Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,682
Arudi darasaniili awe wakili jiwe ilibidi aseme nini?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arudi darasaniili awe wakili jiwe ilibidi aseme nini?.
Arudi darasaniWewe wakili mkomavi leta mtazamo wako basi....
Ndio kifungo chenyewe hicho, hata asipokutwa na hatia kwa muda aliokaa gedezani ni sawa na kutumikia kifungo cha muda mfupi.Inawezekana lengo sio kumfunga bali kumuondoa uraiani muda mrefu kadri iwezekanavyo.
Asante sana Bwashee, tutaendelea kutumia taaluma zetu kuusema ukweli. Hatukuona kunyamazia uongoNdugu kwa upande wangu mimi nakubali umefafanua vyema sana na niseme tu wanasheria ni watu wagumu sana kuwaelewa maana mara nyingi sana mnagusa mahala kwa kutumia weledi mkubwa kuepusha madhara kwa wengine, basi itoshe kusema Mungu awape hekima na busara viongozi wetu wasione vyama vya upinzani kuwa ni dhambi na niwatu wakushinda mahakamani na selo tu.
Ni kujitafutia laana za bure kwa mwenyezi Mungu. Kama wewe ni Jaji halafu ukatumia nafasi yako kuumiza wengine wakati ukweli unaujua, pasina shaka wewe adhabu ya Mungu iko juu yako .Siyo kila mtu anaweza kua jajiKwa Tanzania kesi za aina hiyo huanfikiwa hukumu Ikulu na jaji kwa vile ni mteule wa Rais kazi yake ni kudurufu yaliyo andikwa tuu. Tanzania kwa sasa hamna mahakama wala bunge.
Nimelimia pale pale wanakopaogopa wangiUmelima kwenye mtaro kamanda 100% correct
Ina tia ikakasi sana. Yaani uki wasikiliza mashahidi ya Jamhuri kwenye kesi ya Mbowe na wenzake, kama kweli ni Jaji anae simamia sheria, hii kesi ingekuwa imesha futwa. Yuko wapi Jaji Nyalali, yuko wapi Jaji Kipenka? Yuko wapi Jaji Kisanga? Mungu wa Mbinguni awape pumziko jema wale walio itendea mahakama haki. Hawa majaji wa tumboni Mungu awaandalie adhabu iliyo kuu.Ni kujitafutia laana za bure kwa mwenyezi Mungu. Kama wewe ni Jaji halafu ukatumia nafasi yako kuumiza wengine wakati ukweli unaujua, pasina shaka wewe adhabu ya Mungu iko juu yako .Siyo kila mtu anaweza kua jaji
Hapo ndo umuhimu wa katiba mpya ulipo. Spika anajitahidi asimuudhi Mkt wake, Jaji Mkuu ateuliwe na Mkt wa chama chake, na maviongozi chungu nzima wa Mahakama watoke hukohuko... dah!Kwa Tanzania kesi za aina hiyo huanfikiwa hukumu Ikulu na jaji kwa vile ni mteule wa Rais kazi yake ni kudurufu yaliyo andikwa tuu. Tanzania kwa sasa hamna mahakama wala bunge.
Mwendawazimu mkubwa hata kusoma hujasoma kutokana akili yako ndogoUtopolo
Nyumbu kwenye ukilaza wakoMwendawazimu mkubwa hata kusoma hujasoma kutokana akili yako ndogo