MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,213
- 22,272
- Thread starter
- #21
Ndo maana kwenye huu uzi nimesisitiza watu kuagiza wenyewe. Hao ni matapeli.Kuna huyu jamaa hapa,nilljikuta tu nimekuwa added kwenye group lake Ila nikawa interest na bidhaa anazopost na bei anazoweka.Lkn nimekuwa mzito sn wa kufanya maamuzi maana nilipoona amezuia watu kucomment nimejikuta nimeona Kam amefanya udicteta watu kutoa feedback
View attachment 2226885