"Kila nikiyaangalia haya maoni kwa kweli sioni tofauti yake na tunachokipigania sisi wana UAMSHO!! hapa nasema alhamdulillah! je upo umuhimu wa muungano wa tanganyika na zanzibar hapo?, si na tujiunge tu na east african community? ndio pale tunaposema "TUACHIWEE TUPUMUEEE !!, maoni haya yanatoka kwa mtu mzito toka CCM- Zanzibar"
I. Nchi kamili inayoweza kujiamulia.mambo yake yote ni lazima ikidhi mambo manne yafuatayo:
1)Watu
2)Mipaka ya Nchi husika
3)Serikali ya kuendesha mambo ya Nchi husika
4)UWEZO WA KUJIAMULIA NA KUINGIA MIKATABA NA NCHI HUSIKA KWA NCHI NYENGINE BILA IDHINI KUTOKA NCHI NYENGINE.
II.NCHI YA ZANZIBAR inayo sifa ya mambo matatu hapo juu na kulikosa la nne UWEZO WA KUJIAMULIA MAMBO YAKE YENYEWE...ndio TUNAKOSA UWEZO WA:
i)Kuwa na kiti UN
ii)Kuwa na Mabalozi
iii)Kushirikiana na nchi nyengine kipeke yetu kama Nchi ya Zanzibar
iv)Kwa ujumla Nchi ya Zanzibar inakosa SELF DETERMINATION
III. TANGANYIKA HAIPO WALA HAWANA HATA SIFA MOJA KATI YA YALE MANNE YA MSINGI NA INAFAIDIKA NA KUBEBWA NA KUTEKELEZEWA NA Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania hivyo MANUFAA YOTE YANAKWENDA TANGANYIKA!!!
IV.MUUNGANO huu ni wa NCHI MBILI ZILIZOKUWA HURU!!!
a)Tanganganyika
b)Jamhuri ya Watu wa Zanzibar
V.PENDEKEZO
i)Kila Nchi IWEZE kuwa na SELF DETERMINATION.
ii)Iingie katika mikataba yake na ushirikiano na nchi nyengine.
iii)Iwe na Balozi zake.
iv)Iwe na kiti chake UN,AU,EA na kadhalika.
v)Tanganyika irejeshewe: a)Mipaka yake. b)Bunge lake c)Watu wake.
VI.Hivyo tuwe:
i)Serikali ziwe mbili ya Tanganyika na Zanzibar!!!
ii)Kila moja ishughulikie mambo yake yote!!!
iii)Kwa pamoja tutazame MAMBO YA USHIRIKIANO ILI TUWE NA 'MUUNGANO WA USHIRIKIANO'
iv)Hili litawekwa wazi katiba MIKATABA AU TREATY ambayo itasainiwa na Nchi ZOTE MBILI.
v)Tutatizama yale mambo tu ya ushirikiano na hayo LAZIMA KILA NCHI IYAKUBALI NA IYARIDHIE!!!
vi)Kama Nchi haikuridhia,basi sio LAZIMA KUINGIA katika mkataba hu.
vii)Mifano hii ipo Duniani kote kama mifano ifuatayo:
A.European Union
Kila nchi ina uhuru wake kamili,kwa mfano UK,FRANCE,GERMANY,BEGIUM,SPAIN,GREECE,HOLLAND,ITALY na kadhalika.
Kila Nchi inapokataa na kutoridhia protokoli fulani,hailazimiki wala hailazimishwi:
Mfano Euro na Pound Sterling ambapo UK haikukubalika na kuridhiwa.
Shenghen Viza na matumizi ya Nchi chache tu katika jumuia.
B.African Union
Nchi zote zote za Africa zimeungana,lakini kila Nchi ina uhuru wake kama vile:
Mambo ya Nje
Sarafu
Kiti UN
Balozi nchi nyengine
Utaratibu wa Viza
Na kadhalika
C.East Africa
Kenya
Uganda
Tanzania
Burundi
Ruanda
Protokoli zake pia ni kama Muungano kwengineko.
HIVYO TUNAPENDEKEZA UWEPO MUUNGANO WA NCHI MBILI!!!
1)Kuwa na Serikali mbili ambazo kila Serikali INAJITEGEMEA WENYEWE!!!
2)Kwa maana hiyo Serikali ya Tanganyika na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kila moja itakuwa na yale mambo manne ya msingi:
i)Mipaka yake
ii)Watu wake
iii)Serikali yake
iv)Uwezo wake wa kuingia mikataba kushirikiana na Mataifa ya nje,kuwa na Balozi zake,kuwa na viti vyake UN,AU,EA na kadhalika.
3)Kuwe na Muungano wa Shirikisho (Mungano wa Mkataba) kwa mambo ambayo nchi mbili hizo (Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar) zitaridhia na kukubaliana!!!
I. Nchi kamili inayoweza kujiamulia.mambo yake yote ni lazima ikidhi mambo manne yafuatayo:
1)Watu
2)Mipaka ya Nchi husika
3)Serikali ya kuendesha mambo ya Nchi husika
4)UWEZO WA KUJIAMULIA NA KUINGIA MIKATABA NA NCHI HUSIKA KWA NCHI NYENGINE BILA IDHINI KUTOKA NCHI NYENGINE.
II.NCHI YA ZANZIBAR inayo sifa ya mambo matatu hapo juu na kulikosa la nne UWEZO WA KUJIAMULIA MAMBO YAKE YENYEWE...ndio TUNAKOSA UWEZO WA:
i)Kuwa na kiti UN
ii)Kuwa na Mabalozi
iii)Kushirikiana na nchi nyengine kipeke yetu kama Nchi ya Zanzibar
iv)Kwa ujumla Nchi ya Zanzibar inakosa SELF DETERMINATION
III. TANGANYIKA HAIPO WALA HAWANA HATA SIFA MOJA KATI YA YALE MANNE YA MSINGI NA INAFAIDIKA NA KUBEBWA NA KUTEKELEZEWA NA Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania hivyo MANUFAA YOTE YANAKWENDA TANGANYIKA!!!
IV.MUUNGANO huu ni wa NCHI MBILI ZILIZOKUWA HURU!!!
a)Tanganganyika
b)Jamhuri ya Watu wa Zanzibar
V.PENDEKEZO
i)Kila Nchi IWEZE kuwa na SELF DETERMINATION.
ii)Iingie katika mikataba yake na ushirikiano na nchi nyengine.
iii)Iwe na Balozi zake.
iv)Iwe na kiti chake UN,AU,EA na kadhalika.
v)Tanganyika irejeshewe: a)Mipaka yake. b)Bunge lake c)Watu wake.
VI.Hivyo tuwe:
i)Serikali ziwe mbili ya Tanganyika na Zanzibar!!!
ii)Kila moja ishughulikie mambo yake yote!!!
iii)Kwa pamoja tutazame MAMBO YA USHIRIKIANO ILI TUWE NA 'MUUNGANO WA USHIRIKIANO'
iv)Hili litawekwa wazi katiba MIKATABA AU TREATY ambayo itasainiwa na Nchi ZOTE MBILI.
v)Tutatizama yale mambo tu ya ushirikiano na hayo LAZIMA KILA NCHI IYAKUBALI NA IYARIDHIE!!!
vi)Kama Nchi haikuridhia,basi sio LAZIMA KUINGIA katika mkataba hu.
vii)Mifano hii ipo Duniani kote kama mifano ifuatayo:
A.European Union
Kila nchi ina uhuru wake kamili,kwa mfano UK,FRANCE,GERMANY,BEGIUM,SPAIN,GREECE,HOLLAND,ITALY na kadhalika.
Kila Nchi inapokataa na kutoridhia protokoli fulani,hailazimiki wala hailazimishwi:
Mfano Euro na Pound Sterling ambapo UK haikukubalika na kuridhiwa.
Shenghen Viza na matumizi ya Nchi chache tu katika jumuia.
B.African Union
Nchi zote zote za Africa zimeungana,lakini kila Nchi ina uhuru wake kama vile:
Mambo ya Nje
Sarafu
Kiti UN
Balozi nchi nyengine
Utaratibu wa Viza
Na kadhalika
C.East Africa
Kenya
Uganda
Tanzania
Burundi
Ruanda
Protokoli zake pia ni kama Muungano kwengineko.
HIVYO TUNAPENDEKEZA UWEPO MUUNGANO WA NCHI MBILI!!!
1)Kuwa na Serikali mbili ambazo kila Serikali INAJITEGEMEA WENYEWE!!!
2)Kwa maana hiyo Serikali ya Tanganyika na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kila moja itakuwa na yale mambo manne ya msingi:
i)Mipaka yake
ii)Watu wake
iii)Serikali yake
iv)Uwezo wake wa kuingia mikataba kushirikiana na Mataifa ya nje,kuwa na Balozi zake,kuwa na viti vyake UN,AU,EA na kadhalika.
3)Kuwe na Muungano wa Shirikisho (Mungano wa Mkataba) kwa mambo ambayo nchi mbili hizo (Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar) zitaridhia na kukubaliana!!!