Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 948
- 1,092
Habari Tanzania !
Naomba kuuliza; Je, ni lini sasa tutatunga sheria na kufanya maamuzi ya kuwalipa wazee wote kuanzia umri miaka 55 pension ya uzee mpaka umauti wao? Ili iwe utamaduni na mfumo wetu rasmi wa maisha Tanzania.
Sababu kuu: Hawa wazee kwa umri wao wamechangia sana pato la taifa, wamechochea maendeleo makubwa haya tuliyonayo na tunayoendelea kuyapata(kadri umri unavyozidi kuongezeka; ndivyo ulipaji wako wa kodi unaongezeka) kwa kulipa kodi kuu (indirect taxes) kwa njia mbalimbali. Pia kwa kupitia umri huo uwezo wao wa kiutendaji na uzalishaji kwa ujumla ni mdogo sana.
NB
Tuwalinde wazee wa taifa maana wao ndio tunu kuu ya taifa. Wazee ndio chanzo cha amani, heshima na hekima kuu itawaliwayo na busara safi.
Karibu.
Naomba kuuliza; Je, ni lini sasa tutatunga sheria na kufanya maamuzi ya kuwalipa wazee wote kuanzia umri miaka 55 pension ya uzee mpaka umauti wao? Ili iwe utamaduni na mfumo wetu rasmi wa maisha Tanzania.
Sababu kuu: Hawa wazee kwa umri wao wamechangia sana pato la taifa, wamechochea maendeleo makubwa haya tuliyonayo na tunayoendelea kuyapata(kadri umri unavyozidi kuongezeka; ndivyo ulipaji wako wa kodi unaongezeka) kwa kulipa kodi kuu (indirect taxes) kwa njia mbalimbali. Pia kwa kupitia umri huo uwezo wao wa kiutendaji na uzalishaji kwa ujumla ni mdogo sana.
NB
Tuwalinde wazee wa taifa maana wao ndio tunu kuu ya taifa. Wazee ndio chanzo cha amani, heshima na hekima kuu itawaliwayo na busara safi.
Karibu.