Dezoizo52
JF-Expert Member
- Jan 30, 2017
- 524
- 1,051
Twende wote, maana nimegundua hata wew kwa upande unaousimamia huna hoja.hauendi kufa mkuu, unaenda kufanyiwa majaribio tu kwa ajili ya kuikomboa dunia na janga la corona.
Nakuomba wew, useme Uhuru wa Tume unanitafsiri kwa angle ipi? Na uje na elimu yako, ili nami niweze kujifunza kutoka kwako!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ndo hata mm nasubiri nipate Maarifa ili twende sawaKwani mkapa kakushikia akili, hebu elezea kivipi unaamini tume haiko huru?