Maoni yangu kuhusu Bajeti na kodi za mabango kukusanywa na TRA

Boniphace Bembele Ng'wita

JF-Expert Member
Dec 25, 2013
3,437
1,786
Wakuu:
Naomba nitoe maoni yangu/mchango wangu kuhusiana na bajeti, hususani kwenye KODI ZA MABANGO kukabihiwa TRA,

KWA maoni yangu, hili ndilo jambo baya zaidi kuwahi kuanywa na serikali toka awamu hii imeingia, ninazo sababu kadhaa ambazo huenda zikawa chache ila naamini zinaweza zikawepo nyingi zaidi ya hizo

1: Kodi za mabongo zimekuwa zinakusanywa na halimashauri za miji,wilaya au manispa, ili kuziwezesha kujiendeleza katika miladi ya maendeleo, hvyo kuziondoa kwao maana yake itabidi kutegemea luzuku serikalini jambo ambalo litakuwa gum sana

2: Yapo makampuni ambayo yanawatu yamewajiri kwa ajiri ya kukusanya kodi husika(hutumiwa na halimashauri) kuziondoa kodi hizi maelfu ya watu watapoteza ajira na kufanya maisha kuwa magumu zaidi,

3: Mfumo wa kielekitroniki ambao ulitambulishwa mwaka jana kwenye bajeti, ndiyo ulikuwa furusa kwa halimashauri kuutumia ili kuona kama unafanya kazi, ukumbuke mfumo huu umetumia pesa nyingi, kuuondoa tena na kuwapa kazi TRA maana yake ni kubadili mfumo tena, huku tukuwa hatujajua je mfumo ndiyo unatatzo au jinsi watu wanavyo fanya kazi ndiyo kunashida?

4:TRA bado hawana wafanyakazi wengi wakutosha kukusanya hzo kodi, ikiwa tu mapato, majengo na lessen bado hawajafanya vizr je ukiqaongea na DUDE la mabango wataweza? Kunawakati najiuliza hivi hawa wanao andaa bajeti huwa wanajua madhara ya kubadili mfumo?

5: Kila halimshauri zina by law zao ambazo huziongoza katika kukusanya mapato, sasa ikifikia kipandi bajeti ikapita je hzo by law zitafungiwa vitumbua? Au kutakuwa na sera mpya na sheria ya mabango? Maana kiuhalisia mtu wa mwanza au geita huku hawezi kuwa sawa kulipia na mtu wa huko dar,au A town..

6: Tayari tenda zimekwisha tangazwa na baadhi ya maeneo wazabuni wamepatikana(makampuni)huoni tayar ni mgogoro, je wakusanye au waache?

Ifike mahali serikali iache kuhamisha magori, ifundishe kuheshimu mifumo iliyopo, itasaidia sana kuleta tija na maendeleo ya watu, leo hii zipo kampuni zinategemea kuishi kwa sabab kazi hizo, zipo halimashauri chanzo chake kikubwa ni mabango,

USHAURI: WABUNGE WAJE NA MAPENDEKEZO YA KUABADILI HICHO KIPENGELE ILI HALIMASHAURI ZIENDELEE KUKUSANYA MAPATO, KWA USTAWI WA AJIRA NA KUKUZA MAPATO.

THINK...
 
Mkuu ndio wameshaamua si unajua serikali ya kodi hii.
Hawajaamua ila waziri kapendekeza ni wajib wa wabunge, kupitisha au kupitisha kwa marekebisha, isiwe kila kitu ndiyooooo, litakiwa bunge la hovyooo sana kama hawatajdili kwa misingi ya kuisaidia serikali
 
Hawajaamua ila waziri kapendekeza ni wajib wa wabunge, kupitisha au kupitisha kwa marekebisha, isiwe kila kitu ndiyooooo, litakiwa bunge la hovyooo sana kama hawatajdili kwa misingi ya kuisaidia serikali
kumbe ee
 
Hawajaamua ila waziri kapendekeza ni wajib wa wabunge, kupitisha au kupitisha kwa marekebisha, isiwe kila kitu ndiyooooo, litakiwa bunge la hovyooo sana kama hawatajdili kwa misingi ya kuisaidia serikali
Kweli mkuu
 
hilo limepita halipingwi kamwe chezea wabungee wewe kazi yao kupiga meza
 
Umeskiza au kusoma,vzuri bajeti..mana wamesema wamefuta kodi kwa yale mabango,ambayo yanaelekeza sehemu zinazopatikana huduma za kijamii kama shule,zahanati ama hospital.na si vinginevyo au mabango mengne,kam kawaid kodi ndicho kilichopo mkuu.so nadhani ipo sawa...
 
Umeskiza au kusoma,vzuri bajeti..mana wamesema wamefuta kodi kwa yale mabango,ambayo yanaelekeza sehemu zinazopatikana huduma za kijamii kama shule,zahanati ama hospital.na si vinginevyo au mabango mengne,kam kawaid kodi ndicho kilichopo mkuu.so nadhani ipo sawa...
Hlo mkuu halina shida, japo linachangamoto, ila ni kwa tra kuwa wakusanyaji wa kodi za mabango, hapo ndipo shida ilipo mkuu
 
Halmashauri zote za mijini ni mali ya wapinzani , lengo hapa si kukusanya kodi bali kuzikomesha halmashauri za upinzani .
Kama ndivyo lengo wamesahau kuwa hzo kodi zinakusanywa na wazabuni ambao kwa mjib wa sheria huwapa ajira watu wengi, asum kama hyo hoja ikipita watu wangapi watakosa ajira?
 
Hlo mkuu halina shida, japo linachangamoto, ila ni kwa tra kuwa wakusanyaji wa kodi za mabango, hapo ndipo shida ilipo mkuu
Waziri alisema kwamba,itakuwa effective ati.kwamb watu hawatoescape huenda hayo mapato yatarudishwa kw halmashaur
 
halmashauri zinaelekea kufa na umaskini utazdi miongon mwa watu waliokua wakiish kupitia viajira hvyo
 
Waziri alisema kwamba,itakuwa effective ati.kwamb watu hawatoescape huenda hayo mapato yatarudishwa kw halmashaur
Tatzo walifumba macho, kuescape hakutaisha, wala si dawa, maana waziri amefumba macho hakujua kuwa kuna swala la ajira, na si kila biashara imesajiriwa na tra, kuna saloon na migahawa mingi tu not registered, mfumo wa efd ulikuwa solution mkuu
 
Kama ndivyo lengo wamesahau kuwa hzo kodi zinakusanywa na wazabuni ambao kwa mjib wa sheria huwapa ajira watu wengi, asum kama hyo hoja ikipita watu wangapi watakosa ajira?
CCM haijawahi kuwa na huruma .
 
Tatzo walifumba macho, kuescape hakutaisha, wala si dawa, maana waziri amefumba macho hakujua kuwa kuna swala la ajira, na si kila biashara imesajiriwa na tra, kuna saloon na migahawa mingi tu not registered, mfumo wa efd ulikuwa solution mkuu
Nadhani inaweza kuw saw mkuu.
 
Umeskiza au kusoma,vzuri bajeti..mana wamesema wamefuta kodi kwa yale mabango,ambayo yanaelekeza sehemu zinazopatikana huduma za kijamii kama shule,zahanati ama hospital.na si vinginevyo au mabango mengne,kam kawaid kodi ndicho kilichopo mkuu.so nadhani ipo sawa...
Hayo yanakoelekeza zinapopatikana huduma za kijamii yamefutiwa kodi ila mabango mengine yote kodi itakusanywa na TRA na sio Halmashauri tena..
 
Halmashauri hazijawahi kuwa effective katika kutoza kodi za Mabango, na Mh. Rais aliwahi kuuliza halmashauri iliyowahi kufikisha estimated revenue kwenye Mabango yaliyo kwenye road reserve hakukupatikana hata moja. Kilichozoeleka miaka yote, wafanyakazi au mawakala ni kujipatia chao na kuinvoice less. Nipo kwenye hiyo sekta nimekumbwa na hayo binafsi.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom