Maoni yangu kuhusu Bajeti na kodi za mabango kukusanywa na TRA

Halmashauri hazijawahi kuwa effective katika kutoza kodi za Mabango, na Mh. Rais aliwahi kuuliza halmashauri iliyowahi kufikisha estimated revenue kwenye Mabango yaliyo kwenye road reserve hakukupatikana hata moja. Kilichozoeleka miaka yote, wafanyakazi au mawakala ni kujipatia chao na kuinvoice less. Nipo kwenye hiyo sekta nimekumbwa na hayo binafsi.
Mkuu unazungumzia halimashauri unayoifaham au zote? Na je unazungumzia halimashauri zenye mawakala au zinazokusanya zenyewe?

Mkuu ingekuwa ninaruhusa ningrkupa data za halimashauri ambazo mapato ya mabango yanaongoza kwa kuvuka lengo,

Nenda kasome kwenye mapato ya halimashauri za miji na majiji, hasa mawakala wanazo kusanya, ndo utajua kuwa halimashauri zinakusanya kiasi gani..

Kuna halimashauri ambazo nazijua(sitoweza kuzitaja) mapato kabla ya mawakala walikuwa wanakusanya chini ya m50 kwa mwaka na humo ndani hawajatoa expences, baada ya mawakala wamekusanya m150.wala hawajaingia any cost ya uendeshaji

Je hapo wamepoteza au wame gain? Umesema vyema hapo juu ila mkuu kunaswala la ajira na ufanisi wa kazi, usitazame tu upande mmoja itazame jamii nzima kwa ujumla....
 
ndicho nimemaanisha pia mkuu.
Ni sahihi mkuu, ila bado ni mapendekezo, bajeti haijapitishwa rasimi kuwa muongozo, kwa hospital na shule zipo chanamoto kadhaa, kwa nijuavyo kama ni kuonesha tu kibao hlo halitakuwa na shida, ila shida itakuja ambapo shule au hospital imeweka bango linalo onesha huduma, mawasiliano na ubora,

Hyo haitakuwa kuelekeza ila tangazo, ila pia zipo by law za halimashauri zina waondoa pravery school na hospital kulipia.. Ni vyema busara zikatumika zaidi kuliko kukomoana...
 
Back
Top Bottom