Mbona kilio chenyewe tunakisikia sasa hivi ambapo viongozi wa Kiislamu nao kutokana na rasimu mpya wanaweza kuingia bungeni kama wagombea binafsi?!mkuu, waache viongozi wa kiroho wamtumikie Mungu na wanasiasa wafanye siasa
Ulikuwa wapi wakati kina Msigwa,Lwakatare na wengineo wakiingia bungeni?