibu ya kutosha nitatoa statistics ili nanyi mfaidi na kujua jinsi gani hapa Dar wanavyojionea kuhusu matumizi ya simu kusurf mtandao!!!

Bonyeza hapa http://www.eSurveysPro.com/Survey.aspx?id=c836d221-da2d-4ef5-ba44-967b43623b76
 
Wandugu,

Kuna watu wengi walikuwa wakilalamika kuhusu tabu za matumizi ya simu wakati wa kusurf mtandao. Je ni kweli??? Je kwa maoni yako ni kweli kwamba hizo tabu za kuandika email, kusoma habari zinasumbua watumiaji??/

Embu naomba ujaze hii questionnaire hapo chini tuweze kujua mitazamo ya watu tofauti alafu baada ya kupata majibu ya kutosha nitatoa statistics ili nanyi mfaidi na kujua jinsi gani hapa Dar wanavyojionea kuhusu matumizi ya simu kusurf mtandao!!!

Bonyeza hapa http://www.eSurveysPro.com/Survey.aspx?id=c836d221-da2d-4ef5-ba44-967b43623b76

Sio tabu, mimi natumia Iphone ya kichina yenye WIFI nai njoi kabisa kusomea Habari mbalili za ulimwengu katika Internet.

telefoni yenyewe ni hii

!BdVgBB!BGk~$(KGrHqYH-DQErfcyD,TQBK4eO)Zur!~~_35.JPG


iphoneclone1.jpg


a.jpg


ina Internet, ina TV, Radio, Wifi, Blue tooth, screen yake kubwa 3.5 inch, touch screen, unaweza kurekodi mazungumzo, kum-block mtu akute telefoni yako kama vile bizi, pia unaweze kuitumia telephone hii kama remote controll ya computer na bei ya telephone hii ni rahisi sana dola 100 tu, nimenunua Dubai, telephone hii ni high quallity, pia unaweza kuload programs za java katika telephone hii kama vile unavyo install program za computer, pia ina camera 5 mp.
 
Back
Top Bottom