Maoni yangu: Intaneti haina msaada katika maendeleo ya watanzania wengi, inatumika kidogo sana kwa mambo muhimu

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,026
Wanasema kitu chenye faida basi huwa kina hasara zake,

Intaneti imekuwa teknolojia bora iliyoendeleza nchi nyingi kuanzia maarifa, uchumi, n.k.

Kwa wenzetu intaneti imekuwa fursa ya mtu kudownload Vitabu vingi sana kujiongezea maarifa ila kwa nchi hii kukuta mtu ana kitabu cha kujiongezea maarifa kwenye simu yake ni nadra, na hata kama kipo basi labda ni kwajili ya chuoni akariri ili àpate cheti baada ya kumaliza chuo hakina umuhimu.

Intaneti kwa kiasi kikubwa hapa tz imekuwa kifaa cha kujua nani kasema nini kwa mwenzake na kajibiwa nini, yani kwa lugha nyepesi "UMBEYA".

Intaneti imegeuka kuwa chombo cha kuperuzi picha na video za ngono na hili nimejithibitishia kwa watu wengi wanaonipa simu zao wanaperuzi sana ngono,
 
Unasahau hao wenzenu ndo wanao upload ngono before nyinyi kuperuzi
Wenzetu wanaopandisha hizo video wanaingiza hela, kwa kila views kadhaa kuna pesa, usifikiri wanafanya kazi bure, mzigo upo kwetu mtu anatizama hizo video haingizi chochote zaidi ya kuongeza nyege na kukifanya kichwa cha chini kifanye maamuzi ya kijinga badala ya kichwa cha juu
 
huyu jamaa ndio kaandika uzi gani sasa
EX6kSgrXkAIrJyh.jpg
 
sio kitu ukikiona hakina maana kwako ndio kibaya kwa wote Acha generalized mambo bila kuwa na utafiti
 
Umbeya unatoa ajira pia kwa watu kama Soudy Brown na kampuni za magezeti ya udaku
Lkn pia internet(insta/fb) zimeua magazeti ya udaku,maana kila kitu kiko mtandaoni for free/wewe na bando lako tu.
 
Bado mdogo ukikua utaelewa weka kichwani hili " Don't be over ambitious,keep calm and enjoy the life"
Ukiwa serious na maisha sana vitu vingi utaona ni upuuzi na utakufa mapema kwa kuwa over thinker plus stress
 
Intaneti imegeuka kuwa chombo cha kuperuzi picha na video za ngono na hili nimejithibitishia kwa watu wengi wanaonipa simu zao wanaperuzi sana ngono,
Na wewe huwa unaperuzi hizo picha. Ndio maana ukitaka uanze kuperuzi kwakutumia simu za wenzio bwn gugo anakupa suggestions, uongo?
 
Wanasema kitu chenye faida basi huwa kina hasara zake,

Intaneti imekuwa teknolojia bora iliyoendeleza nchi nyingi kuanzia maarifa, uchumi, n.k.

Kwa wenzetu intaneti imekuwa fursa ya mtu kudownload Vitabu vingi sana kujiongezea maarifa ila kwa nchi hii kukuta mtu ana kitabu cha kujiongezea maarifa kwenye simu yake ni nadra, na hata kama kipo basi labda ni kwajili ya chuoni akariri ili àpate cheti baada ya kumaliza chuo hakina umuhimu.

Intaneti kwa kiasi kikubwa hapa tz imekuwa kifaa cha kujua nani kasema nini kwa mwenzake na kajibiwa nini, yani kwa lugha nyepesi "UMBEYA".

Intaneti imegeuka kuwa chombo cha kuperuzi picha na video za ngono na hili nimejithibitishia kwa watu wengi wanaonipa simu zao wanaperuzi sana ngono,
Ww kweli ni dude jeupe,

California love
 
Back
Top Bottom