Maoni ya katiba msisahau hili mtakaopitiwa

Mess

JF-Expert Member
Mar 2, 2009
661
181
Kuwe na mdahalo wa wa wagombea wa urais ili wananchi waweze elewa nani anauwezo wa kuwaongoza na nani yupo kwa sababu kawekwa na rafiki zake. Tupendekeze midahalo mitatu kabla ya uchaguzi na wasimame waulizwe na waulizane. Kwa sababu ukiwa rais pamoja na ushauri pia akili yako ni ya muhimu sana pale ili ku reach decision. Nawasilisha
 
Bila kusahau muungano wa kweli iwe nchi moja tu yenye serikali moja tu.
 
Kuwe na mdahalo wa wa wagombea wa urais ili wananchi waweze elewa nani anauwezo wa kuwaongoza na nani yupo kwa sababu kawekwa na rafiki zake. Tupendekeze midahalo mitatu kabla ya uchaguzi na wasimame waulizwe na waulizane. Kwa sababu ukiwa rais pamoja na ushauri pia akili yako ni ya muhimu sana pale ili ku reach decision. Nawasilisha
hii inaonekana kuwa nzuri sana mkuu na ni bora iingie kabisa kwenye katiba ili isijetokea huko mbele Katibu mkuu wa chama anai rule out.
Fikiria kma yule waziri aliyesema tanganyika iliungana na zimbabwe ungelikuwepo mdahalo unadhani angepita????

Kipanya alichora katuni nzuri na ukiangalia mapendekezo mengi ni sawa na wale wanaopendekeza kuwa "katiba iwe na kurasa za rangi pamoja na picha" kwa maana hii ya sasa ya B/W imepitwa na wakati kiuchapishaji badala ya kuangali core ideas kama hii ya kwako

 
hii inaonekana kuwa nzuri sana mkuu na ni bora iingie kabisa kwenye katiba ili isijetokea huko mbele Katibu mkuu wa chama anai rule out.
Fikiria kma yule waziri aliyesema tanganyika iliungana na zimbabwe ungelikuwepo mdahalo unadhani angepita????

Kipanya alichora katuni nzuri na ukiangalia mapendekezo mengi ni sawa na wale wanaopendekeza kuwa "katiba iwe na kurasa za rangi pamoja na picha" kwa maana hii ya sasa ya B/W imepitwa na wakati kiuchapishaji badala ya kuangali core ideas kama hii ya kwako


Nina uhakika JK asingepita kama kungekuwa na mdahalo kwanza angeonekana dhahiri kuwa mambo mengi hajui. Hivyo ni kipimo kizuri kwa wale mnaofuatilia hii midahalo mnaweza kuona kuwa ni kitu kizuri. Jaribuni kungalia mdahalo wa akina Gordon brown, Cameroon na nick clegg ukimaliza hapo uje kwenye ule wa juzi wa Obama na Mitt mtaona ni kitu ambacho lazima kiwekwe kwenye katiba ili mtu asiwe na pakukimbilia. Hapo ni mawili either asome na aelewe vitu vingi au asipate uongozi (urais).
 
Back
Top Bottom