Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,038
- 74,429
Namaanisha waende wao peke yao sio kupitia migongo ya kaka zao.Mkuu unataka kunambia hujawahi kuona polisi wakienda UN-mission.
Namaanisha waende wao peke yao sio kupitia migongo ya kaka zao.Mkuu unataka kunambia hujawahi kuona polisi wakienda UN-mission.
Kama kibiti walishindwa halafu iwe huko ughaibuni???Namaanisha waende wao peke yao sio kupitia migongo ya kaka zao.
Nahisi tutapokea mizigo kila siku airportKama kibiti walishindwa halafu iwe huko ughaibuni???
Tena kuanzia wanakwenda hadi wanarudi, maana kama wameshindwa na mtu mmoja asiye na silaha ijekuwa huko watu wana silaha hadi kwenye uvungu wa kitanda, tena wanatumia 12Nahisi tutapokea mizigo kila siku airport
Ishu ya kibiti ili hitaji intelligency ya maana ndio maana ilichukua muda mkuu, huwa inawia muda mgumu sana kupigana na adui usie muona ambae anapiga kwa ambush ndio maana hata Congo tulipoteza wajomba km 14 hivi coz ya sudden attack ila najua intelligency ya jeshi ingekuwa imepata information tungewamaliza wale washenzi.so ishu ya kibiti sio kwamba polisi ilishindwa.Kama kibiti walishindwa halafu iwe huko ughaibuni???
Huko huko kibiti, baada ya hiyo intelijensia kufanya kazi hadi kutambua tatizo. Mbona hao polisi hawakufika kule jamaa walikokuwa wamejenga ngome yao? Lao ilikuwa ni kutangaza waliokuwa wanakamatwa au kuuawa tuIshu ya kibiti ili hitaji intelligency ya maana ndio maana ilichukua muda mkuu, huwa inawia muda mgumu sana kupigana na adui usie muona ambae anapiga kwa ambush ndio maana hata Congo tulipoteza wajomba km 14 hivi coz ya sudden attack ila najua intelligency ya jeshi ingekuwa imepata information tungewamaliza wale washenzi.so ishu ya kibiti sio kwamba polisi ilishindwa.
Pamoja sana mkuu kamanda poloIshu ya kibiti ili hitaji intelligency ya maana ndio maana ilichukua muda mkuu, huwa inawia muda mgumu sana kupigana na adui usie muona ambae anapiga kwa ambush ndio maana hata Congo tulipoteza wajomba km 14 hivi coz ya sudden attack ila najua intelligency ya jeshi ingekuwa imepata information tungewamaliza wale washenzi.so ishu ya kibiti sio kwamba polisi ilishindwa.
Unatoa siri za siriniHuko huko kibiti, baada ya hiyo intelijensia kufanya kazi hadi kutambua tatizo. Mbona hao polisi hawakufika kule jamaa walikokuwa wamejenga ngome yao? Lao ilikuwa ni kutangaza waliokuwa wanakamatwa au kuuawa tu
Unatoa siri za sirini
Hujajua tu kwann kapiga risas hewaniKijeshi kushoot ni mpaka upewe Oda, sasa hua najiuliza sana upande wa hawa polisi wetu , ukirefer ishu ya Malima kuna jamaa alipiga risasi kibao hewani kwa kujiamlia tu.
5/5Pamoja sana mkuu kamanda polo
Angepiga moja hadi tatu, sasa kwanini afyatue risasi zaidi ya 10, kwa wenye akilina wanokuwa wanataka kufanya uhalifu lile ni tatizo maana kuna wanaojua risasi zinakaa ngapi, je huona kama ni hatari zaido pale atakapoishiwa na risasi na watu kumvamia?Hujajua tu kwann kapiga risas hewani
Pale kwa malima na hakupiga kwa ajil ya malima wale watu waloliokuwa wanamfuata baada kuondoka kuachana na malima katika lile kundi huwez jua nan mbaya zaid kwako lazima uwashtue kidogo upate usalama zaid angewaaacha wangempola silaha. Mngesema MZEMBE nyinyi watanzania mungu anawaona kwakuwa TUMBILI
Sio kweli.soma financial order part three.hata mhasibu wa jeshi alichukua bulk money kutoka au kupeleka benk anatakiwa achukue police escort.
Mkuu ni kweli but sio polisi wa khaki. Ni military policeSio kweli.
Ndio uelewe matatizo yaoElimu ndogo ya askari wetu ndio chanzo cha matatizo. Wanatumia ushabiki zaidi
Juzi nimeingia atm na miwani wameniambia nivue nikawauliza miwani inaweza kuiba pesa? Miwani sio chombo cha hatarishi. Askari ni watu wa kuwadharau sana.