YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Kwa maoni yangu tofauti kubwa sana iliyopo kati ya Serikali ya Rais Magufuli na ile ya Raisi mstaafu Kikwete ni kuwa Raisi Kikwete alikuwa ana uwezo mkubwa wa kuzitafuta pesa za ndani na za nje na kuzipata lakini kwenye matumizi matumizi mengi yalikuwa ya hovyo hovyo kama Raisi Magufuli anavyosema mara nyingi kuwa huko nyuma kulikuwa na matumizi ya hovyo hovyo ambayo yeye Raisi Magufuli kayaziba.
Tukija kwa Raisi Magufuli yuko vizuri mno kwenye matumizi ya pesa .Matumizi ya hovyo hovyo hayapo au yamepungua.Kwenye kubana matumizi na matumizi ya pesa yuko vizuri mno lakini kwenye uwezo mkubwa wa kutafuta na kupata pesa za ndani na nje uwezo ni mdogo ndio maana hadi waziri wa fedha Mpango analalamika kafika mahali naye kama waziri ka STUCK!!!!
Ufumbuzi kwa maoni yangu Timu ya Kikwete bingwa wa kutafuta pesa za ndani na nje ziungane na timu ya Magufuli mabingwa wa kutumia vizuri pesa zlizopatikana za ndani na nje waunde timu moja ili mambo yaende.Tuna mengi tumejiifunza kwa Magufuli mazuri na mabaya na kuna mengi tumejifunza kwa Kikwete mazuri na mabaya.Lakini kwa maoni yangu Raisi anahitaji watu wa team Kikwete wamsaidie hasa kwenye eneo la kupata pesa za ndani na nje .Hili eneo ni nyeti na wataalamu wake ni wachache mno,Akiwapata hata wakitaka mamilioni awalipe tu wamsaidie.Mzee Kikwete chonde chonde mpe timu yako ya wataalamu wabobezi wa maswala ya kupata pesa za ndani na nje ya nchi wamsaidie Raisi Magufuli.
Tukija kwa Raisi Magufuli yuko vizuri mno kwenye matumizi ya pesa .Matumizi ya hovyo hovyo hayapo au yamepungua.Kwenye kubana matumizi na matumizi ya pesa yuko vizuri mno lakini kwenye uwezo mkubwa wa kutafuta na kupata pesa za ndani na nje uwezo ni mdogo ndio maana hadi waziri wa fedha Mpango analalamika kafika mahali naye kama waziri ka STUCK!!!!
Ufumbuzi kwa maoni yangu Timu ya Kikwete bingwa wa kutafuta pesa za ndani na nje ziungane na timu ya Magufuli mabingwa wa kutumia vizuri pesa zlizopatikana za ndani na nje waunde timu moja ili mambo yaende.Tuna mengi tumejiifunza kwa Magufuli mazuri na mabaya na kuna mengi tumejifunza kwa Kikwete mazuri na mabaya.Lakini kwa maoni yangu Raisi anahitaji watu wa team Kikwete wamsaidie hasa kwenye eneo la kupata pesa za ndani na nje .Hili eneo ni nyeti na wataalamu wake ni wachache mno,Akiwapata hata wakitaka mamilioni awalipe tu wamsaidie.Mzee Kikwete chonde chonde mpe timu yako ya wataalamu wabobezi wa maswala ya kupata pesa za ndani na nje ya nchi wamsaidie Raisi Magufuli.