Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Jamani wananchi wote wenye uwezo wa kufikia na kutumia internet naomba tutoe maoni yetu kupitia mtandao wa tume ya katiba www.katiba.go.tz Ila sasa sijui watamjuaje kwa haraka kuwa mtoa maoni sio raia wa Tanzania. Ingekuwa vema wangeweka na sehemu ya namba ya mpiga kura na baadae ku-crosscheck kwenye daftari la kudumu la wapiga kura badala ya kutumia mi-IP addresses.