MAONI: Vikao vya madiwani vianze kurushwa LIVE TV za mikoani

Paddy

JF-Expert Member
Sep 22, 2010
462
304
Madiwani vihiyo ni wengi sana pamoja na mameya wanaochaguliwa. Mfano, madiwani na meya wa Mbeya mjini wengi hutokea pembezoni mwa mji matokeo yake wanafikiria ukabila na kuendeleza maeneo yao ya pembeni jiji linasahaulika. Mipango thabiti ya maendeleo hukosekana katika miji yetu. TUONYESHENI HIVI VIKAO LIVE KWENYE TV ILI TUJUE WANAOTUSALITI NI KINA NANI, Mbona bunge huonyeshwa live? Madiwani wanakula posho tu!!
 
ni wazo zuri hii itasaidia kujua uelewa wao pamoja na utendaji wao
 
Back
Top Bottom