MAONI: Watanganyika tuamke, tudai Tanganyika yetu.

bernardp

JF-Expert Member
Mar 23, 2009
619
918
Kwa maoni yangu, dalili za kuwa Muungano tulionao unaelekea kifo zipo wazi. Labda utakufa kabisa au utabadilishwa muundo kwa kiwango kikubwa ili upate angalau ka uhai ka muda, kabla ya kifo rasmi, pale mojawapo ya nchi hizi itakapoitisha kura ya maoni.

Kutokana na hilo, nadhani ni muda muafaka kwa watanganyika tukaanza harakati za makusudi kudai nchi yetu, na kuwasaidia wenzetu wazanzibar wanaoona tumewatawala.

Ikumbukwe kuwa waingereza walituacha nasi tukajitawala tulipotaka.

Tuwaunge mkono wazanzibar, kwa kuidai Tanganyika na serikali ya Tanganyika.

Tuwatake wazanzibar waliojazana bungeni na kwenye wizara zetu waondoke..

Nakaribisha michango ya wanaoguswa...
 
Saa hizi naona Wazenji ni mdebwedo na Watanganyika ni nyoronyoro.
Sioni kwa nini tuendelee kubeba gunia la mavi

Asante Bujibuji, Wazenji angalau wanajaribu, watanganyika ndio baaado kabisa.....
 
Ukiangalia kwa makini zanzibar wanatunyonya tu.

Wana wabunge wengi sana hapo ina maana kila mmoja shangingi na miposho juu
Wana baraza la wawakilishi hawa nao sijui kazi yao ni nini?

Mawaziri wengi sana wamejaa kwenye baraza letu
wengi tu wamejaa serikalini na kwenye mashirika ya umma, hiizi zitakuwa nafasi za kazi kwa wabongo mara wakiondoka.

Hivyo muungano ukivunjika kutakuwa na more jobs kwa wabara.
Wakiondoka tutapata usingizi kwa sababu kelele zao zitakuwa zimekwisha.

Vijana wengi watapata sehemu za biashara kwa sababu itabidi wapemba wote warudi kwao na maduka yao tutagawana
vitu vinavyotoka zanzibar vitatozwa ushuru sawa tu na vinavyotoka nchi nyingine kwa hiyo biashara zao zitakufa hawatakuwa wanauza kwa faida kubwa kama zamani ambapo wanashusha mzigo kwao kwa ushuru mdogo sana halafu wanakuja kuuza bara kwa bei juu.

Wapemba tutakuwa tunawaona kama wasomali tu
yaani yako mengi tu ambayo wengine najua wataongeza
 
Wakati mwingine nashindwa kuelewa Watanganyika tuna matatizo gani??

Mama yetu Tanganyika ni nchi nzuri ambayo hata mataifa waliyoizunguka wanaimezea mate!! Lakini sisi hata habari hatuna!! What are we???!! A sleeping giant or something??!!

Watanganyika tuamke sasa!!! Tuurudishe utanganyika wetu!!! Tuachane na wazenji hao.

Kwanza wanatutia hasara tu!! Juzi juzi tu hapa Tanesco wamewasamehe wazenji Shs. 50 bil, kwa mtaji huo kwa nini umeme usiwe ghali huku Tanganyika???!! Ladies and Gentlemen, we must bring back our Beloved mother.... Tanganyika!!

By any means necessary!!!
 
Cha muhimu ni kuanza kujiandaa tu namna ya kuendelea pasipo muungano, kwasababu asilimia semanini hadi sasa dalili zinaonyesha muungano hauponi....cha muhimu tuandae namna gani tutawafukuza wapemba huku bara warudi kwao wakaanze safari upya kwa passport na hela za uwekezaji kama maforena,

Pia kugombania ardhi walizokuwa wamezinunua kwasababu watakuwa wageni hawastahili kumiliki, labda waje na gia ya uwekezaji napo sio kwa ardhi hizo walizokuwa nazo, pia tujiandae vitambulisho vya utaifa wasitupige changa la macho wakawa navyo wakati wao si watanganyika, tujiandae pia kuwachapa kwa mabom pale watakapoanza kuvamia mipaka ya nchi yetu bahari ya hidi wakisema ya kwao.

Uzuri ni kwamba, kwasababu wao ndo watakaouvunja muungano, yale wanayoyadai kwetu hawatayapata kwasababu sisi hatutaki uvunjike....hivyo kama tuna deni kwao litakuwa limepotea....waache waende zao midebwedoooo wakaendelee kutumia mtandao wa tigo.
 
Back
Top Bottom